CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe kumbe mpumbavu kabisa rushwa inawekewa ushahid kama unanunua shamba, hivi zinakutosha kweli wewe, ndiyo maana huteuliwi huna akili hata kidogo.Jibu hayo maswali jinga kubwa wewe πππ
Na hao binadamu ni wapiga kura wa Iringa waliomuamini na kumpigia kura baada ya kuona uwezo wake.Mungu haji kumuibua mtu personally.Hutumia binadamu hawahawa.
peter Msigwa onesha vyeti, tuhuma za kukosa vyeti hazifutiki mpaka uoneshe vyeti vyako.Chopa wanapanda Mbowe na Tundu Lisu tu πππ
Kwa hiyo ukienda mahakamani utaweke pua yako kama ushahidi πππWewe kumbe mpumbavu kabisa rushwa inawekewa ushahid kama unanunua shamba, hivi zinakutosha kweli wewe, ndiyo maana huteuliwi huna akili hata kidogo.
Yeye kanunuliwa kama bidhaa hana moral authority ya kuongea lolote ameshajivua utu wake.Acha aseme yote mpaka mbadilike maana ninyi ni madalali ya siasa.
Kwani mlipokuwa mnampatia uongozi CHADEMA alikuwa anatumia vyeti gani?peter Msigwa onesha vyeti, tuhuma za kukosa vyeti hazifutiki mpaka uoneshe vyeti vyako.
Nimeshakuambia wewe ni kilaza uwezo wako unatosha kumsifia Mama Abduli tu si zaidi ya hapo.Kwa hiyo ukienda mahakamani utaweke pua yako kama ushahidi πππ
Jibu maswali yangu na siyo kurukaruka kama likuku linalotoka kutagaYeye kanunuliwa kama bidhaa hana moral authority ya kuongea lolote ameshajivua utu wake.
Kilaza MwenyeweNimeshakuambia wewe ni kilaza uwezo wako unatosha kumsifia Mama Abduli tu si zaidi ya hapo.
Mbona wewe unamuinua Tumbiri πMungu ndiye humuinua mtu na siyo mwanadamu.
Personal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikraNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha ulanzi Mzee wanguπππ Namuinuaje sasa mimi. Naona una mkubali sana Mheshimiwa David Kafulila chuma na Mwamba wa kigoma.Mbona wewe unamuinua Tumbiri π
Utapata laana kwa kumtukana mtumishi wa Mungu .Personal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikra
Kusifia sifia wanaume wenzako ndiyo maana watu wanakufiria vibaya shauri yako hata ephen_ kakuonya wacha huo ubwegeAcha ulanzi Mzee wanguπππ Namuinuaje sasa mimi. Naona una mkubali sana Mheshimiwa David Kafulila chuma na Mwamba wa kigoma.
Wewe ni zaidi ya mtoto.maana mtoto huwa ana akili na unaweza kumueleza kitu au akakuleeza kitu na ukaelewa.ila wewe upo upo tu kama debe tupu linalopiga keleleHakuna swali umeuliza umeandika utoto mimi siyo mtoto mwenzako
Wewe ni tutusa umebakishiwa akili kiduchu ya kusifia,kuvukia barabara na kwendea chooni kukata gogo.Wewe ni zaidi ya mtoto.maana mtoto huwa ana akili na unaweza kumueleza kitu au akakuleeza kitu na ukaelewa.ila wewe upo upo tu kama debe tupu linalopiga kelele
Mimi nina jopo la pisikaliNaona unaumia sana kwa mimi kupendana na ephen,wakati wewe umefanya kila mbinu lakini umekataliwa kwa sababu kila mtu humu jukwaani anafahamu wewe huna akili.