Petroli na Diesel bei Juu. Dola yaelezwa kuwa sababu ya bei kupaa
Labda hujaelewa lugha, hakuna sehemu BOT wamesema ipo yakutosha,wao wamesema watahakikisha wanaendeleza kutoa dollar kwa mabenki.

NB: Kumbuka mabenki hupata dollar kutoka BOT

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Labda hujaelewa lugha, hakuna sehemu BOT wamesema ipo yakutosha,wao wamesema watahakikisha wanaendeleza kutoa dollar kwa mabenki.

NB: Kumbuka mabenki hupata dollar kutoka BOT

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Soma makala hiyo
Screenshot_20230803-092933.jpg
 
EWURA Kuna tatizo basi...!!!
====
Tuachane na dola tuanze kutumia dhahabu na almas kuagiza vitu. Pia "tutengeze fedha zetu" wenyewe!
 
Labda hujaelewa lugha, hakuna sehemu BOT wamesema ipo yakutosha,wao wamesema watahakikisha wanaendeleza kutoa dollar kwa mabenki.

NB: Kumbuka mabenki hupata dollar kutoka BOT

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
BOT wametumia code kujisafisha,wachumi wa ccm ndio mnasema dollar hakuna,tumuamini wachumi wapi hapa? Wauzaji wa bandari au BOT?
 
Mmoja kati yao ni mwongo. Mafuta yanayouzwa mwezi huu yamenuniliwa lini? Sio miezi mitatu iliyopita??

EWURA na wizara ya nishati kuna tatizo. JPM asingefanyiwa ujinga ujinga kama huu.
 
Nchi hii ujanja ujanja mwingi mnoo, wameshatuona mazoba.
Nadhani tunatakiwa kuandaa utaratibu unaosimamika wa kuiwajibisha serikali, Bunge, na Mahakamani!

Haiwezekani mihimili inafanya makosa ya wazi na Ina " get away with it" kirahisi Rahisi namna hii.
 
Nadhani tunatakiwa kuandaa utaratibu unaosimamika wa kuiwajibisha serikali, Bunge, na Mahakamani!

Haiwezekani mihimili inafanya makosa ya wazi na Ina " get away with it" kirahisi Rahisi namna hii.
Kuna mahala sisi watanzania wenyewe tunapakosea.. bila kuzinduka hakunq kitakachobadilika.
 
Hali inazidi kuwa Tete,tunarudi Kwa mwaka Jana

======
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaonesha Petroli imepanda kwa sh. 443 huku Dizeli ikipanda kwa 391 kwa Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa bei mpya zilizotangazwa leo na EWURA, Petroli iliyokuwa inauzwa sh. 2,736 imepanda hadi 3,199 huku Dezeli iliyokuwa inauzwa sh. 2,544 imepanda hadi 2,935, kwa Dar es Salaam bei ambazo zitaanza kutumika kesho Jumatano, Agosti 02,2023 saa 6:01 usiku.

Aidha EWURA imesema sababu za mabadiliko ya bei hizo kwa mwezi Agosti 2023 ni changamoto za upatikanaji wa Dola za Marekani, mabadiliko ya sera za kikodi, kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani, ongezeko la gharama za mafuta katika soko la dunia na gharama za uagizaji wa mafuta.

Imesema kwa mwezi Agosti 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mikoa ya Tanga yatauzwa sh. 3,245 na Mtwara ni sh. 3,271.
Wewe Chawa ndo wa kutusaidia kuelewa.
 
Wakuu kwema?

Naona katikati ya sakata la mafuta na Dp world ghafla naona almasi na kiba, harmonize na kajala.. Huko mjini ni kwema kweli?
 
Wakuu kwema?

Naona katikati ya sakata la mafuta na Dp world ghafla naona almasi na kiba, harmonize na kajala.. Huko mjini ni kwema kweli?
Ngoja waje wa mjini wakujibu,acha nikapalilie mahindi huku bush.
 
Back
Top Bottom