Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Niliona habari Moja inasema kwamba mamaJK ndie mwanamke tajiri namba moja Tanzania. Sasa usishangae na huyo dogo akawa bilionea mdogo namba Moja Tanzania.
 
hv mbona kabla mama hajawa rais tulikuwa hatumsikii kabisa?

et madame ephen_ kabla ya mama yake kuwa rais huyu kiumbe alikuwa anasikika huko daslamu?
Sasa si kashakuwa rais na mtoto automatic anakuwa mwana wa malkia..
 
Watu hatari kisiasa na kiuchumi, ni Mwiny... Kule Zanzibar, Riziwan... Na Abdul.
Tusipohangaika nao,itakula kwetu soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…