samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Amesema hatishiki na kukosa nyomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani siasa inahitaji zaidi ya usomi kuna kitu cha ziada uwe nacho,ila kutegemea usomi nadhani unaweza angukia puaJamaa ana PhD ya uchumi huyo.
Nimekumbuka ile motion ya debate, "EDUCATION IS BETTER THAN MONEY".
Tindo vipi? Njoo uone CCM walichowafanyia viongozi wako, bonge la choo mlevi wa konyagi chali! Umebaki na viti vya JF.Kwa kura sina Shaka na viti kibao, Ila kwa maagizo ya magufuli usishangae hata hao wagombea wa cdm kuishia kushambuliwa na watu wasiojulikana.
Tindo vipi? Njoo uone CCM walichowafanyia viongozi wako, bonge la choo mlevi wa konyagi chali! Umebaki na viti vya JF.
uliwai sema hatapata kiti hata kimoja vip utabir wako umetimiaKwenye uchaguzi gani labda?
Nani huyo?uliwai sema hatapata kiti hata kimoja vip utabir wako umetimia
Vipi mkuu?
Naona Lisu siyo Lowasa
lipumbaNani huyo?
lipumba
Aibu Aibu Aibu!!!!Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Kubwa JingaHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Hiyo picha iweke full mbona umeikata,labda huo upande tusiona ndo Kuna nyomiHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
yale mapumbavu ya sukuma gang yaje hapa.Aibu Aibu Aibu!!!!