Najua hili na nilikuwa namwonyesha mjinga mmoja kwamba binadamu tumepewa uwezo wa kufanya makubwa na siyo kila kitu ni kudra za Mungu.
Alisema msomi mmoja "uwezo wa ubongo wa mwanaadamu asili yake kama umejikuja au umejinyongorota lakini ukikunjuliwa unaweza kutoka hapa Afrika mpaka bara Amerika na kurudi kama round nne hivi"

Hiyo ni falsafa na ilikuwa na maana. Chakata kichwa uelewe maana na uwezo wa mwanadamu ni mkubwa kiasi gani. 😊
 
Hiki nachokiona hapa Kwenye taarifa ya habari 🙄😳🤔
Sio mchezo jmn
Sio Kwa hii mimaji
Halafu ubaya wa haya maji yanakuwaga na choo 🙌
 
Mitaro midogo,halafu 2007/8 pale walituambia wanapanua mitaro,mjini ikawa foleni..lakini hakuna lolote
 
Ukonga Banana hapa gari haziendi Gongo la Mboto wala Mjini.

Mkandarasi amechimba chimba barabara.

Ni zaidi ya saa (li)moja sasa toka Airport gari haijafika Gongo la Mboto
Mtu anayetoka hapo anaenda kurasini apite wapi?

Azunguke kinyerezi tabata au wapi?
Ile njia ya vingunguti ndani ndani inatokea majani ya chai na vingunguti relini inapitika?
 
Tanga
 
Kufuatia watu wengi kuziba njia za maji hasa viwanda na maghala maneno ya Tabata relini kwenda Buguruni na sehemu zingine, serikali iwatake walioziba njia hizo za maji watengeneze njia mbadala au sivyo wakubali serikali irudishe hizo njia za asili kwenye eneo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…