Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Ohooh mnatupa pressure ndugu,Dar ni sehemu ya bahariii haikutakiwaa kuwa mji aisee...mafurikoo kila konaaa
Wengine family zetu ziko huko kila mara kuwapigia simu hata wakituambia wazima hatuamini hadi tuwaone kwa video call na mazingira ya nje😅.
Ila mrudi mhamie vijijini tunawasubiri ,hakuna mafuriko huko.