t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Hasa kule kwenye mabwawa ya majitakaBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa kule kwenye mabwawa ya majitakaBuguruni haitamaniki kipindi hiki. Yaani ninaposema haitamani ni haitamaniki kweli.
TMA wamekukasimu Jukumu la Communication Manager na PR Executive Wao ili utuulize au ni Kiherehere chako tu?KAMA wewe ni makazi wa Dar es Salaam na viunga vyake, embu tupatie hali ikoje kwa eneo lako mpaka sasa, na kama utapata picha ya maafa unaweza kutuma hapa ili tujuzane ni barabara zipi mpaka sasa zinapitika na ipi imefunga mpaka sasa,
Update itatusaidia kutoka sehem moja mpaka nyingine kwa urahis ikiambatana na kuokoa watu l🙏🏽
Acha masihara nisije nikaenda kuchukua watoto wangu kwenye familia za watu 😂Hahahahaha View attachment 2800996
Duh!... Huko Daslaam mvua ni maafa na sio baraka kama huku mikoani ?...🙄🙄🙄KAMA wewe ni makazi wa Dar es Salaam na viunga vyake, embu tupatie hali ikoje kwa eneo lako mpaka sasa, na kama utapata picha ya maafa unaweza kutuma hapa ili tujuzane ni barabara zipi mpaka sasa zinapitika na ipi imefunga mpaka sasa,
Update itatusaidia kutoka sehem moja mpaka nyingine kwa urahis ikiambatana na kuokoa watu l🙏🏽
Nikiherehere changu na ni kwa sababu ya update za mji ili tujue tunaishije kama wananchi maana taarifa zinachelewa sana so ukitupa update itasaidia sana, hakuna maendeleo bila taarifa, kama utaona inafaa tusaidie kama unaona mambo meusi pita vileTMA wamekukasimu Jukumu la Communication Manager na PR Executive Wao ili utuulize au ni Kiherehere chako tu?
Mtani kumbafu kabisa, tangu uchapwe na mps akili yako haina akili tena😂😂TMA wamekukasimu Jukumu la Communication Manager na PR Executive Wao ili utuulize au ni Kiherehere chako tu?
Mikoa mikubwa kama mwanza bado hali ni shwari na jua linawaka muda huu kwa habar niliyoipokea lakn shida iko darDuh!... Huko Daslaam mvua ni maafa na sio baraka kama huku mikoani ?...🙄🙄🙄
Ndio maana mnatuacha stendi hamtaki kutupokea tukija huko.
Saint Anne Chizi Maarifa To yeye
Tukupe update wewe kama nani? Stupid kabisa kwahiyo tukikupa update ndiyo utatulimia mahindi?KAMA wewe ni makazi wa Dar es Salaam na viunga vyake, embu tupatie hali ikoje kwa eneo lako mpaka sasa, na kama utapata picha ya maafa unaweza kutuma hapa ili tujuzane ni barabara zipi mpaka sasa zinapitika na ipi imefunga mpaka sasa,
Update itatusaidia kutoka sehem moja mpaka nyingine kwa urahis ikiambatana na kuokoa watu l🙏🏽
Nyie mnatufanyia surprise...... hatutaki surprise....Duh!... Huko Daslaam mvua ni maafa na sio baraka kama huku mikoani ?...🙄🙄🙄
Ndio maana mnatuacha stendi hamtaki kutupokea tukija huko.
Saint Anne Chizi Maarifa To yeye
Uzi unasema unipe mm taarifa au utoe taarifa kama hutaki kutuambia unaweza pita kule sio kujaza sever na cmmt za kitoto hvyo fikiria kidogo basiTukupe update wewe kama nani? Stupid kabisa kwahiyo tukikupa update ndiyo utatulimia mahindi?
Bilionea gani huyu ana hasira kama maskini na anawaza mahindi?😂😂Tukupe update wewe kama nani? Stupid kabisa kwahiyo tukikupa update ndiyo utatulimia mahindi?
Lipo kawe hapo linatafuta umbea wa wale jamaa , linatafuta makosa yao lilete humu😂😂😂😂Mtani kumbafu kabisa, tangu uchapwe na mps akili yako haina akili tena😂😂