Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

Majaliwa anaelewa maana ya machafuko?
1654931464217.png
 
Mama ana wapenda sana watu wa kasikazini, ameenda kule mara mia, Magufuli ali wanyanyasa sana, aliwa tenga, sasa tume pata mtu wa kuwa unganisha, Mama ana fungua nchi kwahiyo wa Maasai wote wotoke tena kwa mtutu waende sehemu wajuao wao kutafuta makazi mapya, tena for free, hatutaki mchezo TUNAFUNGUA NCHI.
 
We niMwarabu wa wapi mkuu??
Hakuna ardhi ya masai Tanzania Ni vizuri kuhamishwa
Salaam Wakuu,

Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.

Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.

MY TAKE:
Damu ya Mtu haiendi bure.

Pia soma:

Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo

WANANCHI WALIOJERUHIWA NA POLISI KATIKA KIJIJI CHA OLOLOSKWAN KWA RISASI TAREHE 10 JUNI 2022

1 Ngormoj Masago Mwanamke Amepigwa risasi Mguuni na chini ya Tumbo
2 Partalala Parmwat Mwanaume Amevunjwa Mguu
3 Koote Kaura Mwanaume Amevunjwa Mguu
4 Sereman Lukeine Mwanaume Amevunjwa Mkono
5 Kiteleshon Masago Mwanamke Begani
6 Olengiyo Mwanaume Amevunjwa Mguu
7 Njipai Nginai Mwanaumke Amevunjwa mguu
8 Mtoto wa Denis Reya Mwanaume Amevunjwa mguu
9 Orkiliyai Saingeu Mwanamke Amevunjwa Mkono
10 Olesukuli Lukeine Mwanaume Kichwa


View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
View attachment 2256393View attachment 2256394
View attachment 2256336
View attachment 2256286
 
Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Fair enough....

Basi wasidanganye kwamba kuhama ni hiari.

Samia administration's stated policy is kuhama ni hiari. Majaliwa alisemea bungeni.

Muendelezo wa hulka za uongo za Kassim Majaliwa.

Aliwahi kuliambia taifa nimetoka kumuona Magufuli akichapa kazi, mnataka aonekane wapi, Magomeni? Kesho yake akafa.

Na anaongopeaga bungeni na misikitini. Kufuru!

Astakafululillah ladhim
 
Hili taifa ni swala la muda tu,,,,UKWELI huwa haujifichi....

Watu wameweka maslahi yao mbele kuliko maslahi ya taifa.
 
Hakuna haja ya kuitana fala...
Mimi sio mjuaji bali nimejaribu kulitazama hili jambo kwa macho makali ambayo wewe huna.
Next time jitahidi kutumia lugha nzuri...nadhani tupo pamoja....

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Jiwe mbona alivunja nyumba za watu maeneo mengi tena kukiwa na zuio la mahakama na mlikaa kimya tu na leo hii tunazifurahia barabara. Acheni serikali ifanye kazi yake
 
Simply stages picture
Polisi amekufa halafu hizi ndo picha za watu waliounizwa? Mostly maumiv ni kidogo, wale wa2 wa mwisho wenye maumivu mengi, imeonekana damu zaidi kuliko vidonda, the typical type of staged pictures.
Sorry, but tukio hili haliuzi sana, huwez fananisha na story za kuchinjana za wakulima na wafugaji, madha
 
Mgema akisifiwa,....................
Yajayo yanatisha zaidi.
 
Back
Top Bottom