Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Tutaona na kusikia wajinga wengi sana mwaka huu; mungu wetu wasaidie wajinga hawa wapate akili tena. Tanzania haijajenga miundombinu ya kutosha kusaidia wajinga.Mwambie baba yako ajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaona na kusikia wajinga wengi sana mwaka huu; mungu wetu wasaidie wajinga hawa wapate akili tena. Tanzania haijajenga miundombinu ya kutosha kusaidia wajinga.Mwambie baba yako ajibu
Weka tuoneNatamani niweke invoice toka MSD hapa muone uongo wa polepole.
Kuwatisha wapiga kura ndio kampani ya kisayansi?
Nguo zitajisumbukia hukohuko akifika...[emoji23][emoji23]Ana handbag tu mbona
Wameshinda njaa eeeh😆?Badala Atetee Ilani Ya Ccm, Yeye Anahaha
Kumjibu Tundu. Chadema Wanajua Wameshinda Asubuhi
Siyo sayamsi Ni sayansi.Yani huyu ng'ombe kubeba watu kwenye matrekta na malori na mabasi ndo kisayansi....?
Kusomba watoto wa primary na kukatisha masomo yao ndio sayamsi?
Lissu ametoa hoja gani ya kujibiwa na watu wenye akili timamu?Jibuni hoja za Lisu siyo kupuyanga
Umejuaje mkuu?Siyo sayamsi Ni sayansi.
Kampeni za CCM 2020 tunazifanya kisayansi, tumegawanya viongozi waandamizi wa chama kwenye maeneo tofauti. Msafara mkuu unaongozwa na Dkt. Magufuli, msafara mwingine wa Mhe. Samia Suluhu, na mwingine unaongozwa na Kassim Majaliwa, sisi hatutumii chopa." - Humphrey Polepole.
Mzee Jakaya Kikwete yupo Ukanda wa Kusini kule anavuruga, Mzee Pinda na Spika Job Ndugai nao wanaendelea. Muziki ni mzito mpaka sasa tunapozungumza kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni, tunafanya kampenzi za kisayansi." -Humphrey Polepole
Tangu Mhe. Magufuli aingie madarakani hakujawa na mfumuko wa bei, tumefanya kazi nzuri mno, bidhaa haiongezeki, Mhe. Magufuli amefuta kodi kwa wenye mishara midogo, hawa wanaosema ni wapotoshaji, tumelazimika kuwajibu, tunawaambia wasifanye siasa na hivyo." - Humphrey Polepole.
"Ukisema kushuka kwa Diplomasia ni uongo, Mhe Magufuli ameingia tu madarakani akapewa Uenyekiti wa EAC, ameendeleza mwendo wa kubana matumizi, miradi mikubwa imefanyika, ameacha alama, SADC amefanya mambo makubwa, MSD inapeleka dawa nchi zote za SADC." - Humphrey Polepole.
Tumefuatilia na kujiridhisha kwamba ni uongo mtupu, na TCAA imeshatoa ufafanuzi, lakini unajiuliza nini dhamira ya kusema uongo, kwamba mmezuiliwa kwenda kufanya kampeni maana yake unataka kupandikiza chuki, na hata hakukuwa na mpango wa safari"
Anayezungukwa na wasanii naye huwa msanii.Sukari ?
Unajua kama mtu anaweza kudanganya moja kwanini asidanganye mawili au matatu au yote?, tangu huyu jamaa aache kuongelea issue na kuamia kwenye mipasho na taarabu wala huwa simpi time ya kumsikiliza
Kampeni za CCM 2020 tunazifanya kisayansi, tumegawanya viongozi waandamizi wa chama kwenye maeneo tofauti. Msafara mkuu unaongozwa na Dkt. Magufuli, msafara mwingine wa Mhe. Samia Suluhu, na mwingine unaongozwa na Kassim Majaliwa, sisi hatutumii chopa." - Humphrey Polepole.
Mzee Jakaya Kikwete yupo Ukanda wa Kusini kule anavuruga, Mzee Pinda na Spika Job Ndugai nao wanaendelea. Muziki ni mzito mpaka sasa tunapozungumza kuna mgombea mmoja amekimbia yupo nje ya nchi, ameona maji yamemfika shingoni, tunafanya kampenzi za kisayansi." -Humphrey Polepole
Tangu Mhe. Magufuli aingie madarakani hakujawa na mfumuko wa bei, tumefanya kazi nzuri mno, bidhaa haiongezeki, Mhe. Magufuli amefuta kodi kwa wenye mishara midogo, hawa wanaosema ni wapotoshaji, tumelazimika kuwajibu, tunawaambia wasifanye siasa na hivyo." - Humphrey Polepole.
"Ukisema kushuka kwa Diplomasia ni uongo, Mhe Magufuli ameingia tu madarakani akapewa Uenyekiti wa EAC, ameendeleza mwendo wa kubana matumizi, miradi mikubwa imefanyika, ameacha alama, SADC amefanya mambo makubwa, MSD inapeleka dawa nchi zote za SADC." - Humphrey Polepole.
Tumefuatilia na kujiridhisha kwamba ni uongo mtupu, na TCAA imeshatoa ufafanuzi, lakini unajiuliza nini dhamira ya kusema uongo, kwamba mmezuiliwa kwenda kufanya kampeni maana yake unataka kupandikiza chuki, na hata hakukuwa na mpango wa safari"
200% inflation. Three digits inflation. Unbelievable. It is the first country in the world to mess up economically.Mwaka 2015 sukari kilo 1500 mwaka 2020 sukari kilo 3000. Hongera kwa kudhibiti mfumuko wa bei
Old wine in an old bottle.Wapinzani wana nongwa kama nywele zinaota tuuu - Humphrey Polepole
Tundu anasema majudge hawajui kiingereza - Humphrey Polepole
Tundu ana kauli ya UHURU na HAKI lakini wamewanyima waandishi wa habari uhuru na haki - Humphrey Polepole
Wapinzani wanapinga matumizi ya ndege lakini wao wanatumia chopa - Humphrey Polepole
Wapinzani wanataka kufanya mambo kinyume cha maadili ya mtanzania na kinyume cha imani za dini - Humphrey Polepole
Wapinzani wetu hawapo serious.....kauli mbiu ya kugawa ubwabwa - Humphrey Polepole
Kura zikipigwa Leo Magufuli anashinda kwa 85% - Humphrey Polepole
CCM imejenga na kuboresha vituo, vya afya, hospitali za wilaya na mikoa, hospitali za rufaa, imeajiri madaktari zaidi ya 1000, imenununua vifaa tiba na sasa inaelekea kuboresha bima - Humphrey Polepole
Yeyote anayemshabikia Lissu akili zake sawa na za Ng'o.m.b.eMapuuza yamealikana kama yote halafu yanaongea utopolo tupu
Unategemea Mc Polepole aongee nini cha maana?Sukari ?
Unajua kama mtu anaweza kudanganya moja kwanini asidanganye mawili au matatu au yote?, tangu huyu jamaa aache kuongelea issue na kuamia kwenye mipasho na taarabu wala huwa simpi time ya kumsikiliza
Sasa hili litampatia vipi kura? Mpaka wewe ushupae kuwa analeta challenge kwa JPM? Hujui kuwa wananchi wengi wanataka aongezewe muda ili akamilishe haya mazuri anayokufanyia wewe na watanzania kwa ujumla? Yeye ameshasema hataongeza na atafuata katiba ya JMT. Sasa huyu analeta uongo gani majukwaani.