Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,081
- 2,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka kwa Joseph Selasini Mbunge wa Rombo,,,,
Amesema kuwa maelezo aliyopata ni kuwa alikuwa akifuatiliwa na gari tangu anatoka
bungeni na dereva wake alilishtukia.
Amesema kuwa alivyoona wanamfutilia alipofika nyumbani, dereva alimsihi Lissu asishuke ndani ya gari.
"Hao watu walipoona hawashuki walijifanya kuna kitu wanaangalia walivyoona kuna utulivu
walisogeza gari lao ambalo ni tinted na kuanza kurusha risasi upande wa Lissu."
Selasini amesema, “Risasi zilimpata mguuni, mkononi na tumboni lakini daktari anasema
anaendelea vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata alshaababu wanazo, Wakibiti wanazo.kina nani wanamiliki SMG?
Maajabu ya Mende "kuangusha kabati"KAZI KWELI KWELI!
RAIA WANASUBIRI TAARIFA KUTOKA POLICE NA POLICE WANASUBIRI TAARIFA KUTOKA KWA RAIA!
HAPA KAZI TU!
Mange atatusaidia kumjua mmiliki, stay tuned.Anzeni kulisaka gari hili Toyota Premio
T460CQV
Ungeweza ukatoa taarifa na ukabaki salama.Mkuu kipindi cha Mwema kilikuwaje?
Kama ya MboweHivi kujiunga na jeshi la police unahitaj kuwa na 'division' ipi?
mkuu ndo walikuwa nayo hii?naisaka mwenyewe nitaripoti nikiionaAnzeni kulisaka gari hili Toyota Premio
T460CQV
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
![]()
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
I guess my comment won't defame you in anyhow..lakini ulichoandika is just another silly, unfounded opinion raised out of misconception and probably sheer rashness. Govt inahusika in one way or another....and that's the bottom line!Nimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti
WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL
Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA
JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana
Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe
Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa
Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k
Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma
Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k
So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu
Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa
Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa
But Leo wanamkumbuka
SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON