hakika utakufa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,789
- 822
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtikila aliwahi sema..."polisi ni mbwa wa ccm"Yaani sisi wananchi sisi hapa twaweza kuwa wapelelezi wazuri zaidi kushinda Polisi?Ndo maana nawachukiaga polisi haki ya nani vile
Mkuu kipindi cha Mwema kilikuwaje?
Kwa police hawa hakuna upelelezi hapona wao waendelee na upelelezi si wakae wasubirie
We utakuwa mnufaika wa CcmKama kuna mtu hana akili na wewe umo. Unaichukia selikari kwa lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
duh
Ha ha ha.
Kwa mpango na maelekezo ya kumuua lisuKama kuna mtu hana akili na wewe umo. Unaichukia selikari kwa lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app