Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
T624BJFITV AMESEMA NISSAN NYEUPE WALIOONA WAKAMWAMBIA ASEME WAKINANI NA NAMBA GANI
Young Dkuna ile nyimbo ya Tupo bongo bahati mbaya,tukaribie ulaya nani kaimba hii nyimbo tena
sio kwa sasa, yaani tuliaga tu hivo hivo, keep your cool babe!
T460CQVHABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
![]()
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
hivi hajawahi kuripoti kuwa anafatiliwa na akawakamata na namba ya gari akatoa...waanze kwanza wale aliowakamata kipindi kile wachunguzwe wahojiweHABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
![]()
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
Kuongoza tz ni sawa unaongoza maiti.
waliompiga lissu risasi wametumwa na magufuli.
njooni mnipige na mimi niko tayari.
Tiketi na barua ya mwaliko please. nikufuate mara moja!aisee....kesho narudi nyumbani Mongolia.......nikutumie nini nikifika....?
Hili swali wanapasa kuuliza wendawazimu...Kama kuna mtu hana akili na wewe umo. Unaichukia selikari kwa lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu bora ushughulikie ugali wa familia haya mengine tuwaachie wajuaji.Hahahahaha ngoja nikae kimya tu