Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi


Daaa wangejua wangekimbilia polisi au mahali kwenye watu wengi ........
 
Msijidanganye kupeleka ushahidi huko. Wanachofanya hivi sasa ni kijaribu kuona kama kuna mahali wameacha ushahidi. Ila wasicho kijua ni kwamba ushahidi tayari upo tena mkubwa sana. Watu wana jifunza kwa matukio na nyakati. Msione kuwa watu mazoba na mambwiga.
 
Mungu wangu Mungu wanguuu....
 
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.


[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]

Haya kamanda subiri wakuletee
 
I guess my comment won't defame you in anyhow..lakini ulichoandika is just another silly, unfounded opinion raised out of misconception and probably sheer rashness. Govt inahusika in one way or another....and that's the bottom line!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…