mungu tena?kweli mungu anakuona...
kina nani wanamiliki SMG?
Mkuu changia kwa weledi tu ila hiyo ndiyo hali halisi ya utendaji kazi wa vyombo vyetu vya usalama!
!
Kuna baadhi ya thread huanzishwa ili watu tupigwe ban tu basi. Sasa kwa taarifa yako mleta uzi kama mjumbe na huyo kamanda ambaye umemsaidia kuleta ujumbe hapa... Nimeshtuka. Sipigwi ban wala sitatafutwa kwa makosa ya mitandaoni. Nakaa kimya
kina nani wanamiliki SMG?
ITV AMESEMA NISSAN NYEUPE WALIOONA WAKAMWAMBIA ASEME WAKINANI NA NAMBA GANI