Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wangekua na hiyo nia mpaka sasa hivi ingejulikana, ni juu ya Chadema kufanya huo uchunguzi.Polisi ya bongo bwana...
Ingelikuwa ni wenzetu kwa kutumia vidhibiti vidogo vidogo tu kama ukubwa wa matundu ya risasi, maganda ya risasi n.k
Sasa hivi tungekuwa tushajua angalau silaha ilinunuliwa au ilosajiliwa kwa nani, mpigaji au wapigaji wanatumia mikono gani n.k...
Lakini sasa bongo kama kawaida yao upelelezi unategemea umbea umbea tu...
Jamani hivi mkuu wa mkoa wa dar alikuepo Leo ikulu pindi ikisomwa taarifa ya madiniMaganda ya risasi kwenye tuko husika hayaonekani?!
Nape alitolewa bunduki waziwazi na watu wa usalama,Kigoma Malima nae akatolewa SMG kule Mikocheni,Makonda huyo huyo akavamia studio na mabenduki huku mteuzi wake akimsifia,juzi kati IMMA Advocate wameshambuliwa kwa bomu na hadi leo tunaambiwa mashudu.
Kwa trend hizi na wale waliosema wako tayari kumuua Lissu,ina maana bado hatujui nani anahusika?!
Yule aliyesema mawakili wakamatwe kwa kuwatetea wahalifu,kwa nini asikamatwe nae kusaidia kujua wahusika wa mashambulizi!!!
Wapo kituoni wanasubiri taarifa kutoka kwa yeyote anayewafahamu watu waliompiga risasi lissu.na wao waendelee na upelelezi si wakae wasubirie
Ili wakuue?
we Need to be silence ndo lugha ganiNimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti
WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL
Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA
JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana
Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe
Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa
Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k
Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma
Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k
So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu
Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa
Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa
But Leo wanamkumbuka
SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON
tundu lissu anakaa mtaa mmoja na mwigulu nchemba na hamadi masauni na mawaziri kibao lazima polisi watakua wanajua yaliyotokeaHABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
![]()
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
Naunga mkono hoja,njoo mnipige na mm over.Kuongoza tz ni sawa unaongoza maiti.
waliompiga lissu risasi wametumwa na magufuli.
njooni mnipige na mimi niko tayari.