Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi ya bongo bwana...

Ingelikuwa ni wenzetu kwa kutumia vidhibiti vidogo vidogo tu kama ukubwa wa matundu ya risasi, maganda ya risasi n.k

Sasa hivi tungekuwa tushajua angalau silaha ilinunuliwa au ilosajiliwa kwa nani, mpigaji au wapigaji wanatumia mikono gani n.k...

Lakini sasa bongo kama kawaida yao upelelezi unategemea umbea umbea tu...
wangekua na hiyo nia mpaka sasa hivi ingejulikana, ni juu ya Chadema kufanya huo uchunguzi.
 
Maganda ya risasi kwenye tuko husika hayaonekani?!

Nape alitolewa bunduki waziwazi na watu wa usalama,Kigoma Malima nae akatolewa SMG kule Mikocheni,Makonda huyo huyo akavamia studio na mabenduki huku mteuzi wake akimsifia,juzi kati IMMA Advocate wameshambuliwa kwa bomu na hadi leo tunaambiwa mashudu.

Kwa trend hizi na wale waliosema wako tayari kumuua Lissu,ina maana bado hatujui nani anahusika?!

Yule aliyesema mawakili wakamatwe kwa kuwatetea wahalifu,kwa nini asikamatwe nae kusaidia kujua wahusika wa mashambulizi!!!
Jamani hivi mkuu wa mkoa wa dar alikuepo Leo ikulu pindi ikisomwa taarifa ya madini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mamlaka kutoka juu kweli? Kwani ana ugomvi na nani zaidi ya mamlaka na fans wake.
 
Nimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti

WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL


Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA


JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana

Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe


Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa

Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k



Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma

Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k



So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu

Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa


Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa



But Leo wanamkumbuka


SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON
we Need to be silence ndo lugha gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndilo jeshi letu, mwenye habari alete wakati wamiliki wa smg. ni wao na wao ndio walinzi wa usalama wa raia na mali zao.. Mungu hukumu yatoka kwako tenda baba.
 
Ukishaskia kauli kamà hizi mtu mzima unajiongeza.....mungu yupo pamoja na lissu,utawala wa kiďiktèta unaotumìa mwamvuli wa uzalendo kuficha maovu yakè wotè tunaujua
 
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
adc7684e7b5f47745028ccb004d3f1db.jpg


[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
tundu lissu anakaa mtaa mmoja na mwigulu nchemba na hamadi masauni na mawaziri kibao lazima polisi watakua wanajua yaliyotokea
 
Leo wanataka msaada kwa watu ambao hawana elimu wala utaalamu wa ulinzi na usalama? What a shame? Had I been a cop I would start with the statement he made about the car which has been tracking him for sometime. Nikishajua mmiliki wa gari ndo hapo mambo yanaanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom