jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Tulivyo ambiwa tunaingia kwenye Tanzania ya teknolojia (digitali) ilikuwa kwenye visembusi pekee? Au sekta zote?
Mi nadhani tushirikishe na digitali kwenye mitaa yetu serikali sidhani kama inashindwa kuweka cctv kamera kwenye mitaa yake hii ya kusema watu wasiojulikana ni haina maana
Tumuombee Tundu lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nadhani tushirikishe na digitali kwenye mitaa yetu serikali sidhani kama inashindwa kuweka cctv kamera kwenye mitaa yake hii ya kusema watu wasiojulikana ni haina maana
Tumuombee Tundu lisu
Sent using Jamii Forums mobile app