Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Kabla ya kupigwa risasi walitafuta hiyo premio
 
Wabunge wengine wako salama maana wao hawaongei
 
Tundu Lissu sasa ni kiongozi wa kitaifa. Ni mtetezi wa kila mtu si tu wanaCHADEMA bali wanaCCM na sisi tusio na vyama.

Mji wa Dodoma ni makao makuu ya nchi. Mhimili wa dola, bunge, liko Dodoma; waziri mkuu na wizara nyingine zipo Dodoma. Serikali (mawaziri) iko Dodoma kwa ajili ya vikao vinavyoendelea. Kwa mantiki hiyo ulinzi na usalama wa Dodoma umeimarishwa. Hakuna wa kuingia wala kutoka kirahisi Dodoma kama amefanya uharifu mkubwa kiasi hiki.

Swali linabaki sasa kwa je hawajapatikana hao wauaji mpaka sasa katika ulinzi mkubwa wa mji wa Dodoma? Au tuamini kuwa ni vyombo na ulinzi serikali vinafanya haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu sasa ni kiongozi wa kitaifa. Ni mtetezi wa kila mtu si tu wanaCHADEMA bali wanaCCM na sisi tusio na vyama.

Mji wa Dodoma ni makao makuu ya nchi. Mhimili wa dola, bunge, liko Dodoma; waziri mkuu na wizara nyingine zipo Dodoma. Serikali (mawaziri) iko Dodoma kwa ajili ya vikao vinavyoendelea. Kwa mantiki hiyo ulinzi na usalama wa Dodoma umeimarishwa. Hakuna wa kuingia wala kutoka kirahisi Dodoma kama amefanya uharifu mkubwa kiasi hiki.

Swali linabaki sasa kwa je hawajapatikana hao wauaji mpaka sasa katika ulinzi mkubwa wa mji wa Dodoma? Au tuamini kuwa ni vyombo na ulinzi serikali vinafanya haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaendelea kulitafuta gari jeupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisii! Ina maana ile intelijensia inayozuia mikutano ya kisiasa ambayo ni hatarishi haijabaini hilo nissan jeupe au jeusi ni la watu gani wasiojulikana?
Nadhani Nissan nyingi zinamilikiwa na watu wasiojulikana
 
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.

Kwa sasa wamepata taarifa kuwa gari iliyoonekana ni gari nyeupe aina ya Nissan.

Naye mkuu wa mkoa wa Dodoma amesema polisi wameshaanza kufanya upelelezi kuhusu wahusika na kusema watu waendelee kusubiri taarifa kutoka kwenye jeshi hilo

Amesema hawatapenda kuona mikusanyiko sehemu yoyote ya Dodoma mjini kwa sababu jeshi la polisi bado linafuatilia asili ya tukio lenyewe na mikusanyiko ya watu inaweza kutumika vibaya.
Pia wataendelea kuwafaamisha raia kwenye kila hatua watakayofikia



adc7684e7b5f47745028ccb004d3f1db.jpg


[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]

H
Hata saa nane alitaja namba za simu zilizokuwa zinamtishia na hakuna hadi sasa anaesema hizo namba ni za nani, wahusika wanajijua maana lisu ugomvi wake ni yeye na shetani mmoja sasa na musolin na hitler
 
Waanze na taarifa ya Lissu mwenyewe akiwa anatoka kanisani.
 
Ukipeleka taarifa, cyo tu kwamba watakupiga risasi tano, ila watakulipua kabisa na baada ya hapo watatangaza tena kuwa mwenye taarifa awapelekee.
 
Nyumba yake haikuwa na cctv? Walinzi? Yaani wema anawalinzi TL hana?
 
Nimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti

WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL


Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA


JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana

Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe


Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa

Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k



Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma

Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k



So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu

Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa


Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa



But Leo wanamkumbuka


SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON
Nakuunga mkono kamanda.Swali linalonisumbua ni kwa nini hili tukio litokee wakati ripoti inawasilishwa.Na kwa sasa upepo umebadilika wananchi badala ya kutafakari hotuba ya kizalendo ya Mh.Rais,jamaa wamecheza kubadilisha upepo huu.Ki ukweli ukimsikiliza Rais hawa jamaa wanaochimba madini jina lao limeshachafuka.
Pili,si amini dola inaweza kufanya upuuzi huu,dola lina njia zote tunazozijua na tuzisizojua kumalizana na Lisu,sema kazi aliyojipa ya kuwatetea hawa jamaa ambao hawana permanent friend wala permanent enemy ndio kama hivyo,na prof mluma anatakiwa ulinzi wa kutosha.Mwenye akili amenielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom