Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Amani ya bwana iwe nanyi!
Leo jeshi la polisi nchini kupitia kwa msemaji wake limewataka wananchi kusheherekea sikukuu ya pasaka bila shamrashamra kwa kile walichodai kuwa taifa lipo kwenye maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu wa tano marehemu John Pombe Magufuli.
Hii si sawa maana pasaka ni sherehe ambayo wakristu wanafurahia kufufuka kwa mwokozi wao Yesu kristo na shamrashamra ni sehemu ya ibada. Kitendo cha kuzuia shamrashamra hakikubariki hata kidogo. Taifa hili kuna watu wataliangamiza kwa ujinga wao.
Leo jeshi la polisi nchini kupitia kwa msemaji wake limewataka wananchi kusheherekea sikukuu ya pasaka bila shamrashamra kwa kile walichodai kuwa taifa lipo kwenye maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu wa tano marehemu John Pombe Magufuli.
Hii si sawa maana pasaka ni sherehe ambayo wakristu wanafurahia kufufuka kwa mwokozi wao Yesu kristo na shamrashamra ni sehemu ya ibada. Kitendo cha kuzuia shamrashamra hakikubariki hata kidogo. Taifa hili kuna watu wataliangamiza kwa ujinga wao.