Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Hatari sana kwa kweli.

wale Mungu atakaowajalia Umri mrefu wa kuishi walau kufika 2055, wajiandae kuulizwa maswali mengi na vijana wa miaka hiyo.

Maana itaonekana ni kama Nchi nzima haikuwa na watu wenye uwezo wa kuhoji wakati haya mabaya yakifanyika [emoji119]

Inasikitisha sana,tumemwachia Lissu pekee
 
Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.

Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.

Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.

Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.

Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
Na hili mkalitafakari
 
MH tundu lissu ashasema anaenda kisheria polisi ni kuwaataarifu tu, wagome au wakatae ni maamuzi yao, natamani kua kama lissu yani haki yake anaipigania haombi anaichukua hii ni tofauti karibu asilimia 99.99 ya watz tunaomba haki zetu tubadilike kwakweli.
Mnamuunga mkono? si mnakaa kwenye key board mnamsakizia tu. Lissu kumbuka yaliyomkuta Yesu, waliomwimbia hosana hosana kesho yake wakasema asulubiwe, bora aachiwe jambazi Baraba lakini Yesu asulubiwe. Uko tayari??
 
Hatari sana kwa kweli.

wale Mungu atakaowajalia Umri mrefu wa kuishi walau kufika 2055, wajiandae kuulizwa maswali mengi na vijana wa miaka hiyo.

Maana itaonekana ni kama Nchi nzima haikuwa na watu wenye uwezo wa kuhoji wakati haya mabaya yakifanyika 🙌
Maandishi na video clips havipotei. Kuna mtu alisema makaburi yataulizwa
 
Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.
Ona upuuzi kama huu hapa.

Mtu anajiamria tu bila kufuata misingi yoyote ya kisheria, na watu wanatakiwa wakubali tu ujinga wa namna hii!

Hali ya namna hii ndiyo inayotawala kote nchini, wananchi kutakiwa kufuata tu maagizo, hata kama ni ya kipumbavu!
 
Kama Ujumbe wa EU ulikataliwa sina hakika kama Mhe. Lissu na Chama chake wakakubaliwa kwenda huko Ngorongoro.

Inaonekana kuna mambo Serikali inajaribu kuyaficha wasijulikane.

Ndiyo maana hata Mbunge wao nilisoma hapa JamiiForums kuwa alitoweka asijulikane alipo kwa muda wa siku kadhaa.

I smell fishy
Kama Magufuli alishindwa kumzuia TUNDU LISSU,sidhani kama Kuna mwingine ndani ya nchi hii mwenye uwezo huo!SIDHANI.
 
Huu mkutano wa Ngorongoro na Loliondo ni wa kimkakati...serikali itumie busara na sio nguvu.

Wajue tu Lissu haogopi kifo ni mfufuka hivyo hana cha kupoteza.

Huyu simba hazuiliki...wakileta ujinga wasubirie kisu toka EU
Ni serikali iliyojaa wajinga tupu, wengi wao wakijihesabu kuwa ni wahitimu wa fani ya sheria.
Mtu kama yule 'Ngumbaru' sijui 'Ngumboro' anataka waTanzania wakafunzwe Katiba miaka mitatu,... muda wote huo, watapewa shahada ya kuhitimu sheria?

Ni vizuri haya yanayofanyika sasa yanawaondolea waTanzania woga wa kutohoji ujinga unaofanywa na serikali isiyokuwa na nia njema kwa nchi.
 
Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.

Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.

Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.

Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.

Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
Samia kuna kitu anakitafuta Tanganyika! na atakipata siku si nyingi! . Kuchonganisha dini ni zaidi ya uhaini. Lengo ni nini!? Atakuwa rais wa kwanza kumaliza kwa aibu! afadhali mwenzake aliamua kufariki!
 
Ni serikali iliyojaa wajinga tupu, wengi wao wakijihesabu kuwa ni wahitimu wa fani ya sheria.
Mtu kama yule 'Ngumbaru' sijui 'Ngumboro' anataka waTanzania wakafunzwe Katiba miaka mitatu,... muda wote huo, watapewa shahada ya kuhitimu sheria?

Ni vizuri haya yanayofanyika sasa yanawaondolea waTanzania woga wa kutohoji ujinga unaofanywa na serikali isiyokuwa na nia njema kwa nchi.
Hao mafalla wanatuona hatunazo, ujumbe wanaotupa ni kuwa hawako tayari kuandika katiba mpya.

Mimi naona tuna upinzani dhaifu, tulipaswa kuwa road kama Kenya kwa uongozi wa upinzani
 
Hao mafalla wanatuona hatunazo, ujumbe wanaotupa ni kuwa hawako tayari kuandika katiba mpya.

Mimi naona tuna upinzani dhaifu, tulipaswa kuwa road kama Kenya kwa uongozi wa upinzani
Kwa bahati nzuri, au mbaya Tanzania siyo Kenya.

Mimi naamini kwa dhati kabisa sasa kwamba sisi tutatumia njia tofauti kabisa na zile za Kenya kufikia lengo la kupata Katiba Mpya. na kuondokana na hiki chama cha CCM moja kwa moja.

Wakati huo umefika sasa, tusipoteze fursa hii aliyotupa Samia.
 
Nadhani wanakosea. Rais Dkt Samia hataki uminyani ya uhuru wa siasa. Hawa polisi wanakosea. Mh. Lisu hata fanyeje hakubaliki kabisa. 2025 ni Dkt Samia pekee ndiye anapendwa zaidi. Polisi wamuache azurule atakavyo maana kukaa ndani ulaya kumemchosha sana. Ukizingatia hana mshahara hizo ndiyo per diem zake jamani.
Samia anapendwa na Nani!
Hebu watu kuweni serious, we umeenda wapi ukakuta watu wanasema wanampenda hangaya?
Huyu mama mkimuweka agombee 2025 atawapa kazi kubwa sana ya kuiba kura, na msipokuwa makini hiyo kazi itawashinda.
 
Polisi wamekataza mikutano yetu ya hadhara Ngorongoro. Juzi Serikali ya Samia imekataza wabunge wa Ulaya kutembelea eneo hilo. Wanaficha kitu gani? Licha ya jitihada za Serikali, Ngorongoro sio gereza & Wamaasai sio wafungwa wa gereza hilo. Sisi tutakuwa Ngorongoro kuanzia kesho!

Tundu Lissu
Mtandao wa X
Tunapenda kukufahamisha kuwa barua yako tajwa tumeipokea ikiwa na maudhui ya kufanya vikao vya ndani na mikutano ya hadhara maeneo ya kata 3 zizopo tarafa ya Loliondo na kata 3 zilizopo tarafa ya Ngorongoro.

Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro).

Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.

Kutokana na sababu hizo hapo juu, tunaelekeza kwamba usitishe mikutano hiyo kwa sasa hadi wakati mwingine ambao utakuwa mwafaka kwa ustawi wa amani na utulivu wa wilaya yetu.
Naam naam
Naona sasa serikali imeshajichokea kuona uhuru wa kukusanyika.
 
Kama Magufuli alishindwa kumzuia TUNDU LISSU,sidhani kama Kuna mwingine ndani ya nchi hii mwenye uwezo huo!SIDHANI.
Ogopa sana mtu mwenye dola. Hao wenzetu hawachelewi hata kuua ili waendelee kusalia na madaraka.

Mungu awasaidie wawe na ufahamu na hekima katika kutuongoza.
 
Back
Top Bottom