Umezunguka, tofauti na hoja yangu. Raisi anapotoshwa vipi na yeye akakubali? Hapa ndio hoja yangu ilipoAisee siasa ni kitu cha ajabu. Nyuma ya pazia kuna kundi la watu lililokupa support kabla hujawa na hicho cheo.
Hawa watu mara nyingi huwa ni remote control kwako pale unapokuwa na cheo flani. Ndiyo maana Jpm aligombana na wapambe wengi sana pindi alipowabadilikia.
So kama Mama hana roho ngumu ya kukubali wapambe wamchukie kwa ajili ya wananchi huwezi mlazimisha.
kapotoshwa kupitia fadhila mkuuUmezunguka, tofauti na hoja yangu. Raisi anapotoshwa vipi na yeye akakubali? Hapa ndio hoja yangu ilipo
Kama anakubali sababu ya fadhila kama unavyosema, basi hapo hajapotoshwa bali analipa fafhila. Hilo ni tatizo lake
Kaongea tu maoni yake km Mtz wa Kawaida tu km wewe.Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Tibaijuka kaongea ukweli woote, na ni jambo litakalotrend sana kwenye kampeni. ningekuwa ni mimi sa100 ningesubiri nishinde uchaguzi ujao ndio niwalete waarabu. hii ni tiketi nzuri sana kwa chadema, labda wabadilishe terms za mkataba. na hata hivyo hatujaona mikataba mingine 31 waliyoingia na waarabu. ila kuna siku tutaiona tu.hii dunia ni ndogo sana.Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Nilisikiliza kipindi hicho na alifadhaishwa (nami nilifadhaika mno) kuonda vijana, Edo na aka mzee wa Kaliua, wakiwa hawajiamini hasa katika kutetea Taifa.Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Dr Possi una aibika Brother.Unajua kwanini mkataba bandari unagusa maziwa makuu…
Naibu Katibu Mkuu Uchukuzi Dk Ally Possi amesema sababu ya mkataba wa uendelezaji wa bandari baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kugusa eneo la maziwa lengo ni kuziongezea ufanisi.www.mwananchi.co.tz
Kwahiyo akae kimya kwa sababu tu aliiba huko nyuma?Wakati alipokuwa analiibia taifa yeye na wenzake chini ya serikali ya Kikwete, mbona hakuja kujitolea maoni?
Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Kivipi?If trust is lost, its very difficult to recover.
Hapa Samia kuna watu wanampotosha
Viongozi wengi kama siyo wote wanatabia ya uchama.Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Tutajuaje kama labda mpaka sasa bado anatuibia kupitia mfumo mbovu wa bandari uliyopo sasa, kwahiyo anapambana ili mfumo huo usiondolewe?Kwahiyo akae kimya kwa sababu tu aliiba huko nyuma?
Asante prof!Mbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae
Crap from a low mind.Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Halafu yeye mwenyewe ndio mwizi kupindukiaTibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kwer wew ni AndaziTibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Porojo za mitandaoni zisikutisheMbunge mstaafu Prof Anna Tibaijuka amepinga vikali mkataba walioingia Tanzania na Kampuni ya DP World amesema kuwa una vipengele vingi vya ovyo mf kifungu Cha 4:2 Amesema hayo akihojiwa na kipindi Cha Jana na Leo Cha Wasafi fm.
Prof amesema issue hiyo ni very sensitive na haikupaswa iendeshwe kwa haraka kama anavyopelekwa ametolea mfano hii Kampuni iliwahi kuingia mkataba na Marekani Mwaka 2006 kuendesha bandari ya Marekani lakini bunge la Marekani ndio likaja kuvunja huo mkataba kupitia kura za wabunge ambao wakapiga mmoja mmoja na kura la jumla zikawa 62 kwa walikataa kwa 2 tu ndio walikubali sio kama tunavyofanya sisi kwa kuangalia ndio na hapana tunaweka ushabiki kwenye jambo linalogusa Maslahi ya Taifa
Akaongeza kuwa anampenda Sana Rais Samia ila kwa Hili sikubaliani nae