Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hayo mabwawa kujengwa kwa Kila kijiji n muhimu sana unaweza ukajenga lakwako private wakaja viongoz wakakuweka ndan wanakwambia unakausha mto ukisema uingize mipira mton uvute maji pia n kosa nchi hii kilimo kiko nyuma viongoz ndohao
Hilo ndio tatizo maana kila jema wao kwao ni Shari
Kuendeleza kitu hawawezi na hata wakiambiwa wafanye wanataka rushwa kukamilisha kitu
Mbona Late Mengi aliruhusiwa kujenga kwenye hifadhi na alilinda eneo vizuri