Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aibu snMama abduli bana ,anavituko kww kwei mimi najisikiia kinyaa kuongozwa na huyu kila kwa kweli ,
Sijaelewa ulichoandikaRekodi ya mtu aliyekaa muda mfupi sana baada ya kuapishwa bado inashikiliwa na yule aliyeteuliwa Naibu Waziri akashindwa kuapa.
Baada ya kutenguliwa kawa nani? Hii ni kama Ile ya yule alikiwaga boss wa TPDCJuzi Mhe. Rais Rais alimteua Prof. Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki). Ijumaa tar. 1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi akarudi nyumbani Dsm. Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani kwa kuteuliwa lakini jana usiku akafurushwa na kupelekwa ofisi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali. Yaani ameondolewa kwenye nafasi hata hajaingia ofisini.
Kwahiyo Prof. Kennedy ndiye Katibu Mkuu ambaye amedumu kwa kipindi kifupi sana maana ametenguliwa kabla hata hajaingia ofisini. Wizara ya mambo ya nje inaingia kwenye historia ya kuwa na Katibu Mkuu ambaye haijui ofisi. Kwa kuwa tayari alishaapa, jina lake litakuwepo kwenye orodha ya Makatibu wakuu wa wizara. Lakini "tenure" yake itakua siku moja, maana aliapishwa September 1 na kufurushwa September 3 bila kuingia ofisini.
Anyway, nadhani timu ya Rais inayoshughulika na "vetting" za viongozi haifanyi kazi yake ipasavyo. Huwezi kumteua Katibu Mkuu wa wizara nyeti kama ya Foreign kwa kubahatisha. Kama walikua hawana uhakika nae wasingemteua. Bora nafasi ingebaki "vacant" kuliko kumteua mtu leo na kumuondoa kesho.
Inaonekana hakuna umakini kwenye teuzi. Maafisa wanaomsaidia mama wanapuga ramli. Na hii si mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja aliwahi kuteuliwa DED na DAS kwa wakati mmoja. Ikaleta gumzo hadi yakafanyika mabadiliko. Timu ya "vetting" imsaidie Rais vizuri. Iache kufanya betting. Taarifa ya Ikulu haipaswi kuwa ya kubahatisha, inapaswa iwe firm and legitimate. Isiwe kama taarifa ya vicoba vya Mburahati. Fanyeni vetting sio betting.!
Malisa JG
Wewe mwenyewe umesema alishindwa kuapa. Hebu kasome tena post yako #3Aliapishwa ila baada ya kuapishwa muda si mrefu akatumbuliwa.
Samia anakurupuka katika maamuzi yake!! Sintashangaa akimfukuza boss mpya wa TISS kwavile Lushoto wanarudisha kadi za ccm!!!Teuzi za kubahatisha.
Ukipewa kazi, ya Nchi umepewa majukumu na mzigo mzito mno na hivyo hukimbilii kutoa sadaka ya shukrani Kanisani bali inabidi upige magoti kisirsiri chumbani kwako ukimwomba Mungu akuzidishie hekima ili uweze kuwatumikia kwa kicho waTanzania.Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani
Technically hajawahi kuwa manake ili uwe lazima uapishweRekodi ya mtu aliyekaa muda mfupi sana baada ya kuapishwa bado inashikiliwa na yule aliyeteuliwa Naibu Waziri akashindwa kuapa.
Salary itabaki pale pale ya katibu mkuuYule hakuapa hivyo hakumaliza kiapo. Huyu kamaliza kabisa kabla hajaingia ofisini skatenguliwa
Usafiri mke na watoto wanne pamoja na tani 3 za mizigo.Anapewa na mwajiri wake mpya anaporeport Sasa akiwa angani akaelekezwa kwenda kwa mwajiri mwingine ambaye akifika tu atastahili kulipwa
Nguvu ya Buku February , kaona hawezi kufanya NayeJuzi Mhe. Rais Rais alimteua Prof. Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki). Ijumaa tar. 1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi akarudi nyumbani Dsm. Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani kwa kuteuliwa lakini jana usiku akafurushwa na kupelekwa ofisi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali. Yaani ameondolewa kwenye nafasi hata hajaingia ofisini.
Kwahiyo Prof. Kennedy ndiye Katibu Mkuu ambaye amedumu kwa kipindi kifupi sana maana ametenguliwa kabla hata hajaingia ofisini. Wizara ya mambo ya nje inaingia kwenye historia ya kuwa na Katibu Mkuu ambaye haijui ofisi. Kwa kuwa tayari alishaapa, jina lake litakuwepo kwenye orodha ya Makatibu wakuu wa wizara. Lakini "tenure" yake itakua siku moja, maana aliapishwa September 1 na kufurushwa September 3 bila kuingia ofisini.
Anyway, nadhani timu ya Rais inayoshughulika na "vetting" za viongozi haifanyi kazi yake ipasavyo. Huwezi kumteua Katibu Mkuu wa wizara nyeti kama ya Foreign kwa kubahatisha. Kama walikua hawana uhakika nae wasingemteua. Bora nafasi ingebaki "vacant" kuliko kumteua mtu leo na kumuondoa kesho.
Inaonekana hakuna umakini kwenye teuzi. Maafisa wanaomsaidia mama wanapuga ramli. Na hii si mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja aliwahi kuteuliwa DED na DAS kwa wakati mmoja. Ikaleta gumzo hadi yakafanyika mabadiliko. Timu ya "vetting" imsaidie Rais vizuri. Iache kufanya betting. Taarifa ya Ikulu haipaswi kuwa ya kubahatisha, inapaswa iwe firm and legitimate. Isiwe kama taarifa ya vicoba vya Mburahati. Fanyeni vetting sio betting.!
Malisa JG
Bi.ushungi huwa anakurupuka sana.Anaelewa alichokifanya, muulizeni.
Kabla kuteuliwa Ukatubu Mkuu Prof Gaston alikuwa naibu katibu Mkuu, kwaiyo amevigusa vyeo vitatu idara/wizara tofauti ndani ya siku 6 hivimakosa kama haya !!!???
Angekuwa anaelewa anachokifanya asingekurupuka!!Anaelewa alichokifanya, muulizeni.
Hapana hapo kitu kimeandaliwa si unajua wale walioshindwa Kule mbeya kesi ya DP wweeeeeeewediTeuzi za kubahatisha.
I ama hamuelewi alichokifanya ulizeni tuwafahamishe. Simpo.Angekuwa anaelewa anachokifanya asingekurupuka!!
Mama Abdul ana stress ndio maana anafanya irrational decisions!
Siyo wajinga hao wanajua wanachokifanya, wanakusudia nini. Subirini mtajionea wenyewe.
Imeonekana atakuwa kikwazo kwa malengo yao ya kuiingiza nchi kwenye shida za kidini