katika rejea yangu nimeelewa jambo moja tu la matokeo yapingwe mahakamani.mengine kama tume huru ya uchaguzi na katiba mpya mmetafuna maneno!.na nyinyi mmetumia mafumbo! katiba mpya na tume huru ndio uti wa mgongo wa yote hayo! kiu yetu ilikuwa ni kuona mmekuja na mwarobaini na sio uoga! muda mliotumia kuandaa hayo mapendekezo ni miez mitatu kama sio mitano kwa kazi ambayo mngetumia wiki mbili tu ,hiyo kazi haiendani na muda mliotumia
 
Tanzania hatufanyi masuala katika viwango vya dunia hata kidogo. Tazama watu wasomi wanatoa mapendekezo lakini hayana mapendekezo ya ratiba ya utekelezaji (Suggested implementation schedule).Tayarisha mradi kwenye sekta binafsi ambao hauna vipaumbele vya utekelezaji wala ratiba kama utaona ndani! Kweli maprofesa hawajui kuwa ratiba ya utekelezaji wa azma ndiyo siasa yenyewe. Kwamba kutangaza nia siyo ndiyo suluhu??? Aibu!
 
Wakati mwingine inategemea hadidu za rejea ulizopewa ,kwa akili za kitz,yote hiyo ni danganya to muda upite kama ilivyo kwa covid,uje uchaguzi mwingine waovu waendelee na uovu wao dhidi ya taifa na watu wake 🥱
 
[emoji706] Rubbish
 
Majaji watakaosikiliza hiyo kesi wasiwe wale wanaoteuliwa na Rais wa ccm , kumbe kabla ya haya ni lazima kuhakikisha vifungu vya katiba mpya vinataka Rais asiwe mteuzi wa majaji
 
Mataga unachekeleeea na kukenua[emoji16][emoji16]
 
Kwa maoni yangu mie mheshimiwa rais ana nia nzuri.
Lakini hakupaswa ajibu hoja nzito kama hizi palepale baada ya kukabidhiwa.
Watu wenye akili wameelewa vingine.
 
Tungekuwa na kiongozi anaefanya kazi kwaajili ya maslahi ya nchi na mwenye hofu ya Mungu, tungekuwa tayari tuna katiba mpya kitambo tu kupitia rasimu ya warioba.

Hayamengine nikuzinguana tu.
 
Huu utaratibu unafaa nchi Kama Kenya sio Tanzania ya Msajili kumuondoa Mbatia NCCR.
Itakuwa nyongeza kwenye nguvu kubwa za Msajili kuhakikisha kazi yake ya kuvikosesha pumzi vyama inakuwa rahisi zaidi.
 
Hili kalitoa wapi, sikuliona likitajwa kuwa pendekezo. Kwani wanawake hawawezi kuwa asilimia sitini?

Ni wazi kwamba Samia hayupo tayari kutekeleza mapendekezo, maana tayari ameanza danadana isiyokuwa na mwisho.
Na wanawake wakiamua wanaweza kuwa zaidi ya hiyo 60%. Wao ndiwo wapiga kura kuliko wanaume.
 
Mapendekezo hovyo kabisa, watz tunataka katiba mpya siyo blabla za kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…