Prof. Mukandala: Matokeo ya Rais yahojiwe Mahakamani
Huu ni mchakato wa wanasiasa na sio watanzania. Sijasikia jambo litakalomsaidia mtanzania bali mawazo ya wanasiasa kutafuta namna bora ya kuendelea kula keki ya Taifa.
wanasiasa ndio wameipigania katiba, hao wananchi wanaosubiri kusemewa tu ni wananchi wa aina gani? Maana nijuavyo hakuna mwananchi amezuiwa kudai katiba.
 
Uzuri wanafahamu fika! Siku wakikubali tu uwepo wa Katiba Mpya, na yenye tija, basi na siku zao za kukaa madarakani; zitafikia tamati.
Ata me mwanzo nilikua nawaza kitu kama icho ila nimegundua kwa jinsi Tz ilivyo na wajinga wengi ccm bado inayo miaka mingii mnooo yakutawala watz
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Oktoba, 2022

Mapendekezo 18 ya Ripoti yanasomwa na Prof. Rwekaza Mukandala
  1. Kikosi kazi kinapendekeza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria, mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote, yafanyike marekebisho ya sheria ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi.
  2. Sheria ya vyama vya siasa ifanyiwe marekebisho ili kulipatia baraza la vyama vya siasa linaloundwa na vyama vyenyewe mamkala ya kushughulikia swala la uvunjifu wa maadili ya vyama vya siasa kupitia kamati yake ya maadili, msajili wa vyama vya siasa aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa.
  3. Mfumo wa sasa wa kugawa ruzuku kwa vyama vya siasa uendelee, isipokuwa 10% ya fedha zinazotolewa sasa zitolewe kwa mgawanyo sawa kwa vyama vyote vyenye usajili kamili.
  4. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
  5. Wajumbe wa tume ya taifa ya uchaguzi wateuliwe na kamati inayoongozwa na jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mwenyekiti) jaji mkuu wa Zanzibar (M/mwenyekiti), kamishna wa serkretarieti ya maadili ya viongozi wa umma Tanzania bara, mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ya Zbar, mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na wajumbe 2 watakaoteuliwa na jaji mkuu wa JMT baada ya kupendekezwa na chama cha wanasheria Tanganyika na chama cha wanasheria Zbar. Pia, angalau wajumbe wawili wa uteuzi wawe wanawake, sifa za kuwa mwenyekiti, makamu au mjumbe ziainishwe, nafasi za ujumbe zitangazwe, watu wafanyiwe usaili kisha majina yapelekwe kwa Rais kwa uteuzi
  6. Matokeo ya Rais jahojiwe kwenye Mahakama ya juu
  7. Wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, maadili, weledi, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao. Wasimamizi watakaokiuka taratibu wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  8. Tume ya taifa ya uchaguzi ipewe fedha kwa wakati ili iweze kutelekeza majukumu yake ipasavyo.
  9. Itungwe sheria kusimania shughuli za tume ya uchaguzi, pia iwepo sheria moja ya kusimamia chaguzi zote badaa ya uwepo wa sheria mbili kama sasa, maafisa wa uchaguzi watakao engua wagombea kushiriki uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  10. Matumizi ya tehama kwenye uchaguzi yaboreshwe na kuongezwa.
  11. Sharti ya uwepo wa sera ya jinsia liwepo kwenye kila chama cha siasa, na ujumuishi wa makundi maalumu, pia ushiriki wa jinsia moja kwenye vyombo vya maamuzi isipungue 40%. Pia, utaratibu wa uwakilishi wa viti maalumu kwa wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 pekee.
  12. Sheria zinazokwamisha ushiriki wa wa watu wenye ulemavu kwenye siasa ziangaliwe upya
  13. Juhudi za ushirikishwaji wa vijana kwenye siasa ziongezwe
  14. Serikali iongeze utoaji wa elimu ya uraia, pia ifundishwe kwenye ngazi zote za elimu, pia mtaala wa elimu uzingatoe elimu ya uraia na mpiga kura.
  15. Swala la rushwa litamkwe katika katiba ya nchi ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na chama akithibitika kuhusika na vitendo vya rushwa
  16. Kuanzishwe utaratibu wa mijadaa kila mwaka itakayohusisha viongozi wakubwa wa kitaifa na kisiasa ili kudumisha mshikamano, mahakama iwe ni mamlaka ya mwisho ya kuamua pindi maridhiano yanapokwama
  17. Wanahabari waunde chombo cha kusimamia wanahabari na vyombo vyao, vyombo vya umma vitoe muda sawa wa kutangaza habari za wagombea wa vyama vyote kwa usawa, uwepo mchakato wa wazi wa kuwajibisha vyombo vya habari badala ya kufungiwa pekee na mkurugenzi wa habari na mawasiliano
  18. Mchakato wa katiba mpya uendelee, hata hivyo mjadala wa kitaifa kuhusu katiba mpya uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuandika katiba mpya ili kujadili maswala ya msingi kama muungano, mamkala ya Rais, madaraka ya serikali za mtaa, Rushwa, mfumo wa uchaguzi n.k. Pia, sheria ya mabadiliko ya katiba na sheria ya kura ya maoni zihuishwe pamoja na kuundwa kwa jopo la wataalamu ili kufanya mapitio ya katiba inayopendekezwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kiasiasa, kiuchumi na kijamii.
View attachment 2393650
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi kuhusu Uratibu maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala, Makamu Mwenyekiti Hamad Rashid Mohamed pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho mara baada ya kupokea Ripoti yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba, 2022.


Maneno ya Rais Samia Suhuhu Hassan
Kazi hii imechukua miezi 10, haikuwa rahisi. Pengine ningewaacha ingechukua zaidi ya muda huu, lakini mimi pia navutwa shati.

Wananchi waelewe kuwa maoni ya kikosi kazi sio amri kwa Serikali. Tutaitana tena tuangalie na hali halisi ndani ya serikali na hali halisi ya sheria zetu pia ili tuweze kuyafanyia kazi vizuri

Tumepokea, na kama mlivyoona ripoti yenu ina mambo kadhaa, sisi kwenye serikali inabidi tujipange vikosi kadhaa, na wengine kati yenu tutawaomba mje kwenye vikosi kazi hivyo tujadili.

Siyo kwamba leo tumepewa ripoti ya kikosi kazi, kesho tutaanza kutekeleza hapana. Tumepokea, na wananchi wasikie tumepokea na tutafanyia kazi.

Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.

Tumepokea marekebisho ndani ya vyama vya siasa na wenyewe wasiwe mahodari wa kuirekebisha serikali lakini na wenyewe ndani tutizame je wanavyokwenda mambo ya usawa wa kijinsia yapo, mambo ya matumizi mazuri ya fedha yapo na mwengine akipata chama cha siasa anasema ni chake, na siyo cha wanachama. Ni chake. Kujitathimini wenyewe ni jambo zuri.

Mgao wa ruzuku tutauangalia, hatuwezi kusema tutaongeza fedha zaidi sababu ni swala la kibajeti.

Matumizi ya teknolojia kwenye tume ya uchaguzi ni muhimu, ili teknolojia inayotumika iweze kutoa matarajio ambayo watu wanataka.

Tume ya uchaguzi tutalikalia kitako, ya serikali yatakwenda na ya ripoti nayo tutayaangalia.

Mijadala ya kisiasa kila mwaka iwepo, kaeni mjijadili, msijadili tu serikali, mjijadili na ninyi wenyewe. Mijadala heathy, hata serikali inaweza kuwezesha mijadala hii.

Wanawake mara nyingi nafasi muhimu wakigombea wanaambiwa kaa upande, au wanaambiwa njoo chukua hiyo gombea. Ukikuta wanawake kawekwa ni mwepesi mno, kapangwa kumsindikiza mtu. Kwa hili nakubaliana nao, ni pamoja na kuwasomesha wanawake, kuwatia moyo kwamba wanaweza.

Rushwa ni kidonda ndugu, hakuna hata chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue, kuchaguliwa si mimi, ni chama. Hili la Rushwa, tujitazameni sote.

Maswala ya mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulikotoka, polisi wataanza tena kupiga watu. Tunaposema kwamba kanuni lazima tuzitazame siyo kwa nia mbaya, ni nia njema. Lazima tutazame kanuni na sheria ndipo turuhusu.
Mama ana uchu sana wa madaraka, lazima atakwamisha mchakato mpaka baada ya uchaguzi mkuu ujao, tusubiri tuone
 
Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.
Hili kalitoa wapi, sikuliona likitajwa kuwa pendekezo. Kwani wanawake hawawezi kuwa asilimia sitini?

Ni wazi kwamba Samia hayupo tayari kutekeleza mapendekezo, maana tayari ameanza danadana isiyokuwa na mwisho.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Oktoba, 2022

Mapendekezo 18 ya Ripoti yanasomwa na Prof. Rwekaza Mukandala
  1. Kikosi kazi kinapendekeza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria, mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote, yafanyike marekebisho ya sheria ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi.
  2. Sheria ya vyama vya siasa ifanyiwe marekebisho ili kulipatia baraza la vyama vya siasa linaloundwa na vyama vyenyewe mamkala ya kushughulikia swala la uvunjifu wa maadili ya vyama vya siasa kupitia kamati yake ya maadili, msajili wa vyama vya siasa aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa.
  3. Mfumo wa sasa wa kugawa ruzuku kwa vyama vya siasa uendelee, isipokuwa 10% ya fedha zinazotolewa sasa zitolewe kwa mgawanyo sawa kwa vyama vyote vyenye usajili kamili.
  4. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
  5. Wajumbe wa tume ya taifa ya uchaguzi wateuliwe na kamati inayoongozwa na jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mwenyekiti) jaji mkuu wa Zanzibar (M/mwenyekiti), kamishna wa serkretarieti ya maadili ya viongozi wa umma Tanzania bara, mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ya Zbar, mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na wajumbe 2 watakaoteuliwa na jaji mkuu wa JMT baada ya kupendekezwa na chama cha wanasheria Tanganyika na chama cha wanasheria Zbar. Pia, angalau wajumbe wawili wa uteuzi wawe wanawake, sifa za kuwa mwenyekiti, makamu au mjumbe ziainishwe, nafasi za ujumbe zitangazwe, watu wafanyiwe usaili kisha majina yapelekwe kwa Rais kwa uteuzi
  6. Matokeo ya Rais jahojiwe kwenye Mahakama ya juu
  7. Wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, maadili, weledi, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao. Wasimamizi watakaokiuka taratibu wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  8. Tume ya taifa ya uchaguzi ipewe fedha kwa wakati ili iweze kutelekeza majukumu yake ipasavyo.
  9. Itungwe sheria kusimania shughuli za tume ya uchaguzi, pia iwepo sheria moja ya kusimamia chaguzi zote badaa ya uwepo wa sheria mbili kama sasa, maafisa wa uchaguzi watakao engua wagombea kushiriki uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  10. Matumizi ya tehama kwenye uchaguzi yaboreshwe na kuongezwa.
  11. Sharti ya uwepo wa sera ya jinsia liwepo kwenye kila chama cha siasa, na ujumuishi wa makundi maalumu, pia ushiriki wa jinsia moja kwenye vyombo vya maamuzi isipungue 40%. Pia, utaratibu wa uwakilishi wa viti maalumu kwa wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 pekee.
  12. Sheria zinazokwamisha ushiriki wa wa watu wenye ulemavu kwenye siasa ziangaliwe upya
  13. Juhudi za ushirikishwaji wa vijana kwenye siasa ziongezwe
  14. Serikali iongeze utoaji wa elimu ya uraia, pia ifundishwe kwenye ngazi zote za elimu, pia mtaala wa elimu uzingatoe elimu ya uraia na mpiga kura.
  15. Swala la rushwa litamkwe katika katiba ya nchi ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na chama akithibitika kuhusika na vitendo vya rushwa
  16. Kuanzishwe utaratibu wa mijadaa kila mwaka itakayohusisha viongozi wakubwa wa kitaifa na kisiasa ili kudumisha mshikamano, mahakama iwe ni mamlaka ya mwisho ya kuamua pindi maridhiano yanapokwama
  17. Wanahabari waunde chombo cha kusimamia wanahabari na vyombo vyao, vyombo vya umma vitoe muda sawa wa kutangaza habari za wagombea wa vyama vyote kwa usawa, uwepo mchakato wa wazi wa kuwajibisha vyombo vya habari badala ya kufungiwa pekee na mkurugenzi wa habari na mawasiliano
  18. Mchakato wa katiba mpya uendelee, hata hivyo mjadala wa kitaifa kuhusu katiba mpya uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuandika katiba mpya ili kujadili maswala ya msingi kama muungano, mamkala ya Rais, madaraka ya serikali za mtaa, Rushwa, mfumo wa uchaguzi n.k. Pia, sheria ya mabadiliko ya katiba na sheria ya kura ya maoni zihuishwe pamoja na kuundwa kwa jopo la wataalamu ili kufanya mapitio ya katiba inayopendekezwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kiasiasa, kiuchumi na kijamii.
View attachment 2393650
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi kuhusu Uratibu maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala, Makamu Mwenyekiti Hamad Rashid Mohamed pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho mara baada ya kupokea Ripoti yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba, 2022.


Maneno ya Rais Samia Suhuhu Hassan
Kazi hii imechukua miezi 10, haikuwa rahisi. Pengine ningewaacha ingechukua zaidi ya muda huu, lakini mimi pia navutwa shati.

Wananchi waelewe kuwa maoni ya kikosi kazi sio amri kwa Serikali. Tutaitana tena tuangalie na hali halisi ndani ya serikali na hali halisi ya sheria zetu pia ili tuweze kuyafanyia kazi vizuri

Tumepokea, na kama mlivyoona ripoti yenu ina mambo kadhaa, sisi kwenye serikali inabidi tujipange vikosi kadhaa, na wengine kati yenu tutawaomba mje kwenye vikosi kazi hivyo tujadili.

Siyo kwamba leo tumepewa ripoti ya kikosi kazi, kesho tutaanza kutekeleza hapana. Tumepokea, na wananchi wasikie tumepokea na tutafanyia kazi.

Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.

Tumepokea marekebisho ndani ya vyama vya siasa na wenyewe wasiwe mahodari wa kuirekebisha serikali lakini na wenyewe ndani tutizame je wanavyokwenda mambo ya usawa wa kijinsia yapo, mambo ya matumizi mazuri ya fedha yapo na mwengine akipata chama cha siasa anasema ni chake, na siyo cha wanachama. Ni chake. Kujitathimini wenyewe ni jambo zuri.

Mgao wa ruzuku tutauangalia, hatuwezi kusema tutaongeza fedha zaidi sababu ni swala la kibajeti.

Matumizi ya teknolojia kwenye tume ya uchaguzi ni muhimu, ili teknolojia inayotumika iweze kutoa matarajio ambayo watu wanataka.

Tume ya uchaguzi tutalikalia kitako, ya serikali yatakwenda na ya ripoti nayo tutayaangalia.

Mijadala ya kisiasa kila mwaka iwepo, kaeni mjijadili, msijadili tu serikali, mjijadili na ninyi wenyewe. Mijadala heathy, hata serikali inaweza kuwezesha mijadala hii.

Wanawake mara nyingi nafasi muhimu wakigombea wanaambiwa kaa upande, au wanaambiwa njoo chukua hiyo gombea. Ukikuta wanawake kawekwa ni mwepesi mno, kapangwa kumsindikiza mtu. Kwa hili nakubaliana nao, ni pamoja na kuwasomesha wanawake, kuwatia moyo kwamba wanaweza.

Rushwa ni kidonda ndugu, hakuna hata chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue, kuchaguliwa si mimi, ni chama. Hili la Rushwa, tujitazameni sote.

Maswala ya mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulikotoka, polisi wataanza tena kupiga watu. Tunaposema kwamba kanuni lazima tuzitazame siyo kwa nia mbaya, ni nia njema. Lazima tutazame kanuni na sheria ndipo turuhusu.
Kuona uwepo wa msajili wa vyama na Sheikh wa mkoa wa Dar es salaam kwenye picha ya pamoja nimedharau kila kitu hapo. Hao viumbe ni kichefuchefu sana
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Oktoba, 2022

Mapendekezo 18 ya Ripoti yanasomwa na Prof. Rwekaza Mukandala
  1. Kikosi kazi kinapendekeza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria, mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote, yafanyike marekebisho ya sheria ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi.
  2. Sheria ya vyama vya siasa ifanyiwe marekebisho ili kulipatia baraza la vyama vya siasa linaloundwa na vyama vyenyewe mamkala ya kushughulikia swala la uvunjifu wa maadili ya vyama vya siasa kupitia kamati yake ya maadili, msajili wa vyama vya siasa aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa.
  3. Mfumo wa sasa wa kugawa ruzuku kwa vyama vya siasa uendelee, isipokuwa 10% ya fedha zinazotolewa sasa zitolewe kwa mgawanyo sawa kwa vyama vyote vyenye usajili kamili.
  4. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
  5. Wajumbe wa tume ya taifa ya uchaguzi wateuliwe na kamati inayoongozwa na jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mwenyekiti) jaji mkuu wa Zanzibar (M/mwenyekiti), kamishna wa serkretarieti ya maadili ya viongozi wa umma Tanzania bara, mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ya Zbar, mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na wajumbe 2 watakaoteuliwa na jaji mkuu wa JMT baada ya kupendekezwa na chama cha wanasheria Tanganyika na chama cha wanasheria Zbar. Pia, angalau wajumbe wawili wa uteuzi wawe wanawake, sifa za kuwa mwenyekiti, makamu au mjumbe ziainishwe, nafasi za ujumbe zitangazwe, watu wafanyiwe usaili kisha majina yapelekwe kwa Rais kwa uteuzi
  6. Matokeo ya Rais jahojiwe kwenye Mahakama ya juu
  7. Wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, maadili, weledi, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao. Wasimamizi watakaokiuka taratibu wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  8. Tume ya taifa ya uchaguzi ipewe fedha kwa wakati ili iweze kutelekeza majukumu yake ipasavyo.
  9. Itungwe sheria kusimania shughuli za tume ya uchaguzi, pia iwepo sheria moja ya kusimamia chaguzi zote badaa ya uwepo wa sheria mbili kama sasa, maafisa wa uchaguzi watakao engua wagombea kushiriki uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  10. Matumizi ya tehama kwenye uchaguzi yaboreshwe na kuongezwa.
  11. Sharti ya uwepo wa sera ya jinsia liwepo kwenye kila chama cha siasa, na ujumuishi wa makundi maalumu, pia ushiriki wa jinsia moja kwenye vyombo vya maamuzi isipungue 40%. Pia, utaratibu wa uwakilishi wa viti maalumu kwa wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 pekee.
  12. Sheria zinazokwamisha ushiriki wa wa watu wenye ulemavu kwenye siasa ziangaliwe upya
  13. Juhudi za ushirikishwaji wa vijana kwenye siasa ziongezwe
  14. Serikali iongeze utoaji wa elimu ya uraia, pia ifundishwe kwenye ngazi zote za elimu, pia mtaala wa elimu uzingatoe elimu ya uraia na mpiga kura.
  15. Swala la rushwa litamkwe katika katiba ya nchi ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na chama akithibitika kuhusika na vitendo vya rushwa
  16. Kuanzishwe utaratibu wa mijadaa kila mwaka itakayohusisha viongozi wakubwa wa kitaifa na kisiasa ili kudumisha mshikamano, mahakama iwe ni mamlaka ya mwisho ya kuamua pindi maridhiano yanapokwama
  17. Wanahabari waunde chombo cha kusimamia wanahabari na vyombo vyao, vyombo vya umma vitoe muda sawa wa kutangaza habari za wagombea wa vyama vyote kwa usawa, uwepo mchakato wa wazi wa kuwajibisha vyombo vya habari badala ya kufungiwa pekee na mkurugenzi wa habari na mawasiliano
  18. Mchakato wa katiba mpya uendelee, hata hivyo mjadala wa kitaifa kuhusu katiba mpya uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuandika katiba mpya ili kujadili maswala ya msingi kama muungano, mamkala ya Rais, madaraka ya serikali za mtaa, Rushwa, mfumo wa uchaguzi n.k. Pia, sheria ya mabadiliko ya katiba na sheria ya kura ya maoni zihuishwe pamoja na kuundwa kwa jopo la wataalamu ili kufanya mapitio ya katiba inayopendekezwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kiasiasa, kiuchumi na kijamii.
View attachment 2393650
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi kuhusu Uratibu maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala, Makamu Mwenyekiti Hamad Rashid Mohamed pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho mara baada ya kupokea Ripoti yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba, 2022.


Maneno ya Rais Samia Suhuhu Hassan
Kazi hii imechukua miezi 10, haikuwa rahisi. Pengine ningewaacha ingechukua zaidi ya muda huu, lakini mimi pia navutwa shati.

Wananchi waelewe kuwa maoni ya kikosi kazi sio amri kwa Serikali. Tutaitana tena tuangalie na hali halisi ndani ya serikali na hali halisi ya sheria zetu pia ili tuweze kuyafanyia kazi vizuri

Tumepokea, na kama mlivyoona ripoti yenu ina mambo kadhaa, sisi kwenye serikali inabidi tujipange vikosi kadhaa, na wengine kati yenu tutawaomba mje kwenye vikosi kazi hivyo tujadili.

Siyo kwamba leo tumepewa ripoti ya kikosi kazi, kesho tutaanza kutekeleza hapana. Tumepokea, na wananchi wasikie tumepokea na tutafanyia kazi.

Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.

Tumepokea marekebisho ndani ya vyama vya siasa na wenyewe wasiwe mahodari wa kuirekebisha serikali lakini na wenyewe ndani tutizame je wanavyokwenda mambo ya usawa wa kijinsia yapo, mambo ya matumizi mazuri ya fedha yapo na mwengine akipata chama cha siasa anasema ni chake, na siyo cha wanachama. Ni chake. Kujitathimini wenyewe ni jambo zuri.

Mgao wa ruzuku tutauangalia, hatuwezi kusema tutaongeza fedha zaidi sababu ni swala la kibajeti.

Matumizi ya teknolojia kwenye tume ya uchaguzi ni muhimu, ili teknolojia inayotumika iweze kutoa matarajio ambayo watu wanataka.

Tume ya uchaguzi tutalikalia kitako, ya serikali yatakwenda na ya ripoti nayo tutayaangalia.

Mijadala ya kisiasa kila mwaka iwepo, kaeni mjijadili, msijadili tu serikali, mjijadili na ninyi wenyewe. Mijadala heathy, hata serikali inaweza kuwezesha mijadala hii.

Wanawake mara nyingi nafasi muhimu wakigombea wanaambiwa kaa upande, au wanaambiwa njoo chukua hiyo gombea. Ukikuta wanawake kawekwa ni mwepesi mno, kapangwa kumsindikiza mtu. Kwa hili nakubaliana nao, ni pamoja na kuwasomesha wanawake, kuwatia moyo kwamba wanaweza.

Rushwa ni kidonda ndugu, hakuna hata chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue, kuchaguliwa si mimi, ni chama. Hili la Rushwa, tujitazameni sote.

Maswala ya mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulikotoka, polisi wataanza tena kupiga watu. Tunaposema kwamba kanuni lazima tuzitazame siyo kwa nia mbaya, ni nia njema. Lazima tutazame kanuni na sheria ndipo turuhusu.
Namuona mchungaji wangu George Fupe
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Oktoba, 2022

Mapendekezo 18 ya Ripoti yanasomwa na Prof. Rwekaza Mukandala
  1. Kikosi kazi kinapendekeza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria, mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote, yafanyike marekebisho ya sheria ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi.
  2. Sheria ya vyama vya siasa ifanyiwe marekebisho ili kulipatia baraza la vyama vya siasa linaloundwa na vyama vyenyewe mamkala ya kushughulikia swala la uvunjifu wa maadili ya vyama vya siasa kupitia kamati yake ya maadili, msajili wa vyama vya siasa aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa.
  3. Mfumo wa sasa wa kugawa ruzuku kwa vyama vya siasa uendelee, isipokuwa 10% ya fedha zinazotolewa sasa zitolewe kwa mgawanyo sawa kwa vyama vyote vyenye usajili kamili.
  4. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
  5. Wajumbe wa tume ya taifa ya uchaguzi wateuliwe na kamati inayoongozwa na jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mwenyekiti) jaji mkuu wa Zanzibar (M/mwenyekiti), kamishna wa serkretarieti ya maadili ya viongozi wa umma Tanzania bara, mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ya Zbar, mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na wajumbe 2 watakaoteuliwa na jaji mkuu wa JMT baada ya kupendekezwa na chama cha wanasheria Tanganyika na chama cha wanasheria Zbar. Pia, angalau wajumbe wawili wa uteuzi wawe wanawake, sifa za kuwa mwenyekiti, makamu au mjumbe ziainishwe, nafasi za ujumbe zitangazwe, watu wafanyiwe usaili kisha majina yapelekwe kwa Rais kwa uteuzi
  6. Matokeo ya Rais jahojiwe kwenye Mahakama ya juu
  7. Wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, maadili, weledi, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao. Wasimamizi watakaokiuka taratibu wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  8. Tume ya taifa ya uchaguzi ipewe fedha kwa wakati ili iweze kutelekeza majukumu yake ipasavyo.
  9. Itungwe sheria kusimania shughuli za tume ya uchaguzi, pia iwepo sheria moja ya kusimamia chaguzi zote badaa ya uwepo wa sheria mbili kama sasa, maafisa wa uchaguzi watakao engua wagombea kushiriki uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  10. Matumizi ya tehama kwenye uchaguzi yaboreshwe na kuongezwa.
  11. Sharti ya uwepo wa sera ya jinsia liwepo kwenye kila chama cha siasa, na ujumuishi wa makundi maalumu, pia ushiriki wa jinsia moja kwenye vyombo vya maamuzi isipungue 40%. Pia, utaratibu wa uwakilishi wa viti maalumu kwa wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 pekee.
  12. Sheria zinazokwamisha ushiriki wa wa watu wenye ulemavu kwenye siasa ziangaliwe upya
  13. Juhudi za ushirikishwaji wa vijana kwenye siasa ziongezwe
  14. Serikali iongeze utoaji wa elimu ya uraia, pia ifundishwe kwenye ngazi zote za elimu, pia mtaala wa elimu uzingatoe elimu ya uraia na mpiga kura.
  15. Swala la rushwa litamkwe katika katiba ya nchi ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na chama akithibitika kuhusika na vitendo vya rushwa
  16. Kuanzishwe utaratibu wa mijadaa kila mwaka itakayohusisha viongozi wakubwa wa kitaifa na kisiasa ili kudumisha mshikamano, mahakama iwe ni mamlaka ya mwisho ya kuamua pindi maridhiano yanapokwama
  17. Wanahabari waunde chombo cha kusimamia wanahabari na vyombo vyao, vyombo vya umma vitoe muda sawa wa kutangaza habari za wagombea wa vyama vyote kwa usawa, uwepo mchakato wa wazi wa kuwajibisha vyombo vya habari badala ya kufungiwa pekee na mkurugenzi wa habari na mawasiliano
  18. Mchakato wa katiba mpya uendelee, hata hivyo mjadala wa kitaifa kuhusu katiba mpya uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuandika katiba mpya ili kujadili maswala ya msingi kama muungano, mamkala ya Rais, madaraka ya serikali za mtaa, Rushwa, mfumo wa uchaguzi n.k. Pia, sheria ya mabadiliko ya katiba na sheria ya kura ya maoni zihuishwe pamoja na kuundwa kwa jopo la wataalamu ili kufanya mapitio ya katiba inayopendekezwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kiasiasa, kiuchumi na kijamii.
View attachment 2393650
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi kuhusu Uratibu maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala, Makamu Mwenyekiti Hamad Rashid Mohamed pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho mara baada ya kupokea Ripoti yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba, 2022.


Maneno ya Rais Samia Suhuhu Hassan
Kazi hii imechukua miezi 10, haikuwa rahisi. Pengine ningewaacha ingechukua zaidi ya muda huu, lakini mimi pia navutwa shati.

Wananchi waelewe kuwa maoni ya kikosi kazi sio amri kwa Serikali. Tutaitana tena tuangalie na hali halisi ndani ya serikali na hali halisi ya sheria zetu pia ili tuweze kuyafanyia kazi vizuri

Tumepokea, na kama mlivyoona ripoti yenu ina mambo kadhaa, sisi kwenye serikali inabidi tujipange vikosi kadhaa, na wengine kati yenu tutawaomba mje kwenye vikosi kazi hivyo tujadili.

Siyo kwamba leo tumepewa ripoti ya kikosi kazi, kesho tutaanza kutekeleza hapana. Tumepokea, na wananchi wasikie tumepokea na tutafanyia kazi.

Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.

Tumepokea marekebisho ndani ya vyama vya siasa na wenyewe wasiwe mahodari wa kuirekebisha serikali lakini na wenyewe ndani tutizame je wanavyokwenda mambo ya usawa wa kijinsia yapo, mambo ya matumizi mazuri ya fedha yapo na mwengine akipata chama cha siasa anasema ni chake, na siyo cha wanachama. Ni chake. Kujitathimini wenyewe ni jambo zuri.

Mgao wa ruzuku tutauangalia, hatuwezi kusema tutaongeza fedha zaidi sababu ni swala la kibajeti.

Matumizi ya teknolojia kwenye tume ya uchaguzi ni muhimu, ili teknolojia inayotumika iweze kutoa matarajio ambayo watu wanataka.

Tume ya uchaguzi tutalikalia kitako, ya serikali yatakwenda na ya ripoti nayo tutayaangalia.

Mijadala ya kisiasa kila mwaka iwepo, kaeni mjijadili, msijadili tu serikali, mjijadili na ninyi wenyewe. Mijadala heathy, hata serikali inaweza kuwezesha mijadala hii.

Wanawake mara nyingi nafasi muhimu wakigombea wanaambiwa kaa upande, au wanaambiwa njoo chukua hiyo gombea. Ukikuta wanawake kawekwa ni mwepesi mno, kapangwa kumsindikiza mtu. Kwa hili nakubaliana nao, ni pamoja na kuwasomesha wanawake, kuwatia moyo kwamba wanaweza.

Rushwa ni kidonda ndugu, hakuna hata chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue, kuchaguliwa si mimi, ni chama. Hili la Rushwa, tujitazameni sote.

Maswala ya mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulikotoka, polisi wataanza tena kupiga watu. Tunaposema kwamba kanuni lazima tuzitazame siyo kwa nia mbaya, ni nia njema. Lazima tutazame kanuni na sheria ndipo turuhusu.
  1. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
kwenye hii no.4

hapo kwenye no. 4 hili ni gumu kutekelezeka na na hii ndio ROHO YA CCM ukiilazimisha CCM hili litekelezwe utaona jinsi hali ya hewa itakavyoanza kuchafuka maana inaeleweka na ipo wazi kabisa hata Pascal Mayalla analijia hili kuwa ccm haina uthubutu wa kukubali hili suala litekelezwe. tume ya taifa hapa haihusiki ila anaehusika katika hili ni mhusika ambae ni mtu binafsi mteule wa Mteuaji. mteule huyu iangaliwe je anapatikanaje mpaka kufikia kuwa ndie kiongozi wa tume na anatokea wapi. hivyo ukijua hili hapa huyu kiongozi wa tume otomatiki 😜 anajua kabisa ameteuliwa na bosi wake yaan mkuu wa kaya hivyo yeye kama yeye hapa ni lazima kwanza alinde ugali wake na pili maslahi ya aliemteuwa. tatu CHAMA.
hii kamati kama haikuangalia hili kwa umakini na kama bado uteuzi wa kiongozi wa tume ataendelea kuteuliwa na mwenyekiti wa chama tawala hili bado litakuwa ni tatizo na ndio ccm wanaposhikilia hapa pasibadilike ili waendelee kum'bana huyu mtumishi mkuu wa tume. hivyo tume kama tume haiwezi kufanya lolote na mkuu wa tume ataendelea kumtumikia aliemteuwa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Oktoba, 2022

Mapendekezo 18 ya Ripoti yanasomwa na Prof. Rwekaza Mukandala
  1. Kikosi kazi kinapendekeza mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa katiba na sheria, mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote, yafanyike marekebisho ya sheria ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi.
  2. Sheria ya vyama vya siasa ifanyiwe marekebisho ili kulipatia baraza la vyama vya siasa linaloundwa na vyama vyenyewe mamkala ya kushughulikia swala la uvunjifu wa maadili ya vyama vya siasa kupitia kamati yake ya maadili, msajili wa vyama vya siasa aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa.
  3. Mfumo wa sasa wa kugawa ruzuku kwa vyama vya siasa uendelee, isipokuwa 10% ya fedha zinazotolewa sasa zitolewe kwa mgawanyo sawa kwa vyama vyote vyenye usajili kamili.
  4. Tume ya taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya serikali, chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote na utendaji wake uruhusiwe kuhojiwa kwenye mahakama ya juu ili kuongeza uwajibikaji wa tume.
  5. Wajumbe wa tume ya taifa ya uchaguzi wateuliwe na kamati inayoongozwa na jaji mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (mwenyekiti) jaji mkuu wa Zanzibar (M/mwenyekiti), kamishna wa serkretarieti ya maadili ya viongozi wa umma Tanzania bara, mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma ya Zbar, mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na wajumbe 2 watakaoteuliwa na jaji mkuu wa JMT baada ya kupendekezwa na chama cha wanasheria Tanganyika na chama cha wanasheria Zbar. Pia, angalau wajumbe wawili wa uteuzi wawe wanawake, sifa za kuwa mwenyekiti, makamu au mjumbe ziainishwe, nafasi za ujumbe zitangazwe, watu wafanyiwe usaili kisha majina yapelekwe kwa Rais kwa uteuzi
  6. Matokeo ya Rais jahojiwe kwenye Mahakama ya juu
  7. Wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, maadili, weledi, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao. Wasimamizi watakaokiuka taratibu wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  8. Tume ya taifa ya uchaguzi ipewe fedha kwa wakati ili iweze kutelekeza majukumu yake ipasavyo.
  9. Itungwe sheria kusimania shughuli za tume ya uchaguzi, pia iwepo sheria moja ya kusimamia chaguzi zote badaa ya uwepo wa sheria mbili kama sasa, maafisa wa uchaguzi watakao engua wagombea kushiriki uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria.
  10. Matumizi ya tehama kwenye uchaguzi yaboreshwe na kuongezwa.
  11. Sharti ya uwepo wa sera ya jinsia liwepo kwenye kila chama cha siasa, na ujumuishi wa makundi maalumu, pia ushiriki wa jinsia moja kwenye vyombo vya maamuzi isipungue 40%. Pia, utaratibu wa uwakilishi wa viti maalumu kwa wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka 10 pekee.
  12. Sheria zinazokwamisha ushiriki wa wa watu wenye ulemavu kwenye siasa ziangaliwe upya
  13. Juhudi za ushirikishwaji wa vijana kwenye siasa ziongezwe
  14. Serikali iongeze utoaji wa elimu ya uraia, pia ifundishwe kwenye ngazi zote za elimu, pia mtaala wa elimu uzingatoe elimu ya uraia na mpiga kura.
  15. Swala la rushwa litamkwe katika katiba ya nchi ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Katiba ya Chama cha Siasa iwe na adhabu ya kumuondoa katika Mchakato wa Uchaguzi Mgombea aliyedhaminiwa na chama akithibitika kuhusika na vitendo vya rushwa
  16. Kuanzishwe utaratibu wa mijadaa kila mwaka itakayohusisha viongozi wakubwa wa kitaifa na kisiasa ili kudumisha mshikamano, mahakama iwe ni mamlaka ya mwisho ya kuamua pindi maridhiano yanapokwama
  17. Wanahabari waunde chombo cha kusimamia wanahabari na vyombo vyao, vyombo vya umma vitoe muda sawa wa kutangaza habari za wagombea wa vyama vyote kwa usawa, uwepo mchakato wa wazi wa kuwajibisha vyombo vya habari badala ya kufungiwa pekee na mkurugenzi wa habari na mawasiliano
  18. Mchakato wa katiba mpya uendelee, hata hivyo mjadala wa kitaifa kuhusu katiba mpya uanze kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuandika katiba mpya ili kujadili maswala ya msingi kama muungano, mamkala ya Rais, madaraka ya serikali za mtaa, Rushwa, mfumo wa uchaguzi n.k. Pia, sheria ya mabadiliko ya katiba na sheria ya kura ya maoni zihuishwe pamoja na kuundwa kwa jopo la wataalamu ili kufanya mapitio ya katiba inayopendekezwa kwa kuzingatia hali ya sasa ya kiasiasa, kiuchumi na kijamii.
View attachment 2393650
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi kuhusu Uratibu maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala, Makamu Mwenyekiti Hamad Rashid Mohamed pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho mara baada ya kupokea Ripoti yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Oktoba, 2022.


Maneno ya Rais Samia Suhuhu Hassan
Kazi hii imechukua miezi 10, haikuwa rahisi. Pengine ningewaacha ingechukua zaidi ya muda huu, lakini mimi pia navutwa shati.

Wananchi waelewe kuwa maoni ya kikosi kazi sio amri kwa Serikali. Tutaitana tena tuangalie na hali halisi ndani ya serikali na hali halisi ya sheria zetu pia ili tuweze kuyafanyia kazi vizuri

Tumepokea, na kama mlivyoona ripoti yenu ina mambo kadhaa, sisi kwenye serikali inabidi tujipange vikosi kadhaa, na wengine kati yenu tutawaomba mje kwenye vikosi kazi hivyo tujadili.

Siyo kwamba leo tumepewa ripoti ya kikosi kazi, kesho tutaanza kutekeleza hapana. Tumepokea, na wananchi wasikie tumepokea na tutafanyia kazi.

Na nyie watu wa siasa mjichambue, ni kazi ya jaji mtungi na watu wake. Nakubailiana na hoja ya 40% ya wanawake kwenye vyama vya siasa.

Tumepokea marekebisho ndani ya vyama vya siasa na wenyewe wasiwe mahodari wa kuirekebisha serikali lakini na wenyewe ndani tutizame je wanavyokwenda mambo ya usawa wa kijinsia yapo, mambo ya matumizi mazuri ya fedha yapo na mwengine akipata chama cha siasa anasema ni chake, na siyo cha wanachama. Ni chake. Kujitathimini wenyewe ni jambo zuri.

Mgao wa ruzuku tutauangalia, hatuwezi kusema tutaongeza fedha zaidi sababu ni swala la kibajeti.

Matumizi ya teknolojia kwenye tume ya uchaguzi ni muhimu, ili teknolojia inayotumika iweze kutoa matarajio ambayo watu wanataka.

Tume ya uchaguzi tutalikalia kitako, ya serikali yatakwenda na ya ripoti nayo tutayaangalia.

Mijadala ya kisiasa kila mwaka iwepo, kaeni mjijadili, msijadili tu serikali, mjijadili na ninyi wenyewe. Mijadala heathy, hata serikali inaweza kuwezesha mijadala hii.

Wanawake mara nyingi nafasi muhimu wakigombea wanaambiwa kaa upande, au wanaambiwa njoo chukua hiyo gombea. Ukikuta wanawake kawekwa ni mwepesi mno, kapangwa kumsindikiza mtu. Kwa hili nakubaliana nao, ni pamoja na kuwasomesha wanawake, kuwatia moyo kwamba wanaweza.

Rushwa ni kidonda ndugu, hakuna hata chama kimoja kimenusurika hapa. Hakuna chama ambacho hakifanyi, nadhani ni tabia ambayo tunatakiwa kuibadilisha. Watu wajue, kuchaguliwa si mimi, ni chama. Hili la Rushwa, tujitazameni sote.

Maswala ya mikutano hakuna anayekataa, lakini lazima kuwe na jicho. Hatutaki kurudi tulikotoka, polisi wataanza tena kupiga watu. Tunaposema kwamba kanuni lazima tuzitazame siyo kwa nia mbaya, ni nia njema. Lazima tutazame kanuni na sheria ndipo turuhusu.
Hkn kitu hapa
 
Uzuri wanafahamu fika! Siku wakikubali tu uwepo wa Katiba Mpya, na yenye tija, basi na siku zao za kukaa madarakani; zitafikia tamati.
Sijui mkuu 'Tate Mkuu'!

Una maana na waTanzania hawa waliopumbazwa na CCM watageuka mara moja na kuwa na uelewa wa kukutia matumaini hayo uliyonayo?

Kunatakiwa kuwepo na 'brush' maalum ya kusafisha akili za waTanzania zilizochafuliwa na CCM kabla ya kufanya hayo unayoyategemea.

Haijulikani nani ataleta hilo li 'brush' ikibidi pamoja na JIK kali kuifanya kazi hiyo.

Kwa hali iliyopo sasa, nina mashaka makubwa sana juu ya waTanzania kuhusu msimamo huo unaouwaza wewe.
 
Rasimu ya Warioba siyo yote yaliyomo ni kupitisha lazima iangaliwe upya kutokana na muda. Tatizo siyo rasimu ya warioba jambo kubwa ni serikali ya shirikisho, hapa ndipo kwenye utata.
 
Very WEAK statement....

Unapendekezaje kuwepo kitu ambacho tayari kisheria?!

Kikosi Kazi "Kinapendekeza Kuruhusiwa" au Kikosi Kazi "KINATAKA MIKUTANO ya hadhara iendelee" pasipo na masharti yoyote?
Ndiyo maana na Samia mwenyewe kawaambia hapo hapo kwamba mapendekezo yaliyowasilishwa siyo amri kwa serikali
Serikali itachambua na kurekebisha ionavyo yanayowafaa wao, na siyo lazima yanayoifaa nchi.

Sioni jinsi CCM itakavyokubali mapendekezo yanayoiondolea uhakika wa wao kuendelea kuwa madarakani bila ya kulazimishwa kwa nguvu.

Wataendelea kutafuta njia za kuchelewesha, kupindisha wakati wakiendelea kuwa madarakani.
 
wanasiasa ndio wameipigania katiba, hao wananchi wanaosubiri kusemewa tu ni wananchi wa aina gani? Maana nijuavyo hakuna mwananchi amezuiwa kudai katiba.
Sawa, ni vyema na waendelee kuipigania peke yao..!
 
Mimi ningefurahi Kama angeanza mchakato kwa kuruhusu rasimu ya warioba ipite.
Mkuu HIYO ILIKUWA YA WANAHARAKATI-Warioba na wenzake walijinasabu kusikiliza watu na makundi yote. Sawa ila wakaishia kutoweka haki za wanaume
 
Nadhani kuna haja ya kuliangalia upya swala la idadi ya vyama vya siasa. Hakuna sababu ya kuwa na utitiri wa vyama na kusababisha watu kuto kufanya kazi za uzalishaji kwa ajil ya uchumi na kugawa ruzuku nyingi bila sababu. Tume ingeperndekeza vyama 3 tu tosha kabisa.
 
Back
Top Bottom