Prof. Mukandala: Matokeo ya Rais yahojiwe Mahakamani
Hayana umuhimu wowote zaidi yanaisadia CCM kuendelea kujimilikisha nchi kama mali yao

Hujaone jinsi walivyopendekeza kuhusu msajili wa vyama na chaguzi za ndani ya vyama ?

Nilifikili nyundo waliokuwa wanapewa space walizifanyia kazi , kumbe na wao ni sawa tu na serikali na mambo yake

CHADEMA haikushiriki kwenye kikosi kazi
 
Huu utaratibu unafaa nchi Kama Kenya sio Tanzania ya Msajili kumuondoa Mbatia NCCR.

Kuna kitanzi kinataka kuning'ing'izwa hapo ili jamaa waende na maji.😁.

"Msajili wa vyama aandae muongozo wa chaguzi za ndani za vyama vya siasa".
 
Naipongeza Kamati. Wamejaribu sana sana kuukaribia mstari unaoliliwa miaka yote na Watanzania. Mstari wa usawa na uwazi kwenye siasa za Tanzania.

Lajini Kamati hii imekwepa kabisa tena kwa tahadhari kubwa eneo la Mgombea Binafsi. Haki hii inaitaka serikali kuwajibika kwa kuiongezea kwenye sheria ya Uchaguzi

Pia, wangesema kabisa, sheria ya Uchaguzi iwaengue wakurugezi wa Halmashauri na Manispaa kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi. Kila wilaya kuwepo na vetting ya kupata wasimamizi wa Uchaguzi hadi ngazi ya Kata
Isiwe lazima mgombea nafasi ya kazi za uraisi,ubunge,udiwani na mwenyekiti wa mtaa kupitia vyama vya siasa.Ukijumlisha wananchi wote wanaojiandikisha kupiga kura ni asili mia ndogo ndio wanachama wa vyama vya siasa.Kihesabu kumyima mgombea binafsi siyo sahihii.
Michakato ya mabolesho ya katiba iwe na time frame.
Bila time frame ni sawa sawa na hakuna.
Kwani JK alikuja na hizi swaga za amsha popo,kuunda Tume ya Jaji Warioba, ikafanya kazi nzuri,lakini matokeo yake mchakato ukaingiliwa dudumizi,na hadi leo hatuna katiba mpya japo ilitumia pesa nyingi za walipa kodi.
Tatu yapo baadhi ya mambo mazuri kwenye katiba ya Kenya haswa Supreme Court, Tume za Uchaguzi,Mawaziri kutokuwa wabunge na wabunge kuwafanyia vetting mawaziri wateuliwa.Mama Samia yafanyie kazi.
Hakuna kitu kinaniudhi kama kupita bila kupingwa.
Mwisho kila raia mwenye sifa za kupiga kura iwe lazima kupiga kura,Switzerland wana sheria hiyo.Tumechoka kuona watu wanalalamikia kiongozi ambae wengi wao hawakwenda kupiga kura.
 
Watanzania tumepigwa na kitu kizito kisigoni hatujui ni kipi kitatokea

Hakuna jipya hapo yote ni blaah blaah zakusogeza siku Ili 2024&2025 zifike na wanaojiona wanahati miliki ya nchi wachukue vyao

Kuna ugumu gani Kwa mh rais kuhuisha rasimu ya warioba ? Gharama za tume hii busara tu wangenyofoa kipengele Cha aina ya muungano mengine yote wakayaacha kama yalivyo na inakuwa katiba

Inatia hasira nchi hii kweli eti ,jambo dogo linachukua miezi kumi ?

Na hao mnajiita mpo kwenye maridhiano tayari mmekwisha kupoteza tayari. Jiulize swala ambalo lipo kisheria tayari nalenyewe kamati inashauri ifunguliwe kipindi hicho sheria inaitambua .

CHADEMA kazi kwenu kuendelea na maridhiano ambayo nayo yatachukua miezi kumi au mjitoe

CHADEMA sijui wamerogwa na Nani wamekubali kuingia kingi kirais Sana. Rais anawatuliza wanyamaze mpaka 2025 awageuke. Mwenzao anatembea nchi nzima halafu wao anawambia wanyamaze mmpaka maridhianao yaishe. Wajifunze kwa Odinga, unaingiaje maridhiano na adui yako bila kupima?.
 
Mbowe anatafutwa?
20221021_120521.jpg
 
hapo ndo kilipo kibarua.kwa kawaida viongozi wa kiafrika wanapenda kuwa watawala wa kiimla na hawataki mabadiliko yatokee wakati wao wako madarakani.ninachokiona mama anaweza kutumia delaying tactics mpaka uchaguzi wa 2025 utakapoisha au mpaka atakapokaribia kuondoka madarakani.tuombe Mungu ampe busara mama ajitoe ufahamu ili mchakato uendelee.
Umeshaambiwa hii sio amri kwa serikali !!;
 
Sasa wewe huoni ccm hiyo hiyo inatumia udhaifu wa Katiba iliyopo, kuendelea kukaa madarakani!

Unategemea tungekuwa na Katiba bora, mpaka leo hii Tanzania ingekuwa ni nchi ya watu wachache wanao faidi keki ya Taifa?
Tukiitoa ccm tunaingiza chama gani ikulu!?
 
Isiwe lazima mgombea nafasi ya kazi za uraisi,ubunge,udiwani na mwenyekiti wa mtaa kupitia vyama vya siasa.Ukijumlisha wananchi wote wanaojiandikisha kupiga kura ni asili mia ndogo ndio wanachama wa vyama vya siasa.Kihesabu kumyima mgombea binafsi siyo sahihii.
Michakato ya mabolesho ya katiba iwe na time frame.
Bila time frame ni sawa sawa na hakuna.
Kwani JK alikuja na hizi swaga za amsha popo,kuunda Tume ya Jaji Warioba, ikafanya kazi nzuri,lakini matokeo yake mchakato ukaingiliwa dudumizi,na hadi leo hatuna katiba mpya japo ilitumia pesa nyingi za walipa kodi.
Tatu yapo baadhi ya mambo mazuri kwenye katiba ya Kenya haswa Supreme Court, Tume za Uchaguzi,Mawaziri kutokuwa wabunge na wabunge kuwafanyia vetting mawaziri wateuliwa.Mama Samia yafanyie kazi.
Hakuna kitu kinaniudhi kama kupita bila kupingwa.
Mwisho kila raia mwenye sifa za kupiga kura iwe lazima kupiga kura,Switzerland wana sheria hiyo.Tumechoka kuona watu wanalalamikia kiongozi ambae wengi wao hawakwenda kupiga kura.
Upo sahihi sana sana.

Yaani kinachofanyika sasa ni kuigiza kana kwamba tunakwenda sawa kumbe hakuna kitakachofanyika
 
Hiyo sio lenga bali ni matokeo. Nakukumbusha tu kama katiba haitaitoa CCM basi ni kupoteza muda. Maana yake utakuwa na katiba bila serikali yenye utashi wa kuisimamia. CCM hata katiba iliyopo na ubovu wake hawaisimamii.
Prof.Assad aliwahi kusema Katiba mpya ni sawa ila kuisimamia ni jambo lingine
Unataka ccm itoke Kisha chama gani kishike haramu!?..una uhakika kitakua Bora kuliko ccm,kivipi!?
 
Back
Top Bottom