Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Hizo IGA ni siri

Kwenye moja ya clip zake, Lissu kasema(nilivyomuelewa) kuwa kulingana na mkataba, ukomo wa mkataba ni pale shughuli za bandari zitapoisha(maji yakauke, n.k) au muda wa ukomo watachokubaliana kwenye IGA uishe, mikataba ambayo kasema (yaani hizo IGA) itakuwa ni mikataba midogo ya siri.
 
mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Hakuna kinachoitwa kuwaachia wataalamu.
Utaalamu huongezea kwenye msingi uliojengwa na akili ya kawaida (common sense).
Wapo madaktari, wachumi, wahasibu, wahandisi na wanasheria wasio na akili ya kawaida na wapuuzi vile vile.
Kwa hiyo, hoja lazima ziwe na skeleton ya logic and facts halafu wataalamu hao waongeze flesh.
 
Hakuna kinachoitwa kuwaachia wataalamu.
Utaalamu huongezea kwenye msingi uliojengwa na akili ya kawaida (common sense).
Wapo madaktari, wachumi, wahasibu, wahandisi na wanasheria wasio na akili ya kawaida na wapuuzi vile vile.
Kwa hiyo, hoja lazima ziwe na skeleton ya logic and facts halafu wataalamu hao waongeze flesh.
shida ya profesa wako, bado anawaza kuteuliwa kuwa C.A.G, ndio maana kasoma upepo wa mama na makada mmejaa, hamna kitu humo.

awaachie wakina professa shivji, watueleze kuhusu sheria, yeye ni nani kwenye sheria, ana uelewa wa nini,? na mbaya zaidi maoni ni conclusive ya kutukana waliotoa uchambuzi wa kisheria
 
..sikubaliani na madai yake kwamba Tz haina uwezo au fedha za kuwekezs ktk bandari.

..kama tuliweza kukusanya fedha na kujenga mji mkuu mpya tusiouhitaji, na kununua midege inayotutia hasara, basi hatushindwi kukata shauri kuwekeza bandari.

..Dp / Dubai hawatengenezi cranes au mitambo mikubwa inayotumika bandarini. Mitambo hiyo inaundwa na nchi mbalimbali ambako Tanzania inaweza kwenda kununua.


..Hii habari kwamba hatuna uwezo na ni lazima tusalimishe kila kilichoko ktk bandari zetu kwa Dp World ni udanganyifu.
 
..sikubaliani na madai yake kwamba Tz haina uwezo au fedha za kuwekezs ktk bandari.

..kama tuliweza kukusanya fedha na kujenga mji mkuu mpya tusiouhitaji, na kununua midege inayotutia hasara, basi hatushindwi kukata shauri kuwekeza bandari.

..Dp / Dubai hawatengenezi cranes au mitambo mikubwa inayotumika bandarini. Mitambo hiyo inaundwa na nchi mbalimbali ambako Tanzania inaweza kwenda kununua.


..Hii habari kwamba hatuna uwezo na ni lazima tusalimishe kila kilichoko ktk bandari zetu kwa Dp World ni udanganyifu.
i second you mkuu, very brilliant idea, tunachelewesha na watanganyika wenzetu walioshika madaraka kwa tamaa za matumbo yao na familia yao, we need only one traore maisha tutafika mbali kwa kweli
 
THANK YOU.
Kila mwenye fikra na wazo aseme ili tufike salama tunakokwenda.

TUSUBIRI CHOMBO CHA KUTAFSIRI SHERIA KITATUAMBIA HALI HALISI.
 
Clip nzima ya video neno kwa neno Prof. Assad anatoa angalizo yeye sio mtaalamu wa uwekezaji na pia wote ambao sio wataalamu wa uwekezaji wasiingie kichwa kichwa mambo haya ni mazito tuende kwa uangalifu maana nchi zote za kiAfrika tuna matatizo yanayofanana ....

#DIRA YA UCHUMI: PROF MUSSA ASSAD JUU YA UWEKEZAJI WA BANDARI


 
mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Shivji sio mwanasheria hajui chochote kuhusu uwekezaji! Kanakomalia theories za karl max
 
Back
Top Bottom