Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Shivji sio mwanasheria hajui chochote kuhusu uwekezaji! Kanakomalia theories za karl max
 
mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Shivji sio mwanasheria hajui chochote kuhusu uwekezaji! Kanakomalia theories za karl max
 
..sikubaliani na madai yake kwamba Tz haina uwezo au fedha za kuwekezs ktk bandari.

..kama tuliweza kukusanya fedha na kujenga mji mkuu mpya tusiouhitaji, na kununua midege inayotutia hasara, basi hatushindwi kukata shauri kuwekeza bandari.

..Dp / Dubai hawatengenezi cranes au mitambo mikubwa inayotumika bandarini. Mitambo hiyo inaundwa na nchi mbalimbali ambako Tanzania inaweza kwenda kununua.


..Hii habari kwamba hatuna uwezo na ni lazima tusalimishe kila kilichoko ktk bandari zetu kwa Dp World ni udanganyifu.
Ona sasa unabishana na aliyekuwa mdhibiti na mkaguzi wa mahesabu ya serikali yaani mashirika yote anajua kwa undani hali ya fedha ya serikali kuliko hata wewe ila sasa unambishia 😂
 
Comments za hawa watu have much to be desired,ni kama wamekula usembe vilee.Yaani mtu kasoma lakini ni kama hajasoma kabisa,aibu sana.

Hivi unapompa muwekezaji mkataba usio na ukomo maana yake nini,si umeuza,na hata kama ungempa mkataba wenye ukomo lakini conditions zake sio favourable,is it okay?

These people must realize that we are fed up with them,wanazidi kutukasirisha tu,ni bora wakanyamaza.

Halafu kampuni yenyewe sasa,hakuna kushindanishwa kama ilivyo sheria,ni kampuni ya rushwa sana,ikiwa na maana kwamba hata hapa kwetu imetoa rushwa sana,inaudhi frankly.Halafu inaudhi zaidi kwa kwa kuwa wanazidi kutetea uovu huu.

 
Sasa makamanda uchwara wataanza kumchukia huyu jamaa🤣
*Hivi IGA imesainiwa kati ya Tanzania na DP World au Tanzania na Dubai?

*Kama na Dubai ni yapi majukumu ya Dubai yaliyobainishwa katika IGA? na kama ni DP World ni kwanini tulisaini IGA na Kampuni?

*Prof anasema ni vyema mara baada ya hawa DP World ni vizur akatafutwa mwekezaji mwingine akapewa eneo nyingine! Je! Prof anajua kuwa Mkataba unahusu Bandari za Bahari na Maziwa nchini Tanzania?
 
Hakuna Mzanzibar asieshabikia bandari za Tanganyika kuuzwa.

Kwanza ieleweke Asad sio mtalamu wa sheria. Anaanzaje kusema mtu km Prof Shivj ana ufinyu wa ufahamu? Na je km huo mkataba unafaida mbona Zanzibar wao hawamo?

Mbona migao mingine ya fedha huwa povu linawatoka? Huyu nae apuuzwe tu
 
Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Profesa Tibaijuka ambae si Mwanasheria alipoongea kwa kupinga vipengele vya sheria tulimuunga mkono kwa kuwa aliongea tuliyoyapenda kuyasikia

Prof Assad kaongea kwa uzoefu na elimu yake tunapinga asiongelee ya Sheria kwa kuwa si Mwanasheria kwa kuwa tu kaongea tusiyopenda kusikia

Watetezi wengi wa Demokrasia na uhuru wa maoni huwa practically hawaamini hizi falsafa wanazopigania
 
Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Huyo ni nguli wa uchumi anajuwa anachoongea.
 
Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Yaani mtu ni profesa wa uchumi anajikuta ndio profesa wa kila kitu; afya, Sheria, elimu nk

Upumbavu tu,
 
Back
Top Bottom