falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
Tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shivji mjamaa nae alikosolewa na wanasheria wa serikali akichanganya BIT na IGA, vitu viwili tofauti.With due respect Prof atulie!...Angle hii sio yake!
Shivji kashaongea..
Maswala ya uchimi magumu sana, kuna watu hawaja wahi kuagiza mzigo nje na kujua mbivu na mbichi za bandarini lkn kama ni kuunga mkono basi ni kwa nguvu zote na kama ni kupinga ni kwa nguvu zote.Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.
Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Huyu alikua rafiki yangu sana ila Kwa hili kavuruga nadhani Sasa anatamani uteuziMjadala imeharibiwa. Shida upande ule ukitoaga Rais kila Jambo linakuwa na mtazamo wa dini.
Na hili limesababisha wao kutoa Marais wa hivyo daima.
They can't argue but imposing religious feelings in each and everything.
Huyo ni CAG, jaribu kutafuta uelewa mpana wa kazi alizofanya kabla hujaponda maoni yake kwa kigezo kuwa yanayofautiana na fikra zako.Hayo ni sawa na maprofesa wa miamba wanapoenda kuzungumzia mambo ya sheria
Weka namba ya Siri kuthibitisha muamala wako 😆Tumbo ni kiungo kibaya sana
Umemaliza. Ana haki ya kutoa maoni.Maoni yake, tuyaheshimu
Tena watamporomoshea na kashfa juuSasa makamanda uchwara wataanza kumchukia huyu jamaa[emoji1787]
Ujumbe wake ni muhimu, unajua kwanini Magu alimkataa?. Unajua kwanini Magu alikuwa akiwakataa wasomi wenye akili huru?. aliishi na wasiwasi wa kufunikwa na uwezo wao haswa intelligence yao.Ukiona mtu kakataliwa na Magu jua huyo ni takataka
HakikaMambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.
Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Siyo kweli, Mzee alikuwa Mega Brain. Hakutaka ujinga na upigaji. Pia alichezea sharubu za wenye dunia Yao.Ujumbe wake ni muhimu, unajua kwanini Magu alimkataa?. Unajua kwanini Magu alikuwa akiwakataa wasomi wenye akili huru?. aliishi na wasiwasi wa kufunikwa na uwezo wao haswa intelligence yao.