Tatizo lako mwandishi wa hii makala hujasoma, ungesoma usingeandika hayo yote.
Sisi tuliofanya kazi na huyo Assad, tunamheshimu sana lakini pia tunamjua mno. Hakuna mtu mdini na anayependa kufanya upendeleo unaoshahibiana na mambo ya kidini kama Prof Assad.
Any academician wa udsm atakwambia hayo. Having known that, Biasness yake kwenye huu mjadala haiwezi kumpa clearance yeyote ya kuchangia hoja ya maana na akasikilizwa.
Tatizo lenu hamjasoma, hamuwajui watu, hamtaki kujua context ya maoni yao ila mnapenda sana ku-draw conclusion na kufanya reference zisizo na ulazima wala maana.
Sisi tuliofanya kazi na huyo Assad, tunamheshimu sana lakini pia tunamjua mno. Hakuna mtu mdini na anayependa kufanya upendeleo unaoshahibiana na mambo ya kidini kama Prof Assad.
Any academician wa udsm atakwambia hayo. Having known that, Biasness yake kwenye huu mjadala haiwezi kumpa clearance yeyote ya kuchangia hoja ya maana na akasikilizwa.
Tatizo lenu hamjasoma, hamuwajui watu, hamtaki kujua context ya maoni yao ila mnapenda sana ku-draw conclusion na kufanya reference zisizo na ulazima wala maana.