Natafuta tu Ban, Nisamehe Bure kabisa.Nimekukosea nini mpaka unanitukana kiasi hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta tu Ban, Nisamehe Bure kabisa.Nimekukosea nini mpaka unanitukana kiasi hicho?
Usirudie kabisa sisi chawa tuna mkono mrefu, nimekusameheNatafuta tu Ban, Nisamehe Bure kabisa.
We unajua nilichoongelea?Yeye kaongelea lita 5 wewe waleta story
We unajua nilichoongelea?Yeye kaongelea lita 5 wewe waleta story
Huyu prof huwa naona anataka kuua watu kwa stress tuJanabi kazingua hapo.
Hakuna popote Watu wameambiwa Wangwe maji lita tano.
Mtu anakunywa maji kutokana na umri, jinsia na uzito wake.
Wastani ni lita 2-3 kwa Watu wazima.
Leo midomo imechefukwa yani ni TitI fo TatiNani kakasirika wewe matakoo au nawe ni wale wale mabwabwa na mazwazwa nyambaf
Wewe matako elimu yako hata nusu haufikii ya proffeser kaa kwa kutulia"Unatakiwa kunywa Maji pale tu Mwili wako ukikuambia au ukijisikia kuwa una Kiu.
Na hata kama usiposikia Kiu na kutokunywa Maji bado Afya yako itakuwa imara.
Huwa nashangaa mno kuwaona na kuwasikia Watu wakisema kuwa Mwanadamu kwa Siku anatakiwa Kunywa Maji Lita 5 hii si sahihi na wengi wanaokunywa Maji ya Ujazo huo hujikuta wakiwa wameibua Magonjwa mengine Miilini mwao" amesema Profesa Mwenye Akili Nyingi Janabi muda mfupi tu uliopita alipokuwa Mubashara ( Live ) ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.
Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.
Kazi Kwenu.
Kama mwili unataka ganja upe, kama mwili unataka kamnyweso upeUsisikilize sana ma Dr wwe kwanza sikiliza mwili wako unataka kupokea nini kwa wakati huo,kama mwili unataka maji upe maji,kama mwili unataka chai upe chai, kama mwili unataka juice upe juice, kama mwili unataka kupumzika upumzishe!!
Huo ni uchaguzi binafsi kutokana na uelewa na budget ya mtu? Ila tap water sio distilledKwani maji tunayokunywa ni distilled?
Maji yanaongezwa flouride ama chlorine ambazo si nzuri kwa afyaTena maji ya dukani ndio mabaya kabisa....kwasbb hata fluoride hayana na wakati fluoride ni muhimu sana kwenye mifupa na meno
Japo nayo ikizidi inaleta rangi ya gold kwny meno
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe matako elimu yako hata nusu haufikii ya proffeser kaa kwa kutulia
Hata Mimi nimeona kama vile anaumwa kisukari maana ngozi yake haina nuru kabisaHuyo nae anataka tusiishi kwa amani...
Yeye mwenyewe kama afya yake mgogoro hivi....kama kweli yy ndo ana afya basi kuna tatizo mahala...
Hapo atakupa masifa yote[emoji1787]Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu si ndy Dr wa mwendazake? Au nimechanganya madesa?Jina lake ndiyo tatizo!
Bora angeitwa Proffesor Meshack Janabi ushauri wake ungekuwa wa kitaalamu zaidi.
Ila mvaa kobazi hawezi toa ushauri wa maana hata kama ni msomi aliyebobea kwenye taaluma yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanatisha san Mimi jana nilipomaliza kumsikiliza niliogopa sanaUkiishi kwa kufuata masharti ya wataalamu wa afya utajikuta unakua chizi
Huyu siyo talented bhana Ana tumia akilinza watu kachawi haka kajamaaPurely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer