π€£π€£π€£π€£π€£ tunawaombea wote. Sasa nawe hela umemjazia mwenzio ndio umdai!! Sio vizuri.Hizo baraka zielekezeni kwenye familia zenu, kuna mwingine aliniagiza vitu hela ikapelea akaomba nimjazie atanipa kesho yake, kwa sasa ni mwezi wa pili unakatika ananizungusha zungusha tu sijui ndio anataka anilipe kivingine?
Fita ni fita muraaaπ€£π€£Utakuwa mtu wa Musoma wewe au Tarime.
Ingekuwa afu 3 mbona sawaπ€£π€£π€£π€£π€£ tunawaombea wote. Sasa nawe hela umemjazia mwenzio ndio umdai!! Sio vizuri.
Babu Dah Nimecheka Sasa mwanangu ukimnunulia Chai ya 2000 mwenzio unapungukiwa niniLinapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.
Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Wapuuzi sana hao. Mishahara yao unakuta wanajengea nyumba huko kwako na kusomesha wadogo zao ila mshahara wako ndio wanataka mtumie wote mpaka uishe.
Bloodf$$&+*---$ zao.
Hata kama ni kamilioni jamani!Ingekuwa afu 3 mbona sawa
Huo ndo uwanaume, sio kuomba Kila Muda, wanaume Hawana Tabia ya Kuomba Hawa jinsia ya Ke.... Ebana wanaomba mpaka kero.Babu Dah Nimecheka Sasa mwanangu ukimnunulia Chai ya 2000 mwenzio unapungukiwa nini
Umenikumbusha miaka nafanya field Asee muda wa breakfast naenda kujificha kuondoa jau, maana nilikuwaga sipendi ofa ofa za kisng
Uzuri najua pa kuirudishia, namngoja kwenye kona akijaa tu narudisha gharama zangu.Hata kama ni kamilioni jamani!
Msamiati mpya katika Lugha inayofanana na KiswahiliUkiandika "acheni" unamaanisha tulikuwepo na sisi wote?Na hilo neno "bairi" unamaanisha nini wewe ajira mpya?
Ujamaa unatuponza sanaLinapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.
Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Bwana bwana!! Kona gani hiyo?Uzuri najua pa kuirudishia, namngoja kwenye kona akijaa tu narudisha gharama zangu.
Ajaingia=hajaingiaKtk=katika,
Bahiri/bairi=bahili.
Sawasawa mzee wa mifumo?
Hapo nakula chipsi yai na Pepsi bariiiidi kabisa. Mimi sio baba yake mpaka nimnunulie. Wao mbona vyao wachoyo??Ebu acha wewe 3000 inanunua mfuko mingapi ya cement
Naijua mwenyewe atajaa tu na akijaa anapigwa kama ngoma πBwana bwana!! Kona gani hiyo?
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈNaijua mwenyewe atajaa tu na akijaa anapigwa kama ngoma π
Unajisifia kula Pepsi na chipsi halafu tutegemee transformations kama Taifa? Hatari sanaHapo nakula chipsi yai na Pepsi bariiiidi kabisa. Mimi sio baba yake mpaka nimnunulie. Wao mbona vyao wachoyo??
Unamuonea huruma wakati yeye hana huruma nami?πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Huruma anayo, usifanye hivyo dipresheni.Unamuonea huruma wakati yeye hana huruma nami?