Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Hizo baraka zielekezeni kwenye familia zenu, kuna mwingine aliniagiza vitu hela ikapelea akaomba nimjazie atanipa kesho yake, kwa sasa ni mwezi wa pili unakatika ananizungusha zungusha tu sijui ndio anataka anilipe kivingine?
🤣🤣🤣🤣🤣 tunawaombea wote. Sasa nawe hela umemjazia mwenzio ndio umdai!! Sio vizuri.
 
Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Babu Dah Nimecheka Sasa mwanangu ukimnunulia Chai ya 2000 mwenzio unapungukiwa nini

Umenikumbusha miaka nafanya field Asee muda wa breakfast naenda kujificha kuondoa jau, maana nilikuwaga sipendi ofa ofa za kisng
 
Babu Dah Nimecheka Sasa mwanangu ukimnunulia Chai ya 2000 mwenzio unapungukiwa nini

Umenikumbusha miaka nafanya field Asee muda wa breakfast naenda kujificha kuondoa jau, maana nilikuwaga sipendi ofa ofa za kisng
Huo ndo uwanaume, sio kuomba Kila Muda, wanaume Hawana Tabia ya Kuomba Hawa jinsia ya Ke.... Ebana wanaomba mpaka kero.
 
Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Ujamaa unatuponza sana
 
Mara nyingi hii hutokea kwa akina dada, kwahiyo inategemea na msimamo wako,ukijilegeza basi kazi kwako.
 
Back
Top Bottom