Hii mada ilete jf doctor hapa sio jukwaa lake.
 
si tiyari una gf?sasa hayo madudu ya nini?yana madhara hata km sio sasa!
 
Kwa kweli kijana anahitaji msaada wa kiroho! mbona umeanza mapema namna hiyo?
 
madhara yepi
Kujichua ndugu wana JF hakuna madhara ya moja kwa moja.

Tafiti zinaonyesha kwamba hakuna madhara physical ambayo mtu anaweza kuwa anayapata, labda pale ambapo utafanya tendo hilo vigorously au bila kutumia lubricants unaweza kupata michubuko.

Tatizo kubwa la kujichubua ni emotional au psychological ambalo hutokana na mtu kuji-feel guilty baada ya kufanya tendo lenyewe kwa sababu tendo hili linaonekana baya katika jamii. Kitu kingine ambacho mimi ndio naona kibaya zaidi ni kwamba unapojichua huwa unafikiria kupata raha peke yako hivyo hata wakati wa kufanya mapenzi na mwenzi wako hutawaza kumpa raha na mpenzio utakuwa unataka wewe upate raha peke yako na hii inaweza kuathiri uhusiano wenu.

Sina uhakika sana kama tendo la kujichua limekatazwa moja kwa moja kwenye biblia au quran lakini katika biblia kuna mtu aliuawa kwa kumwaga shahawa zake nje, kwa hiyo nadhani hata kiimani tendo hili halikubaliki.

Utafiti pia unaonyesha kwamba kufanya tendo hili kwa zaidi ya mara tatu kwa wiki kunaleta addiction, kwa hiyo utakuwa wewe ni mtu wa kujichua tu na hasa kama ukiwa peke yako na kuacha kufanya au kufikiria mambo mengine, na pia hutakuwa unamfikiria sana mpenzi wako na hivyo waweza kuharibu uhusiano wako kwa kuwa utapenda zaidi kujichua kuliko kufanya mapenzi na mpenzi wako.

Nakushauri jitahidi sana uache, hutaona madhara yoyote physical, nguvu za kiume zitakuwepo kama kawaida lakini in a long run, guilty feelings na addiction vitakuathiri ndugu yangu.

Kuacha ni rahisi, acha kuwaza sana ngono, epuka kukaa peke yako muda mwingi, epuka vitu ambavyo vitakufanya ufikirie ngono kama kuangalia pornographic movie au picha za uchi, na pia omba sana Mungu atakusaidia utaacha, zinapokuja tu fikra za kufanya tendo hilo mwambie Mungu apitishie mbali hayo mawazo utaacha.
 
Duu! Ama kweli ths iz so called kizazi cha computer a.k. Kizazi cha nyoka.
19 yrs tayari umeanza kuchakachua? Kwa vyovyote vile utakuwa ume "do" na mtoto mwenzako ambae yuko under 19.
Watu wa zamani umri huo tulikuwa hatujui hata vitendea kazi ni vipi,hadi siku unafungishwa ndoa ndio unaambiwa kazi ya kila kifaa wakati huo upo above 25 yrs.
Ongeza maobi dogo utapotea mapema sana ukiendekeza ngono kwa dunia ya leo.
 
Ili ujue side effect google "musturbation" utapata kila kitu.
 
Mwelewa,
Wewe kijana wewe!
Unajichubua halafu unakuja hapa unatangaza kwa loud speaker!!
Endela kujichua ila iwe siri yako...endelea tu baada ya muda utagundua kuwa kama kunaleta matatizo au hakuna matata...
Fanya kwa kiasi, jikisie kulingana na mlo unaokula pia... Halafu kama una GF inachotafuta ni nini katika kujichubua?
 
Hakuna madhara kijana, kitu normal na natural hicho, endelea tu, ili mradi usijiumize na kujifungia chumbani siku nzima. Masturbation is sex with someone you love!!
 
Hakuna madhara kijana, kitu normal na natural hicho, endelea tu, ili mradi usijiumize na kujifungia chumbani siku nzima. Masturbation is sex with someone you love!!

ha ha ha haaaaaaa..very funny!
kijana anabadilisha tu wapenzi kila siku sio?leo j lo,kesho beyonce, keshokutwa yule dada wa jirani anayemtizama na kushindwa kumwambia n.k...
but bottom line masturbation ina psychological effects jamani..itafika wakati husimami mpaka ujichue..shauri yako.!!
 
Hilo ni tatizo la kisaikolojia. Zingatia ushauri wa Kapotolo. Acha kabisa. Kuna mtaalam alisema ukizoea hiyo kitu utakuwa unawahi ku piz sec. 3. kwa vile punyeto hutumia nguvu nyingi kuliko ukikutana na mwanamke, umeona wajamaa wanavyolalamika kuhusu kuwahi ku piz??? yatakukuta hayo kama hutaacha.
 
Inakuwajee?

Kuna rafiki yangu ni mpiga nyeto ballah.

Sasa kapata mpenzi, so anaogopa kushiriki nae tendo kwa sababu kwa muda mrefu kawa addicted wa punyeto, since miaka 17 mpaka now ana 22.

He told me alipokuwa faragha na mpenzi wake hakupata stimu mpaka alipopata blowjob.

Lakini wakati anaingiza ndani ya Vutu, goma hapo hapo ikalala bila ya kupump.
Mnamshauri nini huyuu?:decision:




 
Hii balaaaa blueee,mwambie aachane na vitu ambavyo hajazoea...aendelee na alivyozoea kuliko kujiaibisha kwa wasichana.
 
Hii balaaaa blueee,mwambie aachane na vitu ambavyo hajazoea...aendelee na alivyozoea kuliko kujiaibisha kwa wasichana.

mzeee sasa itatakiwa awe na family yake one day,!!!
hii nyeto ni ujana 2 unampeleka
 
huyo sasa naona kaishakuwa Nyetophilic (nyeto loving specie) na hii itampelekea kuwa na ugonjwa unaoitwa girls-ophobia (girls fearing disease).
 
Tatizo la wana JF hum wengi ni wababaishaji halafu wanataka kuchangia kila kitu hata kama hawakiele!!mwenzenu kaomba ushauri nyie mnatoa majungu! Kama hauna la kushauri si ucul 2!!....by the way inaonekana jamaa kafika hatua mbaya ila yawezekana pia hofu ilichangia kwa cku hiyo hasa kama hapendi tendo hilo la nyeto! Chakufanya ni kuonana na watalaam(aende hospital) huko watampa dawa na ushauri vitakavyo mfanya ajiskie huru na kuona anaweza!! Ni hayo tu mkuu!!
 
hayo ndio madhara ya nyeto nenda kwa dr ndodi akupe dawa zakuimarisha misuli na ngoma itarudi kama awali na utachelewa kukojo...
 
Hebu sahihisha kauli zako kwanza, inaonekana ni story ya kutunga! ina maana huyo bwana alianza kupiga nyeto akiwa just five years!!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…