Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimekusaidia kwa namna moja japo hujang'amua, tatizo la kujichua ubongo unahusika, hata wewe ukizoeshwa kulala taa imewaka kwa miaka mingi, itafika kipindi huwezi kulala bila taa kuwashwa.Hujasaidia kitu. kama umeona mada haijakupendeza jiweke kando sio lazima kila mada uchangie kama umekuudhi mada hii samahani leongo ni kusaidiana katika mambo ya kiafya ndio lengo la jukwaa hili. sio kubezana
shukrani mkuu kwa maoni yako chanyaHongera kwa kuacha huo mchezo mchafu mkuu. Wewe endelea kufanya mazoezi, kula vizuri, kupunguza uzito na kujisomea mambo ya maana. Ukiwa na mkeo relax na uchukulie kuwa ni jambo la kawaida. Fukuza wasiwasi wo wote, jiamini halafu toa dozi kwa kadri unavyoweza. Siku moja utakuja kujishangaa. Wakati mwingine kupaparika na kutaka njia za mkato pamoja na woga ndiyo huleta matatizo. Good luck in your recovery from the bondage of masturbation. Mungu Akusaidie!
Kuacha inawezekana na wengi tumeshafanikiwa kuacha. Wewe una mke na watoto wawili bado tu unapiga? Unahitaji msaada wa kitabibu na kisaikolojia mkuu. Pia waone wataalamu wa mambo ya kiroho watakusaidia.Duh nyeto ni brain related addiction... Sizani kama unaweza acha. Kuna jamaa yuko na mke na watoto na huwa ananiambia bado anapiga puli
mkuu umenizungumzia aiseeKuacha ni ngumu sana, laakini umejitahidi kutoa ushaurii, wahanga wengi wa punyeto ni wanafunzi, muda mwingi wanakua wako peke yao na kujisomea ndani, yanapowajia mawazo haya huondoa haraka kwa punyeto na kuenndelea kusoma daftari au kitabu chake, iyo kutafuta mpenzi inaweza saidia lakini sio kwa wote, maana kua na mpenzi na kufanya sex ni vitu viwili tofauti, unaweza ukawa na mpenzi lakini hata kumkumbatia ukawa hufanyi
hahaha aisee ingekua kazini hapa umepanda vyeo maana sio kwa uzoefu huu kaziniNa mm ninamiaka 12 sasa nimekua muhanga wa puu[emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] kweli usajili wa chaputa ni wakudumuHujaacha Mkuu, Umepumzika tu! Muda wowote Utarudi Ulingoni.
punyeto haina madhara,uoga wenu na story za vijiweni ndio unasababisha mshindwe kushiriki tendo la ndoa.
Binafsi nimeanza punyeto tangu darasa la 7 mpka namaliza chuo pale MUHAS bado napiga punyeto,nimeacha punyeto baada ya kuoa.
1-sijawahi kupata madhara ya punyeto napiga mpka bao 4.
2-uume haujasinyaa sio mdogo kama mnavyo-danganyana.
3-sina matatizo ya kusahau,sikupata uchovu wa mwili na kiakili.
NB:life style zenu ndio zinawafanya msiwe na nguvu za kimwili ata za kiume,unakula chips yai+soda,mnajishindilia vyakula vya mafuta mnategemea hizo nguvu mtazipata wapi???
mazoezi hamfanyi mnategemea nguvu mnatazipata wapi???
mkuu umenizungumzia aisee
Uko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yoteAcha punyere kisha Anza mazoezi ya kegel na kukimbia, kunywa maji mengi, pumzika (usingizi) vya kutosha, acha vileo. Wk mbili za mwanzo utaona mabadiliko.