Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Mbona kelele nyingi hayo majimbo yanajulikana ni ngome ya Russia mbona hawakuchukua na Kiev yenyewe?
 
Kwa hiyo anaogopa kifiro cha kwenye mabarafu
 
Hao mabeberu siku zao zinahesabika ,, safi sana putin.

Hao mabeberu waendelee huku africa kufanya ubeberu wao wa kipuuzi
Huu msemo kama ulishapoteza maana, Kange alituambia siku za Kigogo zinahesabika, mpaka leo hakuna kitu.
 
Wewe tiliza kitushulio NATO hawana cha kufanya zaidi ya biti za kaboka mchizi
Kuna mtu alisema ugali hudumaza akili, NATO wala USA hawakuwahi kusema watapigana vita kuilinda Ukraine. Ukraine siyo mwanachama wa NATO, sasa mnataka NATO wapigane kwa lipi? NATO walisema watatoa msaada wa silaha na kuiwekea vikwazo Urusi ikiwa itaivamia Ukraine, mlitaka kipi cha zaidi?
 
NATO na USA wamepigwa na kitu kizito wanauguliwa maumivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
Katika iliyotarajiwa na wengi hatimaye Umoja wa Ulaya unatafakari kuiwekea vikwazo vya kifedha Russia na tayari Kansela wa Ujerumani ameshasimamisha ujenzi wa Nord Stream 2 hii ni baada ya kupigwa na kitu kizito toka kwaJasusi wa zamani wa KGB Rais Vladimir Putin baada ya kutangaza kuyatambua majimbo ya Luhansk Donenst na kuingiza majeshi ya Russia kutoa ulinzi kwa Mataifa hayo.
 
Chechnya ,Georgia, Syria na hatimaye Ukraine muendelezo wa umwagaji damu ya wasio na hatia. Putin siyo wa kuchekewa. Civilized world must come together as one and teach Vladmir Putin a lesson or two on civility and peaceful co-existence.
 
US na NATO walisema wao wataweka vikwazo na si vinginevyo.

Ni ngumu kupambana kijeshi kuisaidia Ukraine directy kwa sababu sio member wa NATO ndio maana walimpa vifaa vya kijeshi,ni wajibu wake kupambana.
Hakuna awezaye kutia mguu mahali Putin atakapokuwa ametia mguu. Saa hii mzee mzima biden anajichanganya!! walitishia vikwazo putin akasema we are immune to sunctions!!
 
Hilo bomba la Nord stream 2 halikuwa linafanya kazi hivyo huwezi kusema amesimamisha. Ujenzi ulishaisha wakagoma kulifungua. Kwa hiyo hakuna jipya!
 
Huu msemo kama ulishapoteza maana, Kange alituambia siku za Kigogo zinahesabika, mpaka leo hakuna kitu.
Mbona siku zake zilishafika muda tu. Hebu muangalie Kigogo Huyu wa sasa kama ni Yule uliyemjua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…