Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Zikiwa zimepita siku tatu baada ya kuanza kwa fainali za kombe la dunia nchini Qatar huku sheria na maagizo mbali mbali yaliyokatazwa katika nchi zikizidi kuleta mshangao kwa wadau na mashabiki wa soka hiyo inakuja baada ya Qatar kuendelea kusimamia sheria za nchi yao ambapo:–

Ndege ya team ya taifa ya ujerumani kuzuiliwa kutua katika nchi hiyo baada ya kuwa na nembo inayoashiria kuunga mkono mapenzi ya jinsi moja katika ndege hiyo hivyo kulazimika kutua Oman na kubadilisha ndege na baadae kuruhusiwa kutua katika nchi hiyo huku baadhi ya mashabiki na wadau wakipinga vikali uamuzi huo.

Vile vile Qatar imekataza unywaji wa pombe hadharani na kuonyeshana mapenzi hadharani kwa watu wa jinsia moja au tofauti kwani nchi hiyo hairuhusu swala hilo hivyo wameonywa kuzingatia hilo kwa mwezi mmoja watakaokuwa hapo na kusisitiza kwamba qatar hawatabadilsha dini kwa siku 30 za kombe la dunia asante sana Qatar.

Wakati hali hiyo ikijitokeza wachezaji na benchi la ufundi la Belgium wameonywa na kukatazwa kutumia jezi zenye nembo ya kuashiria kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja huku manahodha wa team zote zinazoshiriki katika fainali hizo wamekatazwa kuvaa nembo inayoashiria au kuunga mkono mapenzi ya jinsia moja kwenye vitambaa wanavyotumia kuvaa manahodha wakiwa uwanjani asante sana Qatar.

Kwa yote hayo mimi naungana na Qatar kwa hatua hiyo kwani haki za binadamu sio kukubali kila kitu hata kukataa pia baadhi ya vitu visivyoendana na tamaduni ya nchi au jamii husika pia ni haki za binadamu ikumbukwe Qatar hawajakataza harakati za mapenzi ya jinsia moja bali hawataki hizo harakati katika nchi yao wakitoka Qatar waende nchi zinazoruhusu, mambo hayo nje ya Qatar kumbuka kila nchi ina sheria na kanuni zake wao Qatar wamekataa kuunga mkono kwenye suala hilo naona wadau wanalalamika sana wakati huo raisi wa shirikisho la mpira duniani akiwaonya pombe na vyote wanavyolalamika sio sehemu ya mpira asante sana Qatar.

NB:HATA KUKATAA VITU VISIVYOENDANA NA TAMADUNI ZA NCHI YAKO PIA NI HAKI ZA BINADAMU ASANTE SANA QATAR MUNGU AWE NANYI SIKU ZOTE.
 
Uko tayari kujifunza kuhusu kafala system au tukuache uendelee kufurahia?
 
Shoga kaotewa Qatar[emoji23]
 
Chomoa taratibu kama inakuumiza Qatar shikilia hapo hapo.
Waarabu wamecharuka
20221122_211612.jpg
20221122_211605.jpg
 
Huo unawezekana ni ukweli kabisa
Inawezekana Afrika kuna malaya na walevi wengi wa pombe kuliko Ulaya, ila kwa kufuata mkumbo na kutaka sifa, tunajidai tunapinga kampeni za pombe na umalaya
 
1669615796775.png

Walinzi uwanjani huko Qatar walimwamuru atupe "upinde wake wa mvua jalalani"

World Cup soccer fans stopped by security officials for wearing rainbow-colored items.​

Out of nowhere. They took my friend quite aggressively on the arm and pushed him away from the crowd and told him to take it [the armband] off,” Kunkel told CNN, as he recounted details of the incident shortly after it happened.

“Then they took me with him. They said: ‘You’re going to take it off and throw it in the bin or we’ll call the police.’”

Kinachoshangaza ni kwa nini wanalazimisha kutumia kombe la dunia kutangaza LGBTQ yao? Kama wanataka si waandae kongamano lao la kutangaza uchafu wao?
 
Kwenye soka letu la bongo TFF iwe macho na kuwa makini na watu hawa!! Hawa jamaa hawachelewagi kujipenyeza!!
 
Inahitaji imagination kubwa kukaa na kuwaza mk***u wa mwanaume mwenzio unatumikaje. Unajua kila unapojadili ushoga lazima akili yako itengeneze picha kichwani mwako kwa yale unayodhani wanafanyaga.

Sijui wengine mnawezaje kuwaza yote hayo ila nadhani tungetumia imagination hizi kubuni mambo ya maendeleo binafsi na kama taifa tungesonga mbele.
 
WAKATI MWINGINE KUPOSTI TU KITU KAMA HIKI TAYARI UNA PROMOTE BILA KUJIJUA.

WAARABU WAMEINGIA MTEGONI WANA PROMOTE USHOGA KWA KUUPIGA VITA YAA HADHARANI.

POSTI HIZI HAPANA JAMANI.
 
Inahitaji imagination kubwa kukaa na kuwaza mk***u wa mwanaume mwenzio unatumikaje. Unajua kila unapojadili ushoga lazima akili yako itengeneze picha kichwani mwako kwa yale unayodhani wanafanyaga.

Sijui wengine mnawezaje kuwaza yote hayo ila nadhani tungetumia imagination hizi kubuni mambo ya maendeleo binafsi na kama taifa tungesonga mbele.
Ni simple tu mkuu kuzibua mtalo wa mwanaume mwenzio wala haihitaji imagination ya ukubwa wowote,
ni simple tu kama ilivyo simple kuzibua mtaro wa demu.
 
WAKATI MWINGINE KUPOSTI TU KITU KAMA HIKI TAYARI UNA PROMOTE BILA KUJIJUA.

WAARABU WAMEINGIA MTEGONI WANA PROMOTE USHOGA KWA KUUPIGA VITA YAA HADHARANI.

POSTI HIZI HAPANA JAMANI.
Kwahiyo wewe ulitaka hao Waarabu wafanyaje?
Waruhusu huo upuuzi wenu?

Kwahiyo kupiga vita rushwa pia ni kuipromote rushwa? kupiga vita dawa za kulevya ni kuzipromote? kupiga vita vibaka ni kuwapromote vibaka?

Eti wameingia mtegoni,mawazo ya kijinga kabisa haya.
 
Ni simple tu mkuu kuzibua mtalo wa mwanaume mwenzio wala haihitaji imagination ya ukubwa wowote,
ni simple tu kama ilivyo simple kuzibua mtaro wa demu.

Seriously? Yan ile kijambio ya mwanaume mwenzio unaisimamishia mkuyenge?

Hapana aiseh🙌
 
Kinachoshangaza ni kwa nini wanalazimisha kutumia kombe la dunia kutangaza LGBTQ yao?
Na mimi niulize hapo hapo, wanapunguza nini wakitumia kombe la dunia kutangaza LGBTQ yao? Wakati mwingine tunajipa maswali magumu yasiyo na maana hata kama maibu yake yatapatikana
 
Kwenye soka letu la bongo TFF iwe macho na kuwa makini na watu hawa!! Hawa jamaa hawachelewagi kujipenyeza!!
Mbona bongo kuna mashoga kibao tu na wala hawatumii soka kujitangaza? Tuache unafiki, tuangalie mambo yetu
 
Ni simple tu mkuu kuzibua mtalo wa mwanaume mwenzio wala haihitaji imagination ya ukubwa wowote,
ni simple tu kama ilivyo simple kuzibua mtaro wa demu.
Sawa ni kweli unalosema. Ila kukaa kujadili haya mambo ni lazima ujenge picha kichwani kuhusu hayo mambo. Hapo ndiyo nasema mnatumia power zenu za imagination vibaya.

Anyways, ngoja niwapishe muendelee huwa sijadili mada hizi.
 
Back
Top Bottom