Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Rais Magufuli afanya mazungumzo na msomi Prof Patrick Loch Otieno Lumumba, msomi huyu ammwagia sifa lukuki Dr Magufuli

Kama uraia mimi ningependekeza apewe Mkulima maarufu Mzee Stayn
Ushujaa aliouonyesha katika kudai chake umetufunza mengi haswa kwenye kukomaa mpaka kieleweke hata kama waziri anakukodolea mimacho kama chura
 
PLO ni sawa na Walter Rodney ni waathirika wa elimu ya ujamaa sawa na Bashiru,Kwa ulimwengu wa sasa hasa hichi kizazi cha dotcom chenye awareness kubwa yaani global vision ni ngumu falsafa zao kueleweka.Hao walifaa zama za kuzifungia akili kwenye box,yaani utakiwi kuwaza zaidi ya anayekutawala utakiwi kutembea nje ya fikra za mwenyekiti
 
Kama uraia mimi ningependekeza apewe Mkulima maarufu Mzee Stayin
Ushujaa aliounyesha katika kudai chake umetufunza mengi haswa kwenye kukomaa mpaka kieleweke hata kama waziri anakukodolea mimacho kama chura
Hilo sahau first priorities wanaomuabudu mungu wa Lumumba fc
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
LOMOMBA au Lumumba!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshauri njia ulizotumia kupata uraia wa Tanzania
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.

In God we Trust
 
Tanzania kuna Dual Citizenship au kwa maana nyingine unataka kusema atakana uraia wake wa sasa
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.
Ficha upumbavu wako
 
Halo wana JF.

Kuna tetesi nimepata kutoka chanzo nyeti serikalini, kuwa Professor Patrick Lomomba maarufu PLO wa nchini Kenya, atapewa uraia wa Tanzania siku yoyote ndani ya mwezi march 2020.

Lomomba ni msemaji hodari yaani kwa kingereza good orator. Amekuwa mshambuliaji mkuu wa mabeberu kwa kutetea raslimali za Africa na pia mfuasi mkubwa wa Rais Magufuli. Anaandaa kitabu cha The Magufulication of Africa.

Inadaiwa ktk tetesi hizo atakabidhiwa idara nyeti ya kupambana na ufisadi humu nchini Tanzania lakini inadaiwa wahafidhina serikalini ambao hawaamini watani wetu wa Kenya, wanapendekeza kama serikali imempenda gwiji hili la sayansi ya siasa, wampe chuo kikuu kimoja wapo nchini awe Vice Chancellor.

Naendelea kutafuta ukweli wa tetesi hii kabla muda haujaongea mwezi march 2020.

kisa ni kimoja tu kuwa kamsifia sana mungu jiwe
 
Afrika inayo wasomi wazuri sana ila tatizo ni kuwa hawatumiki ipasavyo katika kuleta mageuzi ndani ya nchi husika na Bara la Afrika kwa ujumla
 
Back
Top Bottom