Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

CHADEMA kujitoa madarakani vifo vya kuugua kwa muda mfupi vimekuwa vingi sana ivi kwann. Warudisheni CHADEMA kwenye nyadhifa zao ili hili wimbi la vifo vya kuugua kwa muda mfupi vipungue mnasikia MATAGA?
 
Namaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
Haha kongwa imekuwa na mbunge ambae ni speaker. kwa muda mrefu sasa.

Ukiwa speaker inakuwa rahis kupelekea matatizo ya jimbo lako kwa rais.

Miaka yote hii ameshindwa kurekebisha jimbo lake why?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Huyu ana matatizo zaidi ya corona
 
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
ili nibidi nicheke sana
 
Siri za kupata kura zote kumbe ulikuwa ni mtindo wa kukomba chungu cha mboga! Amewaumbua aliowapa udiwani kuwa hawakuchaguliwa na wananchi, msema ukweli ni kipenzi cha Mungu na ndugu zangu ukweli utabaki kuwa ukweli.
 
Namaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
Acha uongo ndugu yangu.
Jimbo la Mwanga huenda ndio jimbo duni zaidi kimaendeleo katika mkoa wa Kilimanjaro.

Jaribu kutembelea mkoa wa Kilimanjaro ndio utaelewa vizuri.
Mimi nilitembelea mwishoni mwa 2020 kuingia 2021, nilichokiona Kilimanjaro ni kitu tofauti sana, spirit ya maendeleo wanayo kabla hata ya kupata uhuru, na kuna mahali pengi huko kwao nilikutana na wenyeji wanaoamini kuwa kupata Uhuru kwa Tanganyika kulipunguza sana kasi ya maendeleo ya Kilimanjaro, na CCM ndio kongwa la umaskini.

Hao jamaa wa Kilimanjaro wanaichukia CCM kuliko hata shetani.
 
Acha uongo ndugu yangu.
Jimbo la Mwanga huenda ndio jimbo duni zaidi kimaendeleo katika mkoa wa Kilimanjaro.

Jaribu kutembelea mkoa wa Kilimanjaro ndio utaelewa vizuri.
Mimi nilitembelea mwishoni mwa 2020 kuingia 2021, nilichokiona Kilimanjaro ni kitu tofauti sana, spirit ya maendeleo wanayo kabla hata ya kupata uhuru, na kuna mahali pengi huko kwao nilikutana na wenyeji wanaoamini kuwa kupata Uhuru kwa Tanganyika kulipunguza sana kasi ya maendeleo ya Kilimanjaro, na CCM ndio kongwa la umaskini.

Hao jamaa wa Kilimanjaro wanaichukia CCM kuliko hata shetani.
Sasa mbona wabunge wote ni CCM?

Au wanachukia nini?!!!
 
..huyu Mzee ni MUONGO.

..kuna majimbo kibao hajawahi kuchagua wabunge wa chadema lakini yako hoi bin taabani.

..inawezekana kipindi cha 2015 to 2020 serikali ilikuwa ikikwamisha maendeleo ya Kibamba ili ionekane mbunge aliyechaguliwa hafai.
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.
Kwani ni kazi ya mbunge kujenga barabara. Kama ndivyo mbona hamuachii huyu mbunge wake wa sasa akajenga hizo barabara za lami. Lugha hii ya kibaguzi ningemshauri rais ajirekebishe.
 
Hatari sana... msemo wa maendelea hayana chama ni wa kinafiki sana...
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!

John Pombe Joseph Magufuli 💣💣🙌🙌🙌🙌
 
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Huwa nashindwa kuelewa kichwa cha Rais Magufuli huwa kinafanyaje kazi! Mbona kuna majimbo hawajawahi kuchagua mbu mbunge kutoka upinzani lakini ni maskini wa kutupwa?
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!
Mbunge ana Budget ya maendeleo??
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!
Ubaguzi wa dhahiri unaonyeshwa na baba mwenye nyumba.

Inaonekana pia majukumu ya mbunge hayafahamiki sawa sawa kwa baba mwenye nyumba.

SUALA la maendeleo nalo linaonekana ni hisani ya baba mkubwa na siyo jukumu lake kwa mujibu wa katiba.

Baba anapaswa kuwaunganisha watz na siyo kuwagawa kwa misingi ya KIIMANI, KISIASA, KIUCHUMI nk kama anavyofanya.

Hapa napata majawabu kwa nn watz WENGI walifurahia kuzuiwa kwa NDEGE yao kule AFRIKA KUSINI na CANADA

Very disappointed with these kinds of words from our beloved father
 

Attachments

  • IMG-20200630-WA0001.jpg
    IMG-20200630-WA0001.jpg
    37.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom