johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Sikonge ni kama Rombo bwashee!Sijafika SIKONGE miaka 3 sasa, nadhani kwa sasa inaikaribia Toronto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikonge ni kama Rombo bwashee!Sijafika SIKONGE miaka 3 sasa, nadhani kwa sasa inaikaribia Toronto.
Haha kongwa imekuwa na mbunge ambae ni speaker. kwa muda mrefu sasa.Namaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
😂😂 Ila JB mtu asipogundua huwa unachombezea anaweza tokwa na mapovu hadi basiMiaka 10 barabara kilomita 5.
haha kongwa imekuwa na mbunge ambae ni speaker. kwa muda mrefu sasa.
ukiwa speaker inakuwa rahis kupelekea matatizo ya jimbo lako kwa rais.
miaka yote hii ameshindwa kurekebisha jimbo lake why?
Huyu ana matatizo zaidi ya coronaKongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.
Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
ili nibidi nicheke sanaKongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.
Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Acha uongo ndugu yangu.Namaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
Sasa mbona wabunge wote ni CCM?Acha uongo ndugu yangu.
Jimbo la Mwanga huenda ndio jimbo duni zaidi kimaendeleo katika mkoa wa Kilimanjaro.
Jaribu kutembelea mkoa wa Kilimanjaro ndio utaelewa vizuri.
Mimi nilitembelea mwishoni mwa 2020 kuingia 2021, nilichokiona Kilimanjaro ni kitu tofauti sana, spirit ya maendeleo wanayo kabla hata ya kupata uhuru, na kuna mahali pengi huko kwao nilikutana na wenyeji wanaoamini kuwa kupata Uhuru kwa Tanganyika kulipunguza sana kasi ya maendeleo ya Kilimanjaro, na CCM ndio kongwa la umaskini.
Hao jamaa wa Kilimanjaro wanaichukia CCM kuliko hata shetani.
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.
Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.
J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba
Source: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Wilaya ya Ulanga haijawahi kuwakilishwa na upinzani haina lami hata kilomita moja.Miaka 10 barabara kilomita 5.
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.
Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.
J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba
Source: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Huwa nashindwa kuelewa kichwa cha Rais Magufuli huwa kinafanyaje kazi! Mbona kuna majimbo hawajawahi kuchagua mbu mbunge kutoka upinzani lakini ni maskini wa kutupwa?Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.
Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Mbunge ana Budget ya maendeleo??Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.
Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.
J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba
Source: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Ubaguzi wa dhahiri unaonyeshwa na baba mwenye nyumba.Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.
Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.
Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.
J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba
Source: TBC
Maendeleo hayana vyama!