Mkuu voicer hivi Mh Dr Jakaya Kikwete yupo upande upi kwenye hili jambo la Bandari?
Hii clip sio ya leo!
Very old version ....
Angalia hata podium yenyewe ina bendera ya Tanu.

Kikwete hawezi kujitokeza kwa hili jambo sababu yeye ndie engineer mkuu wa hili jambo.
Hii clip sio ya leo!
Very old version ....
Angalia hata podium yenyewe ina bendera ya Tanu.

Kikwete hawezi kujitokeza kwa hili jambo sababu yeye ndie engineer mkuu wa hili jambo.
 
TEC ni wawakilishi wa wananchi million 30. Sasa ka swahili ka 1 ka msoga kaliko uza banadari na madini yetu kaendelee kutuletea utumbo wake. Akae alee videmu vyake. Na miradi yake ya mafuta.
Na uswahili wake amekuwa Rais wako kwa miaka kumi na ulikuwa unafanya anavotaka yeye either direct or inderect so niondolee ujinga wako na Maaskofu wako majinga.
 
Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.

My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.
View attachment 2722931
Nzuri sana hiyo, JK ametimiza wajibu wake km rais mstaafu. Alishatuasa akiwa rais kuwa vita vya kidini havina mshindi. Mbona wakati wa Magufuli mashehe hawakuwa na usumbufu? Nimewadharau maaskofu wa kanisa katoliki, ni watu hatari kwa ustawi wa binadamu, ni wabinafsi, wabaguzi, wachochezi wa chuki, wanagawa wananchi. Yesu alipoulizwa na mitume wake kwamba ni amri ipi kuu kuliko zote, Yesu aliwajibu ni UPENDO. Hawa maaskofu ni wafuasi wa Yesu yupi? Hapana wanapandikiza chuki mbaya sana tena sana, sahivi watu wa madhehebu mengine wataanza kuwachukia wakatoliki. Nimesikitika sana hawa watu si salama.
 
Mhe. Jakaya akiwa kwenye mkutano wa Kanisa la Adventist (Sabado ) amehutubia kwa kukemea dini kuchanganywa na siasa. Ikumbukwe kwamba ni muda mrefu sana JK hakuwa akipatikana majukwaani na kwenye mikutano ya ndani ya taasisi za kiraia na za dini

Katika hotuba yake anakemea na kuonya kuhusu mgawanyiko wa dini NCHINI. Anakemea akionyesha kwamba wapo watu wanatumia agenda za dini kisiasa na kisiasa kidini. Swali langu kwa mzee wetu huyu; kwanini sasa?

Je anaamini kutetea rasilimali za nchi ni jukumu la kisiasa au ni jukumu la kila mtanzania bila kujali taasisi anayofanya kazi . Je, kusema na kutoa maoni kwa viongozi wa dini ni siasa? Mbona wakati viongozi wa kidini walipofanya mashauriano na serikali awali kuhusu mkataba huu hakuna aliyejitokeza kusema dini na siasa zinachanganywa pamoja?

Mbona hizi hizi dini wakati wa JPM zilivalishwa mwamvuli wa kamati za amani zikawa zinamlinda JPM na CCM hakuna aliyejitokeza kukemea? Kamati za amani zikatumika kuwakataza wananchi kusema mwisho wake watu wakawa wanapotea, je wakati huo mbona hakuna aliyesema ni Udini?

Mimi ni muislam , alisimama Shekhe Mwaipopo anaongea vibaya sana akidai huo ni msimamo wetu huku mkijua kabisa kwamba yalikuwa mawazo binafsi...mbona hakukuwa na neno kutoka kwetu kukemea alichokuwa anafanya? Juzi hapa amejitokeza mzee wetu kwenye imani ametukana kwa mwamvuli wa kutetea uislamu kwanini hatutoki kutetea?

Wenzetu wameatumia haki yao na wameweka kwenye maandishi hakuna sehemu walipoonesha Udini, hoja yako ya Udini hata kama ina mashiko lakini umekosea wakati sahihi wa kuitoa....inatufanya sisi tuonekane kama tumeshindwa kusimama na mwenzetu kumbe hoja hapa siyo dini ni mkataba wa rasilimali.

Tulitegemea uyaone haya mapema na kulishauri taifa lakini mlipuuza; maneno yakishatoka hatuwezi kuyafuta kwenye nafsi za watu kwa hotuba; TUSIMAMIE HAKI

TANZANIA HAIWEZI KUFA NJAA KWA KUKATAA KUKODISHA BANDARI; WAACHENI WASIOONA FAIDA WAENDELEE KUTAFAKARI HUKU MKIWAPA ELIMU KULIKO KUWAKAMA NA WAKISEMA MNAWAAMBIA NIWADINI. ULIMWENGU UMEBADILIKA ; TUKIKOSEA TUKIRI TUMEKOSEA
 
baaba ya dongombingo ya uchinjaji, na kuuwawa kupigwa risasi kwa padre everist wa zan
Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.

My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.
View attachment 2722931
baada ya sakata la kusababisha sakata la uchinjaji, na kuuwawa kwa padre mkenda zanzibar akili zikarudi, usitukumbushe tulishasahau mbona
 
Waraka wa TEC ni Zaid ya Tamko la USA 😅😅 vibaraka wote wa DP world watatoka shimoni mana wameshaona taa nyekundu chezea Wakatoliki wewe ...wasabato wenyewe wanawajua Wakatoliki vyemaaa
 
Yaani watawala waamue kunajis nchi kwa raha zao halafu wananchi na viongozi wa dini wasiongee just because ni viongozi Wa kanisa?! Nothing like that.
Ili kanisa na wananchi wawe na imani na Serikali tao ni lazima viongozi wa Serikali wawe waadilifu na waenende kwa maslahi ya nchi siyo kwa maslahi yao na ya wawekezaji.
 
Mwambie akemee wizi wa mali za umma hayo yote hayatatokea. Kimya chake cha kutokemea wizi wa mali ya umma kunathibitisha na yeye ni mnufaikaji wa dhuluma dhidi ya raia.


View: https://youtu.be/vjwd_A8NFu4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…