Rais Mstaafu Jakaya Kikwete: Msijaribu Kuchanganya Dini na Siasa Hata Kidogo
Kwa mara ya kwanza nimeamini CCM safari hii imekutana na mpini mgumu muno na isiposhtuka 2025 inaweza kuondolewa madarakani, kosa kubwa walilolifanya ni kuingiza vyombo vya ulimzi na usalama kwenye siasa wakiamini kwamba vitawalinda.

Waraka wa TEC unataka kuleta sura mpya ya siasa na utawala Tanzania.

Kitendo cha JK kutoka na kutoa hotuba Kali tena akiwa siriasi kuhusu kutenganisha dini na siasa kimenipa wasiwasi mkubwa juu ya kile kinachoendelea kwa sasa ndani ya serikali.

Kumbukeni huyu Rais mstaafu, kwahiyo anafahamu mambo mengi ambayo hata sisi watu wa kawaida hatufahamu.

Je hotuba hii ilikuwa ni kujibu Waraka wa TEC uliosomwa leo katika misa zote za kanisa katoliki?

Kuna kitu nyuma ya pazia juu ya DP world ambacho sisi kama raia hatukifahamu, haiwezekani TEC wachukua uamuzi huu, uwekezaji huu si wa kawaida inawezekana bado kuna vitu vingi hatuvifahamu kuhusu ili suala la bandari.




View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1693233897662714215?t=UO0XpE-6d2yEkAmoQFCkig&s=19
 
Leo ndio amekumbuka maneno ya baba wa taifa?

Kukemea rushwa iliyosababisha bandari zetu zikatolewa bure milele kwa mwarabu hakuwezi hata siku moja kuwa kuchanganya dini na siasa.

Hayo maneno kuchanganya dini na siasa hutumiwa na wanasiasa ili wapate uwanja mzuri wa kufanya michezo yao haramu kwa manufaa yao, na sio manufaa ya watanganyika.

Siasa inahusisha watu, na dini zinahusisha watu hao hao, hawa hawatenganishiki, tendeni mema kwa wananchi wenu mkae kwa amani, kinyume na hapo lazima muambiwe ukweli.
 
Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.

My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.

=====

"Tukianza kuchanganya dini na siasa, tukageuza...madhabahu ndio mahali pa kuhubiri siasa za vyama vya siasa, kwishiria mbali nchi yetu...lakini Baba wa Taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa, nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni za jicho letu tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo vya aina hii iwe kwa siri au kwa dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya" Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Jakaya Kikwete wakati akizindua kanisa la SDA Rorya mkoani Mara, leo Agosti 20, 2023.

View attachment 2722951
Maji yameanza kuwazidi watatoka wote sasa.
 
Wacha viumane. Maandamano na mabadililo makubwa ya uongozi nchini Tunisia zaidi ya miaka kumi iliyopita yalianza baada ya kijana mmoja muuza mbogamboga na matunda kwenye mkokoteni kuchoshwa na manyanyaso ya polisi na mgambo wa jiji na kuamua kujilipua moto hadharani.
 
Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.

My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.

=====

"Tukianza kuchanganya dini na siasa, tukageuza...madhabahu ndio mahali pa kuhubiri siasa za vyama vya siasa, kwishiria mbali nchi yetu...lakini Baba wa Taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa, nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni za jicho letu tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo vya aina hii iwe kwa siri au kwa dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya" Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Jakaya Kikwete wakati akizindua kanisa la SDA Rorya mkoani Mara, leo Agosti 20, 2023.

View attachment 2722951
Huyu angetumia hicho kichwa kututoa kwenye mkwamo wa DP world. Siyo kurukia ndinga kwa mbele baada kuona TEC wametimiza wajibu wao.
Jakaya tunakukumbuka sana miaka ya 80 ukiwa waziri wa Mwinyi ulihudhuria Abuja conference iliokuwa na agenda ya kusilimisha africa! Ukapigiwa kelele sana. Jakaya tunakumbuka matokeo ya Abuja conference ni kisehemu cha Zenj kutaka kujiunga na OIC.
Jakaya najua mmetumana na bi mkubwa wewe ukaenda SDA na Bi Mkubwa kwa mzee sarakikya kujaribu kushawishi KKKT wasitoke na wao na tamko. Kwa KKKT najua Bi Mkubwa atagonga mwamba sababu Dk shoo Askofu wa KKKT si wa kuyumbishwa.
SIjui utafanikiwa namna gani kwa SDA tungojelee.
Upande mwingine Geodavie yule anayejiita Nabii Mkuu amekaribishwa bungeni. Hakuna cha kusafisha uchafu wa kuharibu tanganyika tuliyopewa na Muumba wetu!. Zile faranga waambie wamrudishie Mwarabu. Msaidie Bi Mkubwa kaingia kichwa kichwa kuratibu rushwa. Mwenzake ulikuwa mjanja kula na kunawa na kutosa wazembe walio kuwa chini yako! mf. Lowasa, chenge, tibaijuka nk. Mpige skuli mazeri.
Mambo mengine ni ya kizembe sana mf mwekezaji anakuja na kusema nitasaidia kujenga misikiti! Na hili limewapumbaza waislamu karibu wote!
 
Rais mstaafu mzee Kikwete amefungua Kanisa la Waadventista Wasabato Rorya mkoani Mara

Mzee Kikwete amemshukuru askofu kwa kumualika japokuwa yeye ni Muislamu na Hii inadhihirisha Tanzania haina Dini

Kikwete amesema Watanzania ni Wamoja hawabaguani kwa Dini wala madhehebu yao Kwani Mungu wetu ni moja ila tunamuabudu kwa njia tofauti

Mzee Kikwete amesisitiza tusichanganye Dini na Siasa na wale wanaochanganya tuwanyanyapae

Source: Global tv
 
"Napenda kuchukua nafasi hii kukumbushana kuhusu tunu nyingine muhimu nayo ni kutokuchanganya dini na siasa. Tukiivunja tunu hii gharama yake tutaiona, na kama kuna viongozi wa dini wanataka kutuelekeza kuitumia dini kwa manufaa ya kisiasa, na kama kuna viongozi wa siasa wanataka kuitumia dini kwa manufa yao ya kisiasa, nawaombeni ndugu zangu tuwanyanyapae.

"Siku ikifika ambapo uwanachama wa chama cha siasa au uumini thabiti wa dini ukawianishwa na chama cha siasa anachokifuata ndio mwisho wan chi yetu, mtakuwa na vyama vya siasa vya wakristu, waislamu, walokole nk. Kuwafanya watanzania kuyatazama masuala ya kisiasa, kiserikali utawala kwa mtazamo wa dini zetu ni jambo hatari, halkadhalika watu kuyatazama masuala ya dini kwa mtazamo wa siasa za vyama vyao si jambo lenyeafya kwa taifa letu.

"Yote mawili yataathiri umoja na kutishia amani, uslama na utulivu tunaoufaidi hivi sasa. Mfano Zanzibar walifika mahali waisilamu wanamuona shehe ambaye ni mfuasi wa chama ambacho sio sio chake sio shehe sawa sawa, kwahiyo wakienda kusali kama shehe ni msuasi wa cuf wanangoja amalize kusalisha, halafu anaingia shehe wa waislamu na wafuasi wake.

"Nawaambia vitu halisi na ndio maana nilipokuwa Rais nilishughulika sana pale na kupata muafaka, niliahidi kwenye hotuba yangu ya kwanza ya bunge 2005 Dec 30 kwamba nitafanya kila ninaloweza tujenge muafaka Zanzibar, haukuwa rahisi, mkutano ule tuliufanyia butiama NEC, ilikuwa moja ya kikao kigumu kwelikweli lakini nikaema Pamoja na ugumu wote lazima hapa tuvuke. Tukafika mahali nilipoona mambo yamekuwa makali, nikasema twendeni kwanza tukale, tulipokuwa tunakula ndio tukawa tunaweka mikakati ya namna gani tunalimaliza hili jambo. Tukajipanga nani ataanza kuzungumza, tukakubaliana kwamba tutakwenda Zanzibar kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa, na ndio imetusaida Zanzibar tuna mazingira ya utulivu mpaka sasa, tungekwenda na utaratibu ule ule wa zamani tusingefika

"…Tukianza kuchanganya dini na siasa tukageuza mimbari za dini na madhabahu kuwa sehemu ya kuhubiri kwishilia mbali nchi yetu. Lakini baba wa taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa. Nawasihi watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni ya jicho letu. Tukate kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanofanya vitendo wa aisa hii iwe kwa siri au kwa Dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya."

Kikwete ameyasema hayo leo 20/8/2023 katika ufunguzi wa kanisa la Kiadventisti la Wasabato Mara.
Tuliwambia wajikite kwenye vipengele vya mkatana wakakimbilia udini.
 
Rais mstaafu mzee Kikwete amefungua Kanisa la Waadventista Wasabato Rorya mkoani Mara

Mzee Kikwete amemshukuru askofu kwa kumualika japokuwa yeye ni Muislamu na Hii inadhihirisha Tanzania haina Dini

Kikwete amesema Watanzania ni Wamoja hawabaguani kwa Dini wala madhehebu yao Kwani Mungu wetu ni moja ila tunamuabudu kwa njia tofauti

Mzee Kikwete amesisitiza tusichanganye Dini na Siasa na wale wanaochanganya tuwanyanyapae

Source: Global tv
Wamemwalika wapate pesa ya Harambe tu.
 
Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.

My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.

=====

"Tukianza kuchanganya dini na siasa, tukageuza...madhabahu ndio mahali pa kuhubiri siasa za vyama vya siasa, kwishiria mbali nchi yetu...lakini Baba wa Taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa, nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni za jicho letu tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo vya aina hii iwe kwa siri au kwa dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya" Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Jakaya Kikwete wakati akizindua kanisa la SDA Rorya mkoani Mara, leo Agosti 20, 2023.

View attachment 2722951
TEC iwaache muendelee kuiba mali za umma? shame on you
 
"Napenda kuchukua nafasi hii kukumbushana kuhusu tunu nyingine muhimu nayo ni kutokuchanganya dini na siasa. Tukiivunja tunu hii gharama yake tutaiona, na kama kuna viongozi wa dini wanataka kutuelekeza kuitumia dini kwa manufaa ya kisiasa, na kama kuna viongozi wa siasa wanataka kuitumia dini kwa manufa yao ya kisiasa, nawaombeni ndugu zangu tuwanyanyapae.

"Siku ikifika ambapo uwanachama wa chama cha siasa au uumini thabiti wa dini ukawianishwa na chama cha siasa kinachofuata ndio mwisho wa nchi yetu, mtakuwa na vyama vya siasa vya wakristu, waislamu, walokole nk. Kuwafanya Watanzania kuyatazama masuala ya kisiasa, kiserikali, utawala kwa mtazamo wa dini zetu ni jambo hatari, halkadhalika watu kuyatazama masuala ya dini kwa mtazamo wa siasa za vyama vyao si jambo lenye afya kwa taifa letu.

"Yote mawili yataathiri umoja na kutishia amani, usalama na utulivu tunaoufaidi hivi sasa. Mfano Zanzibar walifika mahali waisilamu wanamuona shehe ambaye ni mfuasi wa chama ambacho sio chake sio shehe sawa sawa, kwahiyo wakienda kusali kama shehe ni msuasi wa CUF wanangoja amalize kusalisha, halafu anaingia shehe wa waislamu na wafuasi wake.

"Nawaambia vitu halisi na ndio maana nilipokuwa Rais nilishughulika sana pale na kupata muafaka, niliahidi kwenye hotuba yangu ya kwanza ya Bunge 2005 Dec 30, kwamba nitafanya kila ninaloweza tujenge muafaka Zanzibar, haukuwa rahisi. Mkutano ule tuliufanyia Butiama NEC, ilikuwa moja ya kikao kigumu kwelikweli, lakini nikasema pamoja na ugumu wote lazima hapa tuvuke. Tukafika mahali nilipoona mambo yamekuwa makali, nikasema twendeni kwanza tukale, tulipokuwa tunakula ndio tukawa tunaweka mikakati ya namna gani tunalimaliza hili jambo. Tukajipanga nani ataanza kuzungumza, tukakubaliana kwamba tutakwenda Zanzibar kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, na ndio imetusaidia Zanzibar tuna mazingira ya utulivu mpaka sasa, tungekwenda na utaratibu ule ule wa zamani tusingefika.

"…Tukianza kuchanganya dini na siasa tukageuza mimbari za dini na madhabahu kuwa sehemu ya kuhubiri kwishilia mbali nchi yetu. Lakini baba wa taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa. Nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni ya jicho letu. Tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo wa aina hii iwe kwa siri au kwa Dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya."


Kikwete ameyasema hayo leo 20/8/2023 katika ufunguzi wa jengo Kanisa la Kiadventisti Wasabato Mara.
Huwa anamtaja Nyerere kama Baba wa Taifa akihitaji huruma , ila amezoea kumuita Mzee Nyerere
 
"Napenda kuchukua nafasi hii kukumbushana kuhusu tunu nyingine muhimu nayo ni kutokuchanganya dini na siasa. Tukiivunja tunu hii gharama yake tutaiona, na kama kuna viongozi wa dini wanataka kutuelekeza kuitumia dini kwa manufaa ya kisiasa, na kama kuna viongozi wa siasa wanataka kuitumia dini kwa manufa yao ya kisiasa, nawaombeni ndugu zangu tuwanyanyapae.

"Siku ikifika ambapo uwanachama wa chama cha siasa au uumini thabiti wa dini ukawianishwa na chama cha siasa kinachofuata ndio mwisho wa nchi yetu, mtakuwa na vyama vya siasa vya wakristu, waislamu, walokole nk. Kuwafanya Watanzania kuyatazama masuala ya kisiasa, kiserikali, utawala kwa mtazamo wa dini zetu ni jambo hatari, halkadhalika watu kuyatazama masuala ya dini kwa mtazamo wa siasa za vyama vyao si jambo lenye afya kwa taifa letu.

"Yote mawili yataathiri umoja na kutishia amani, usalama na utulivu tunaoufaidi hivi sasa. Mfano Zanzibar walifika mahali waisilamu wanamuona shehe ambaye ni mfuasi wa chama ambacho sio chake sio shehe sawa sawa, kwahiyo wakienda kusali kama shehe ni msuasi wa CUF wanangoja amalize kusalisha, halafu anaingia shehe wa waislamu na wafuasi wake.

"Nawaambia vitu halisi na ndio maana nilipokuwa Rais nilishughulika sana pale na kupata muafaka, niliahidi kwenye hotuba yangu ya kwanza ya Bunge 2005 Dec 30, kwamba nitafanya kila ninaloweza tujenge muafaka Zanzibar, haukuwa rahisi. Mkutano ule tuliufanyia Butiama NEC, ilikuwa moja ya kikao kigumu kwelikweli, lakini nikasema pamoja na ugumu wote lazima hapa tuvuke. Tukafika mahali nilipoona mambo yamekuwa makali, nikasema twendeni kwanza tukale, tulipokuwa tunakula ndio tukawa tunaweka mikakati ya namna gani tunalimaliza hili jambo. Tukajipanga nani ataanza kuzungumza, tukakubaliana kwamba tutakwenda Zanzibar kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, na ndio imetusaidia Zanzibar tuna mazingira ya utulivu mpaka sasa, tungekwenda na utaratibu ule ule wa zamani tusingefika.

"…Tukianza kuchanganya dini na siasa tukageuza mimbari za dini na madhabahu kuwa sehemu ya kuhubiri kwishilia mbali nchi yetu. Lakini baba wa taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa. Nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni ya jicho letu. Tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo wa aina hii iwe kwa siri au kwa Dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya."


Kikwete ameyasema hayo leo 20/8/2023 katika ufunguzi wa jengo Kanisa la Kiadventisti Wasabato Mara.
Jambo ni moja tu: CCM iwasikilize wananchi. Wabunge wawe wawakilishi wa kweli wa wananchi. Sasa wananchi wakikosa uwakilishi wa kweli, unategemea nini?
 
"Napenda kuchukua nafasi hii kukumbushana kuhusu tunu nyingine muhimu nayo ni kutokuchanganya dini na siasa. Tukiivunja tunu hii gharama yake tutaiona, na kama kuna viongozi wa dini wanataka kutuelekeza kuitumia dini kwa manufaa ya kisiasa, na kama kuna viongozi wa siasa wanataka kuitumia dini kwa manufa yao ya kisiasa, nawaombeni ndugu zangu tuwanyanyapae.

"Siku ikifika ambapo uwanachama wa chama cha siasa au uumini thabiti wa dini ukawianishwa na chama cha siasa kinachofuata ndio mwisho wa nchi yetu, mtakuwa na vyama vya siasa vya wakristu, waislamu, walokole nk. Kuwafanya Watanzania kuyatazama masuala ya kisiasa, kiserikali, utawala kwa mtazamo wa dini zetu ni jambo hatari, halkadhalika watu kuyatazama masuala ya dini kwa mtazamo wa siasa za vyama vyao si jambo lenye afya kwa taifa letu.

"Yote mawili yataathiri umoja na kutishia amani, usalama na utulivu tunaoufaidi hivi sasa. Mfano Zanzibar walifika mahali waisilamu wanamuona shehe ambaye ni mfuasi wa chama ambacho sio chake sio shehe sawa sawa, kwahiyo wakienda kusali kama shehe ni msuasi wa CUF wanangoja amalize kusalisha, halafu anaingia shehe wa waislamu na wafuasi wake.

"Nawaambia vitu halisi na ndio maana nilipokuwa Rais nilishughulika sana pale na kupata muafaka, niliahidi kwenye hotuba yangu ya kwanza ya Bunge 2005 Dec 30, kwamba nitafanya kila ninaloweza tujenge muafaka Zanzibar, haukuwa rahisi. Mkutano ule tuliufanyia Butiama NEC, ilikuwa moja ya kikao kigumu kwelikweli, lakini nikasema pamoja na ugumu wote lazima hapa tuvuke. Tukafika mahali nilipoona mambo yamekuwa makali, nikasema twendeni kwanza tukale, tulipokuwa tunakula ndio tukawa tunaweka mikakati ya namna gani tunalimaliza hili jambo. Tukajipanga nani ataanza kuzungumza, tukakubaliana kwamba tutakwenda Zanzibar kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, na ndio imetusaidia Zanzibar tuna mazingira ya utulivu mpaka sasa, tungekwenda na utaratibu ule ule wa zamani tusingefika.

"…Tukianza kuchanganya dini na siasa tukageuza mimbari za dini na madhabahu kuwa sehemu ya kuhubiri kwishilia mbali nchi yetu. Lakini baba wa taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa. Nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni ya jicho letu. Tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo wa aina hii iwe kwa siri au kwa Dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya."


Kikwete ameyasema hayo leo 20/8/2023 katika ufunguzi wa jengo Kanisa la Kiadventisti Wasabato Mara.
 

Attachments

  • IMG_2047.MP4
    1.2 MB
desert-elephant1.jpg

Vipi wanaochanganya Dini na Mizoga yetu
 
Kwa mara ya kwanza nimeamini CCM safari hii imekutana na mpini mgumu muno na isiposhtuka 2025 inaweza kuondolewa madarakani, kosa kubwa walilolifanya ni kuingiza vyombo vya ulimzi na usalama kwenye siasa wakiamini kwamba vitawalinda.

Waraka wa TEC unataka kuleta sura mpya ya siasa na utawala Tanzania.

Kitendo cha JK kutoka na kutoa hotuba Kali tena akiwa siriasi kuhusu kutenganisha dini na siasa kimenipa wasiwasi mkubwa juu ya kile kinachoendelea kwa sasa ndani ya serikali.

Kumbukeni huyu Rais mstaafu, kwahiyo anafahamu mambo mengi ambayo hata sisi watu wa kawaida hatufahamu.

Je hotuba hii ilikuwa ni kujibu Waraka wa TEC uliosomwa leo katika misa zote za kanisa katoliki?

Kuna kitu nyuma ya pazia juu ya DP world ambacho sisi kama raia hatukifahamu, haiwezekani TEC wachukua uamuzi huu, uwekezaji huu si wa kawaida inawezekana bado kuna vitu vingi hatuvifahamu kuhusu ili suala la bandari.




View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1693233897662714215?t=UO0XpE-6d2yEkAmoQFCkig&s=19

shida inakuja, wanasiasa wanasema tusichanganye siasa na dini ili kutunyamazisha wao wapate uchochoro wa kupiga pesa, ndio maana ni matajiri kweli kweli. wanawanyamazisha, ukijaribu kuongea wanasema unaleta udini na wao wanapitia uchochoro huohuo. TEC wamekuja mazima kutetea maslahi ya Taifa baada ya kuona upande mwingine umesherehekea kwasababu mwarabu ndio anakuja kuwekeza hivyo hata kama mwarabu atatunyonya haina shida kwasababu ni mwenzao. ndugu wa mwislam ni mwislam hata kama anafanya makosa.
 
Back
Top Bottom