Kwa mara ya kwanza nimeamini CCM safari hii imekutana na mpini mgumu muno na isiposhtuka 2025 inaweza kuondolewa madarakani, kosa kubwa walilolifanya ni kuingiza vyombo vya ulimzi na usalama kwenye siasa wakiamini kwamba vitawalinda.
Waraka wa TEC unataka kuleta sura mpya ya siasa na utawala Tanzania.
Kitendo cha JK kutoka na kutoa hotuba Kali tena akiwa siriasi kuhusu kutenganisha dini na siasa kimenipa wasiwasi mkubwa juu ya kile kinachoendelea kwa sasa ndani ya serikali.
Kumbukeni huyu Rais mstaafu, kwahiyo anafahamu mambo mengi ambayo hata sisi watu wa kawaida hatufahamu.
Je hotuba hii ilikuwa ni kujibu Waraka wa TEC uliosomwa leo katika misa zote za kanisa katoliki?
Kuna kitu nyuma ya pazia juu ya DP world ambacho sisi kama raia hatukifahamu, haiwezekani TEC wachukua uamuzi huu, uwekezaji huu si wa kawaida inawezekana bado kuna vitu vingi hatuvifahamu kuhusu ili suala la bandari.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1693233897662714215?t=UO0XpE-6d2yEkAmoQFCkig&s=19
Waraka wa TEC unataka kuleta sura mpya ya siasa na utawala Tanzania.
Kitendo cha JK kutoka na kutoa hotuba Kali tena akiwa siriasi kuhusu kutenganisha dini na siasa kimenipa wasiwasi mkubwa juu ya kile kinachoendelea kwa sasa ndani ya serikali.
Kumbukeni huyu Rais mstaafu, kwahiyo anafahamu mambo mengi ambayo hata sisi watu wa kawaida hatufahamu.
Je hotuba hii ilikuwa ni kujibu Waraka wa TEC uliosomwa leo katika misa zote za kanisa katoliki?
Kuna kitu nyuma ya pazia juu ya DP world ambacho sisi kama raia hatukifahamu, haiwezekani TEC wachukua uamuzi huu, uwekezaji huu si wa kawaida inawezekana bado kuna vitu vingi hatuvifahamu kuhusu ili suala la bandari.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1693233897662714215?t=UO0XpE-6d2yEkAmoQFCkig&s=19