Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group

Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group

Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
Hapa Tanzania Kafulila keshatuingiza cha kike
 
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
Kweth Kafulila kesha vuta za wakubwa ana taka kuwapa kazi.
 
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
mr wash wash adani arrested
FB_IMG_1732197504260.jpg
 
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
tunasubiri kauli ya tumbiri
 
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
Hasla anakabwa koo kila kona.
 
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA

Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao wizara ya nishati ulikuwa imesaini na Adani Group kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kusafirisha umeme nchini humo

View attachment 3157942
Source Citizen TV
Dr.William Ruto is genius and visionary politician of modern times 🐒
 
Siasa ni shida sana, yaani mkataba unavunjwa kirahisiiiiii, halafu wanainchi wanaenda kubeba mzigo wa fidia huku wakishangiliaaaa,

Afanalek,
Tena wabunge walewale walioshangilia huo mkataba ndio wabunge walewale waliosimama na kushangilia mkataba ulipovunjwa.

Afanalek😁😁
 
Inawezekana kabisa hawa jamaa wameweka mpunga kwa mafisadi ya CCM TZ
 
Sasa kama Kampuni Ina scandal USA ambako wako macho sana na huu ujinga unafikiri huku kwetu itakuaje?
Huku kwetu watu walishavuta mpunga tayari😂 na pale wamegawana TICTS na DP World.

Jamii ya Papa wanakula na Adani huku jamii ya Islamabad wanakula na DP Weldi.
 
Inawezekana kabisa hawa jamaa wameweka mpunga kwa mafisadi ya CCM TZ
Zile vurugu za Msukuma kununua LC300 baada tu ya jambo kukamilika pamoja na Landrover new model na LC76 series kuna ashiria fuba lilitembea na inawezekana ndio zilipitia kwake awagawie na waheshimiwa wenzake pale Jumba la dhahabu.
 
Back
Top Bottom