Mkuu kaa kimya, wengine tumeshapigwa na dislike.Duuuu mbona kama Imani Moja tupu au nmeona Mimi pekeangu?
Aiseenaona NTELA MWAMPAMBA hapo! mzee wa kudandia wake za watu! songea ukimwi nje nje kila la kheri malaya wewe
Wewe una cheo gani kati ya hivyo?Sio kweli
Kadi gharama yake ni 1500,hata wewe unaruhusiwa kuichukua
Wewe una cheo gani kati ya hivyo?
FafanuaaSio kweli
Usijidanganye kupata bila kadiSina hata kimoja
Kuwa mwanachama ni jambo jema ila sio wote wenye kadi ndio wateule
Hao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ss wasindikizaji[emoji29][emoji1784]Unapitia majina unagundua viongozi waliopo na waliopita watoto wao wameshakua na sasa wameanza kuwaingiza kwenye systems za Gavoo.
Majina mengi ni very common, kama siyo kwenye siasa basi kwenye majeshi yetu. Hadi watoto wa akina Nnape wameshakua sasa
Narudia huna Kadi huwezi pata hivyo vyeo even ukuu wa idara,hii ilibadilishwa rasmi na Mwendazake na inaendelezwa.Sina hata kimoja
Kuwa mwanachama ni jambo jema ila sio wote wenye kadi ndio wateule