Rais Samia afupisha ziara yake Dubai kurejea nchini haraka iwezekanavyo, Serikali kugharamia mazishi na matibabu ya majeruhi wa mafuriko ya Hanang

Katika hili serikali ingefanyaje?
 
Kama amekatisha ziara fedha za kujikiku zirudishwe serikalini yeye na watu wake wote warudishe hazina
Hii haiwezekani baba, baadhi ya pesa tulizopewa ni stahiki yetu, sisi hatukuleta hayo mafuriko, mwambieni sir god awapeni, lakini sisi bado tunaendelea na mkutano, hayo yanamuhusu yeye tu.
 
Kwani Makamu wa Rais Hayupo 🤔🤔🤔🤔🤔
 
Haya majanga ni faida kwa CCM kupiga pesa za umma, hizi hazina audit query mzee
 
Haya majanga ni faida kwa CCM kupiga pesa za umma, hizi hazina audit query mzee
Kumbe kukitokea Majangaa Baadhi ya Viongozi wa Serikali wanakula pesa za Michango ya kodi za Wananchi walala hoi? kweli tutafika kuupanda Mlima kilimanjaro kufika kileleni? tuna safari ndefu kweli kufika huko killeleni haya waache wale tu Mungu anawaona wanayoyafanya.
 
Hujasikia jana kuwa VP yuko ngambo kwa ziara ya kikazi!?
But VP angesolve kwa Mujibu wa katiba Why Majukumu haachiwi Vice naona majukumu yote amafanya yeye hata yale ya Vice..

Imagine Yeye angekuwa vice na Rais angekuwa wa Kiume watu wangesemaje
 
Bahati nzuri haya majangili yakiiba yanaenda kutubu kwa MUNGU na kutoa michango Msikitini na Makanisani mambo yanakaa sawa chap
 
1. Liko jambo

2. Jambo liko
 
Samia Rais mtenda wema haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…