MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Lucas mwash..... angekuwa tayari amesemaUmejuaje mkuu kama kapewa au hajapewa
We jamaa 🤣🤣🤣Lucas mwash..... angekuwa tayari amesema
Mcheck kwa namba yake ile chap utajua.Lucas mwash..... angekuwa tayari amesema
Badala ya kujifunza kuzalisha vyetu tumegeuka Li-Taifa "OMBA OMBA" aibu hii!Kabla ya sisi kupata matatizo Mama Samia alionekana Dubai na maworld leaders katika viunga vya Dubai mara akinywa kahawa na Michael Bloomberg mara Sheikh fulani tajiri wa mafuta nk.
Lakini punde tulipopata matatizo kidogo vigogo wote wa dunia wamekunja mikono nyuma wakati wanajua kabisa mama anarudi nyumbani.
Wangekuwa watu wastaarabu na wenye utu wangemfungia chochote kitu cha kurudi nacho nyumbani kwa ajili ya kuwafariji wanae lakini wapi.
Ndugu zetu ni hawa hawa Wamalawi na Warundi ambao watatumia mahindi na sukari.
Mbona Delegates mmepeleka karibu 300. Mtashindea peda za kusaidia maafa watu 200?Kabla ya sisi kupata matatizo Mama Samia alionekana Dubai na maworld leaders katika viunga vya Dubai mara akinywa kahawa na Michael Bloomberg mara Sheikh fulani tajiri wa mafuta nk.
Lakini punde tulipopata matatizo kidogo vigogo wote wa dunia wamekunja mikono nyuma wakati wanajua kabisa mama anarudi nyumbani.
Wangekuwa watu wastaarabu na wenye utu wangemfungia chochote kitu cha kurudi nacho nyumbani kwa ajili ya kuwafariji wanae lakini wapi.
Ndugu zetu ni hawa hawa Wamalawi na Warundi ambao watatumia mahindi na sukari.
anamsagia kunguni kwenye dera jeupe🤣🤣🤣Msaga sumu unasagia haswaa😅
AaaahhaaKabla ya sisi kupata matatizo Mama Samia alionekana Dubai na maworld leaders katika viunga vya Dubai mara akinywa kahawa na Michael Bloomberg mara Sheikh fulani tajiri wa mafuta nk.
Lakini punde tulipopata matatizo kidogo vigogo wote wa dunia wamekunja mikono nyuma wakati wanajua kabisa mama anarudi nyumbani.
Wangekuwa watu wastaarabu na wenye utu wangemfungia chochote kitu cha kurudi nachonyumbani kwa ajili ya kuwafariji wanae lakini wapi.
Ndugu zetu ni hawa hawa Wamalawi na Warundi ambao watatumia mahindi na sukari.
Amewaaga viongozi wote wakubwa? Hawa viongozi sio rafiki zake kwamba ukipata lisaa na yeye leo basi kesho mtakuwa mnachat kuhusu mambo yako. Wanawaza kuwekeza na wakija mezani wanakuja na agenda specific zikiisha wanaaga na kuondoka. Kwa utajiri ule wakiruhusu kila anayepata maafa na mafuriko si watatoa hela kila siku wafulie? Mama karibu nyumbani. Huyo Bloomberg ukute kila dakika yake imepangiwa mtu maalum aliyeomba kuzungumza nae. Hawasafirigi for leisure kwenye mikutano mikubwa hivi.Kabla ya sisi kupata matatizo Mama Samia alionekana Dubai na maworld leaders katika viunga vya Dubai mara akinywa kahawa na Michael Bloomberg mara Sheikh fulani tajiri wa mafuta nk.
Lakini punde tulipopata matatizo kidogo vigogo wote wa dunia wamekunja mikono nyuma wakati wanajua kabisa mama anarudi nyumbani.
Wangekuwa watu wastaarabu na wenye utu wangemfungia chochote kitu cha kurudi nacho nyumbani kwa ajili ya kuwafariji wanae lakini wapi.
Ndugu zetu ni hawa hawa Wamalawi na Warundi ambao watatumia mahindi na sukari.
Lazima angetutanabaisha kwa kuandika..."Ndugu zangu"...! Utadhani anawahutubia vilema wa CCMLucas mwash..... angekuwa tayari amesema
Lucas mwashambwa njoo huku...Kabla ya sisi kupata matatizo Mama Samia alionekana Dubai na maworld leaders katika viunga vya Dubai mara akinywa kahawa na Michael Bloomberg mara Sheikh fulani tajiri wa mafuta nk.
Lakini punde tulipopata matatizo kidogo vigogo wote wa dunia wamekunja mikono nyuma wakati wanajua kabisa mama anarudi nyumbani.
Wangekuwa watu wastaarabu na wenye utu wangemfungia chochote kitu cha kurudi nacho nyumbani kwa ajili ya kuwafariji wanae lakini wapi.
Ndugu zetu ni hawa hawa Wamalawi na Warundi ambao watatumia mahindi na sukari.
Wewe unaonaje kwani?[emoji41]Nje ya maada kidogo...Mkuu wewe ni Ke?
Maana huo mwandiko wa "tyuu" wanaandika wadada wakimaanisha "tu"
Sasa kidume ukiandika hivyo nakuwa na mashaka au we ni mjomba?[emoji39]
Sijaomba kura Bali nimetoa tyuu Ushuhuda kuwa Huyu Mama Hakika Tutamlipa 2025Uko Sawa kichwani kweli? Yaani wenzako wapo kwenye maafa wewe unaleta kampeni za 2025. Nadhani kwa chapisho hili ni definition ya ujinga inayojitosheleza kwako