Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Nani wa kumshauri katika Safu hiyo. Hakuna wote Ni CHAWA ambao matumbo Yao yanategemea UCHAWA wao kwa Samia. Wanaangalia midomo ya Samia inacheza vipi wanafuatia humo humo. Hamna kitu hapo Ni upuuzi mtupu. Kwani hawaoni wenzao wanafanyaje katika situation Kama hii.
RUBBISH
 
Sasa kila siku wanaitana na wanaagizana harafu hawaji na majibu..

Yaani kila mtu anaogopa lawama..

Mimi nawapa ufumbuzi,punguza Kodi na tozo kwa sh 400 harafu gap la kufidia mapato,TRA iendeshwe oparesheni ya kuhakikisha kila muuzaji anatoa risiti na kila mnunuzi anachukua risiti..

Wasiofanya hivyo ni faini na kupiga mnada bidhaa zao, mapato yako mengi Sana kwenye Bar,Migahawa,Guest House,madukani nk..mfano kuna mauziano ya mali yanafanyika daily ila hakuna anaelipa Kodi .

Kuendelea kuchekea watu wasiowajibika ila waanadai haki itawatokea puani.
Mama yako huyo hataki kodi za dhuruma!

Yani kwa akili yake aliona kwamba ile kitu alikuwa anafanya Magufuli cha kuwabana watu watoe risiti ilikuwa dhuruma!
.
Machawa wake mna kazi sana kumtetea huyu mama.
 

kikao cha dharura unaitisha Rais then unawaagiza wakatafute Suluhu sho ?​

Wewe kama Rais unatakiwa ukitisha kikao cha dharura uwe na suluhisho tena la haraka.​

Hali ya mafuta ya kula ni mbaya hata kuliko mafuta ya petrol nchini , lita moja ni Tsh 9,000 wakati petrol ni Tsh 3,341​

Toa ujinga hapa mkuu,hayo mnayoita mafuta ya kula yana substitute hutaki pika bila mafuta
 

Rais Samia hali ya upandaji wa mafuta ikiendelea ataikimbia nchi​

 
Itakuwa ni agiza agiza kila siku, ila hapo kuna viongozi unawaona kabisa hawana uchungu na wananchi kwakuwa vipato walivyonavyo hawaathiriki sana, mf huyo mwigulu hana uchungu kabisa na wananchi linapotokea suala la kuwaumiza wananchi yeye anaangalia serikali itanufaika vipi, suala la kutoa tsh920 kwenye kodi ya mafuta si suala la kusubiri maagizo au mijadala ya usiku, mafuta ndiyo yanayopandisha karibu kila kitu ukiondoa kodi ya mafuta utafanya bidhaa zipungue bei na kuwapa unafuu wananchi, serikali yoyote inayowathamimi wananchi wake haiwezi kuwa na Waziri kama mwigulu, yeye anakuwa upande wa kuwaumiza wananchi
Tunaweza ku-criticize serikali kwa namna yoyote ile, ila sio kila kitu tuseme tu kwa vile we have the freedom to express our views.

Unasema swala la kutoa 920tsh sio swala la majadiliano, upo serious kweli? Every coin counts kama hujui, na kodi yoyote, ongezeko lolote linaathiri mapato ya serikali hivyo ni lazima kuangalia athari za kupunguza/kuongeza chochote
 
Kauli zipi? Mimi naona wewe ndiye uliyefeli.

Mama anachapa kazi nyinyi mnapayuka. Unafikiri nchi inalala hata Rais ashindwe kuitisha kikao usiku? Wewe una information alizonazo yeye? Alikuita wewe au kawaita watendaji wake, fikiri kabla hujapayuka hovyo.
Uko kuchapa kazi nyingi na kuingiza movie kupo
 
Mama yako huyo hataki kodi za dhuruma!

Yani kwa akili yake aliona kwamba ile kitu alikuwa anafanya Magufuli cha kuwabana watu watoe risiti ilikuwa dhuruma!
.
Machawa wake mna kazi sana kumtetea huyu mama.
Acha ujinga,Kodi za dhuluma hasitakiwi sio tuu na mama bali na kiongozi yeyote..

Nachosema mimi ni kwamba Serikali haikusanyi Kodi inavyotakiwa kwa hiyo nitolee uchafu wa Mwendazake usoni kwangu.
 
Hivi makamu yuko wapi mbona anakosa kwenye vikao muhimu Kama hichi..?
Isitoshe alishawahi kuwa waziri wa fedha,hivyo anaufahamu mzuri sana juu ya uchumi Sasa anakosaje kwenye swala Kama hili!
Ukute alitoa ushauri ukapondwa!!
 
Kwa wafanyabiashara hata mafuta yakishushwa bado bidhaa zilizopandishwa bei kwa kisingizio cha mafuta hazishuki bei asilani!! Hivyo ndivyo walivyo miaka yote !! TUME YA BEI NI MUHIMU NCHI HII !!!
Ndiyo na wewe uwe mfanya biashara ushushe bei, fursa hiyo. Unangoja nini? Huelewi kuwa Tanzania tunafata mfumo wa biashara huru?

Soma ripoti ya CAG utamfahamu mchawi wako ni nani.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Samia anachezewa sana na hajui chochote!

Inakuwaje mafuta yanapanda kwa sh. 300 nzima?

Kama Samia aliweza kukaa USA siku 8 na mafuta yakapanda maradufu, niaminini mimi kwamba hajui chochote
💯✅
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Kwani kwa sasa tumeizidi Marekani kwa bei?
 
Mama yako huyo hataki kodi za dhuruma!

Yani kwa akili yake aliona kwamba ile kitu alikuwa anafanya Magufuli cha kuwabana watu watoe risiti ilikuwa dhuruma!
.
Machawa wake mna kazi sana kumtetea huyu mama.
Kweli kabisa !! Kwepa yao kodi Hao wakubwa sasa mzigo unamuangukia MTU wa chini !! Kila kitu bei juu !!
 
Acha ujinga,Kodi za dhuluma hasitakiwi sio tuu na mama bali na kiongozi yeyote..

Nachosema mimi ni kwamba Serikali haikusanyi Kodi inavyotakiwa kwa hiyo nitolee uchafu wa Mwendazake usoni kwangu.
Haikusanyi sababu mamako alishasema mtu akatoe kodi kwa hiari, yani ile kushurutisha mtu alipe kodi aliona kwamba ni dhuruma!

Wewe mwenyewe ni uchafu tu, maana kila siku uko hapa unasifia upumbavu!
 
Tunaweza ku-criticize serikali kwa namna yoyote ile, ila sio kila kitu tuseme tu kwa vile we have the freedom to express our views.

Unasema swala la kutoa 920tsh sio swala la majadiliano, upo serious kweli? Every coin counts kama hujui, na kodi yoyote, ongezeko lolote linaathiri mapato ya serikali hivyo ni lazima kuangalia athari za kupunguza/kuongeza chochote
Hawana akili mburula hao,wajibu short cut tena kwa standard ya uwezo wao mdogo.
 
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo

Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?

=======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.

Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.

Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.

View attachment 2217468
Huu mkutano alioitisha usiku kutafuta suluhisho la bei ya mafuta ni public relations stunt kwani hauelekei kama utatoa suluhisho la tatizo !
Samia anatakiwa kuwa na jopo la wachumi Ikulu ( council of economic advisors ) ambao watamshauri hatua za kuwaelekeza wizara hatua mbali mbali za kuchukua matatizo ya uchumi yanapojitokeza! Hawa wa wizarani wanategemea muongozo toka Ikulu na Ikulu huwezi kupata ufumbuzi kutegemea ushauri wa mtu mmoja!
Samia anakosa input hiyo otherwise alikuwa hana sababu ya Kuwaita, jopo lake la wachumi lingeritoa muongozo. Bila utaratibu huo mama atateseka sana kwani huko mbele matatizo ya kiuchumi yatakuwa makubwa.

Jopo la washauri linahitaji watu wenye experience ambao Samia a naogopa kufanya nao kazi kwasababu ya umri wao; lakini hawa ndio wenye uzoefu na busara kama anavyosaidiwa na Kikwete.
 
kwamba ni mafuta tu vile yule mbunge alilalamika au kila kitu kimepanda.
 
Back
Top Bottom