Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

Hakuna cha kujiunderestimate wala nini, viongozi wetu ni mabaradhuli, watu jeuri, unadhani hawajui wanafanya fyongo, afya, barabara, maji, umeme kote huko shida tupu.
Uwajibikaji zero, watu wanakosa vitu vya msingi wao ni wizi tu na kuendesha magari ya kifahari.
Lenye faida na tanzania hawafanyi, wanafanya yenye faida na wao.

Na kimvua hiki niache kula mbuno mie nikae namshauri samia suluhu.. 😂😂
Bora ule mbuno mkuu, wao wanakula pesa zetu, sie tufurahie mbuno tu🤣🤣🤣
 
Cha kwanza kabisa ni hawa wanaofisadi hela zetu harafu kabla ya kufukuzwa KAZI wanahamishwa vituo vya kazi kama Tz haina wasomi.Yaan aanze kupitia majina yote ya viongozi wenye kashfa ya wizi tu wapigwe chini na kufilisi mali zao .Najua huko atakusanya pesa nyingi kuliko mapato ya mIezi miwili ya TRA
 
Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk

Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!

Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
Nitamshauri aniteue ukurugenzi wa jiji la Dar es salaam
 
Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk

Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!

Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
Nitamshauri Mh Rais afanye Kila linalowezekana Aweke Mitaji Mikubwa kwenye Mabank ya Serikali ili yaweze kuchangia kwenye Uchumi wa Nchi hasa kwenye UANZISHAJI WA VIWANDA KWA WAZAWA.

Kenya inakusanya Kodi kubwa kwa Sababu ya VIWANDA.

Mikopo ya VIWANDA hapa kwetu ina Commercial rate na hakuna Grazing period!
Matokeo yake kila mtu anakuwa tu machinga wa kuagiza bidhaa nje!

Hili Eneo ni Muhimu sana!

Mikopo Maalum kwa ajili ya VIWANDA,KILIMO/MIFUGO na UJENZI.

TIB-Ni bank Nzuri sana lakini haina Mtaji

TADB
AZANIA
TCB.

Mama aweke pesa HUMU-TRILLIONS halafu ILE Wizara ya Mipango itoe Economic Growth Master plan kwa kufungua Madirisha Maalum kwa ajili ya kutekeleza Mipango hiyo kupitia hizo Bank!

Miaka kumi tu ndani ya program hiyo NCHI YETU ITAZIDI NCHI ZOTE ZA EA.

Pesa zitatoka wapi?

Ongezeko la Makusanyo ya Kodi ya Bandari kutokana na Transformation ya DP World.

Jambo la Pili:
Apambane na RUSHWA!

Kuna RUSHWA ZA KIJINGA SANA SERIKALINI!

Hakuna maendeleo yoyote ikiwa RUSHWA itakuwa sehemu ya utendaji Serikalini!

Otherwise SSH is my Best President so far!
 
Hakuna cha kujiunderestimate wala nini, viongozi wetu ni mabaradhuli, watu jeuri, unadhani hawajui wanafanya fyongo, afya, barabara, maji, umeme kote huko shida tupu.
Uwajibikaji zero, watu wanakosa vitu vya msingi wao ni wizi tu na kuendesha magari ya kifahari.
Lenye faida na tanzania hawafanyi, wanafanya yenye faida na wao.

Na kimvua hiki niache kula mbuno mie nikae namshauri samia suluhu.. 😂😂
ujumbe wako umepokelewa chief , pia jali afya kwenye hizo mbuno .
 
Nitamshauri Mh Rais afanye Kila linalowezekana Aweke Mitaji Mikubwa kwenye Mabank ya Serikali ili yaweze kuchangia kwenye Uchumi wa Nchi hasa kwenye UANZISHAJI WA VIWANDA KWA WAZAWA.

Kenya inakusanya Kodi kubwa kwa Sababu ya VIWANDA.

Mikopo ya VIWANDA hapa kwetu ina Commercial rate na hakuna Grazing period!
Matokeo yake kila mtu anakuwa tu machinga wa kuagiza bidhaa nje!

Hili Eneo ni Muhimu sana!

Mikopo Maalum kwa ajili ya VIWANDA,KILIMO/MIFUGO na UJENZI.

TIB-Ni bank Nzuri sana lakini haina Mtaji

TADB
AZANIA
TCB.

Mama aweke pesa HUMU-TRILLIONS halafu ILE Wizara ya Mipango itoe Economic Growth Master plan kwa kufungua Madirisha Maalum kwa ajili ya kutekeleza Mipango hiyo kupitia hizo Bank!

Miaka kumi tu ndani ya program hiyo NCHI YETU ITAZIDI NCHI ZOTE ZA EA.

Pesa zitatoka wapi?

Ongezeko la Makusanyo ya Kodi ya Bandari kutokana na Transformation ya DP World.

Jambo la Pili:
Apambane na RUSHWA!

Kuna RUSHWA ZA KIJINGA SANA SERIKALINI!

Hakuna maendeleo yoyote ikiwa RUSHWA itakuwa sehemu ya utendaji Serikalini!

Otherwise SSH is my Best President so far!
hata mimi nimepata somo chief, ujumbe utamfikia alikiri yeye ni mdau wa jf
 
Bora ule mbuno mkuu, wao wanakula pesa zetu, sie tufurahie mbuno tu🤣🤣🤣
Na starehe kuu ya masikini ndio hiyo. 😂🤣
Nauli ya kwenda ibiza au copa cabana naipatia wapi?
 
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Siyo changamoto ni woga na kuwalinda maswahiba, namshauri
  1. Awachukulie hatua waliotajwa kwenye report ya CAG ikibidi afumue namkusuka upya baraza la mawaziri
  2. Aboreshe maslahi na mafao ya watumishi wa umma ili kuboresha utendaji kazini
  3. Aachane na timu ya wale jamaa wa Chalinze
  4. Tupate katiba mpya ili kuondokana na hii adha ya kuchezewa na wajanja wachache
 
Back
Top Bottom