To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂hatareeNduli alikuwa ni chinjachinja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂hatareeNduli alikuwa ni chinjachinja
hahaa kijana wa hovyoWimbo wa taifa uimbwe kwa staili ya singeli au amapiano
Na vijana wa makamo 😂😂Nitamwambia arudi kwao kizimkazi ikifika 2025, aah nimesahau ni vijana watapewa mwaliko.
Siwezi kupoteza muda wangu kwenda bora nitumie muda huo kubishania simba na Yanga maana alishaamua atafuata maamuzi ya baba RizmokoAwamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
kadii hii hapa chiefKwanza hiyo kadi ya mwaliko ije na maelezo ya kutosha kwamba kuna nini, yasije kunikuta kama ya wale maaskofu, unafika kwenye mwaliko unakutana na shombo la Mrisho MPOTO.
Hongera Chifu Hangaya na naomba machifu warudishiwe mamlaka yao.Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
sio kweli. mama anajenga nchi , karibu kumshauriSiwezi kupoteza muda wangu kwenda bora nitumie muda huo kubishania simba na Yanga maana alishaamua atafuata maamuzi ya baba Rizmoko
Waache usanii wa kupigiana simu jukwaani.Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
Hivi kuna vijana wa makamo🤣Na vijana wa makamo 😂😂
Tunaimani nawe, kazi iendelee....Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
1-FUNGUA NCHI KIBIASHARA (WEKA FREE PORT) CHUKUA ONLY 5% NDIO KODI YAKO.Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
aiseeh nimechekaaaniazimishe mkoa mmjo tuu nitampelekea faida kila wiki
mbowe kala kibunda, mbona hatupi gawio?Nitampiga mzinga wa asali kama mbowe halafu napita hivi..
sawa chief, unashauri nini?Hapo kwenye umpongeze hiyo njia sipitagi ...hizo dakika za pongezi nafupisha tu shikamoo mama, naenda kwenye ushauri.