Manndasori
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 286
- 259
Sawasawa wazee wa kuokota vichwa 19 vya treni bandaridi ila ubavuni vikisomeka TRLHiyo mi nyumbu ni tatizo kwenye hii nchi, akilizao ni kama bendera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa wazee wa kuokota vichwa 19 vya treni bandaridi ila ubavuni vikisomeka TRLHiyo mi nyumbu ni tatizo kwenye hii nchi, akilizao ni kama bendera.
Kwa hiyo unafikri Mama angekuwa anateka na kuuwa watanzania wenzake hovyo hovyo tu kombe lingekuja hapa?Kuna watu watakuja hapa kusema Royal tour imezaa matunda hadi kombe la dunia limekuja Tanzania.
Hahahha Royal Tour hoyeeKwa hiyo unafikri Mama angekuwa anateka na kuuwa watanzania wenzake hovyo hovyo tu kombe lingekuja hapa?
Nchi nyingi likipita marais wanalipokea,sasa wabongo naona wanataka iwe tofautiNijuavyo mm kombe la Dunia linashikwa na mkuu wa nchi tu, kwahiyo uwakilishi hapo hakuna mkuu,japo ni aibu Kwa Taifa hatujawahi kushiriki hata mara moja
Hoyeee!Hahahha Royal Tour hoyee
Hapa sana sana wangehoji kuna mikakati gani ya kuligombea na pengine kulichukua kabisa badala ya kulipokea tu; lakini kuhoji kwa nini Mhe Rais kaenda kulipokea ni kuonesha hasira isiyo na mantiki dhidi ya mama kana kwamba yeye ndo alimzuia mtu kavaa barakoa!!Nchi nyingi likipita marais wanalipokea,sasa wabongo naona wanataka iwe tofauti
Ehhh
Ova
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 coated limetoka wapi dogo?Nasubiri mnibishie.
Yeah umeongea point ata me nlikua namsubir nmpe hii mada ni kweli liliwai kuibwa mpaka kama lisingepatika nazani wangelazimika kuunda lingine swali kama kombe halis kwa nini walilitafutaKuna miaka lile kombe liliwahi ibwa.
Sikumbuki ilikuwa nchi ipi.
Naona wamejiongeza.
Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.akubishie nani wakati hauna hoja wala point yoyote juu unachotaka kubishiwa
Unataka tufanyaje sasa ?Nasubiri mnibishie.
Watakuja nayo yote, original na fake,Kwa hyo wana mu-enjoy Mama [emoji23]