Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Yesu Kutibu Majini: Katika Agano Jipya, Yesu Kristo alihusishwa sana na kutibu majini na roho chafu. Mfano maarufu ni katika Marko 1:34, ambapo inasema: "Akawaponya wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali, akatoa mapepo wengi." Yesu aliweza kutoa mapepo kwa nguvu zake za kiungu, na hili lilikuwa sehemu muhimu ya huduma yake.

WAKATI WALIKUWEPO AKINANI?
Muhammad Had Sex with the Dead Body of His Aunt.

“I (Muhammad) put on her my shirt that she may wear the clothes of heaven, and I SLEPT with her, in her coffin (grave) that I may lessen the pressure of the grave. She was the best of Allah’s creatures to me after Abu Talib”… The prophet was referring to Fatima, the mother of Ali.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=dt5CakYo9AA
Leo kutakuwa na mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran kwa wanawake katika uwanja wa Mkapa.
Mgeni rasmi atakuwa ni Rasi wa Tanzania - Dr Samia
Mashindano yataonyeshwa Live kupitia channel mbali duniani
Wanawake wameuhifadhi msahafu mzima wakiwemo watoto wadogo
Yaanza saa 12:00 asubuhi mpka saa 7:00 mchana

FAIDA YA KUHIFADHI QURAN
Kuhifadhi Qur'an kuna faida nyingi za kiroho, kijamii, na kimaisha, ikiwemo:

  1. Thawabu za Kiakhera: Kuhifadhi Qur'an ni ibada kubwa ambayo inampatia mhifadhi wake thawabu nyingi kutoka kwa Allah, ikiwa ni pamoja na daraja za juu katika Pepo.
  2. Ulinzi na Baraka: Kuhifadhi Qur'an husaidia kupata ulinzi wa Allah na baraka katika maisha, kwani Qur'an ni chanzo cha nuru na mwongozo.
  3. Kuhifadhi Dini: Kuhifadhi Qur'an ni njia ya kulinda dini na kuhakikisha kuwa maneno ya Allah yanabaki sahihi na safi bila mabadiliko.
  4. Kiongozi wa Maisha: Qur'an ni mwongozo wa maisha ya kila siku. Mtu anayehifadhi Qur'an ana uwezo wa kuzingatia na kutekeleza mafundisho yake kwa urahisi zaidi.
  5. Heshima na Hadhi: Watu wanaohifadhi Qur'an wanapata heshima kubwa katika jamii, kwani wanachukuliwa kama watu wa dini na kiongozi wa kiroho.
  6. Ukaribu na Allah: Mtu anayehifadhi Qur'an anajenga ukaribu na Allah kupitia kujifunza, kuzingatia, na kutafakari maneno Yake.
  7. Faida za Akili: Kuhifadhi Qur'an kunaboresha kumbukumbu, uwezo wa kuelewa mambo, na umakini, kwani inahitaji bidii na uvumilivu.
  8. Mafanikio ya Kijamii: Wanaohifadhi Qur'an mara nyingi wanapata fursa nzuri katika jamii, kama vile kuwa viongozi wa maombi, walimu, na washauri wa kiroho.

'akishiriki' si neno sahihi kuwa hapo
 
Dini inayotisha isiyoleta amani na yenye kuondoa ustaarabu wa kijamii.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=dt5CakYo9AA
Leo kutakuwa na mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran kwa wanawake katika uwanja wa Mkapa.
Mgeni rasmi atakuwa ni Rasi wa Tanzania - Dr Samia
Mashindano yataonyeshwa Live kupitia channel mbali duniani
Wanawake wameuhifadhi msahafu mzima wakiwemo watoto wadogo
Yaanza saa 12:00 asubuhi mpka saa 7:00 mchana

FAIDA YA KUHIFADHI QURAN
Kuhifadhi Qur'an kuna faida nyingi za kiroho, kijamii, na kimaisha, ikiwemo:

  1. Thawabu za Kiakhera: Kuhifadhi Qur'an ni ibada kubwa ambayo inampatia mhifadhi wake thawabu nyingi kutoka kwa Allah, ikiwa ni pamoja na daraja za juu katika Pepo.
  2. Ulinzi na Baraka: Kuhifadhi Qur'an husaidia kupata ulinzi wa Allah na baraka katika maisha, kwani Qur'an ni chanzo cha nuru na mwongozo.
  3. Kuhifadhi Dini: Kuhifadhi Qur'an ni njia ya kulinda dini na kuhakikisha kuwa maneno ya Allah yanabaki sahihi na safi bila mabadiliko.
  4. Kiongozi wa Maisha: Qur'an ni mwongozo wa maisha ya kila siku. Mtu anayehifadhi Qur'an ana uwezo wa kuzingatia na kutekeleza mafundisho yake kwa urahisi zaidi.
  5. Heshima na Hadhi: Watu wanaohifadhi Qur'an wanapata heshima kubwa katika jamii, kwani wanachukuliwa kama watu wa dini na kiongozi wa kiroho.
  6. Ukaribu na Allah: Mtu anayehifadhi Qur'an anajenga ukaribu na Allah kupitia kujifunza, kuzingatia, na kutafakari maneno Yake.
  7. Faida za Akili: Kuhifadhi Qur'an kunaboresha kumbukumbu, uwezo wa kuelewa mambo, na umakini, kwani inahitaji bidii na uvumilivu.
  8. Mafanikio ya Kijamii: Wanaohifadhi Qur'an mara nyingi wanapata fursa nzuri katika jamii, kama vile kuwa viongozi wa maombi, walimu, na washauri wa kiroho.

Wanahifadhi WAPI?
 
kwa hiyo chuki yako unafundisha mtoto unafikiri ni sifa?
Subiri afike Sekondari ndio utajua kama ulichomfundisha ni kizuri au kibaya
Dini inayofundisha ujinga siwezi kumfanya mwanangub aionee fahari asilan
 
Angalia hao waliovaa manguo meusi hapo benjamini mkapa si ndio hata majini wanachorwa hivyo.
 
Dini inayofundisha ujinga siwezi kumfanya mwanangub aionee fahari asilan
Kuna watu wengi wanadanganyana kwa mistari ya uongo kwamba ni Uislam;
Ungetuandikia hapa mambo matano ya ujinga ukiweka na reference (Mistarii ya Qurani) ndio tungekuelewa
 
Kuna watu wengi wanadanganyana kwa mistari ya uongo uongo kwamba ni Uislam;
Ungetuandikia hapa mambo matano ya ujinga ukiweka na reference (Mistarii ya Qurani) ndio tungekuelewa
Mnaachisha watoto wenu shule ili waende kukariri hicho kitabu mlichodesa kwa waisrael dini inafanya watu wanakuwa kama mazombi.
 
Mnaachisha watoto wenu shule ili waende kukariri hicho kitabu mlichodesa kwa waisrael dini inafanya watu wanakuwa kama mazombi.
Kuna watu wengi wanadanganyana kwa mistari ya uongo kwamba ni Uislam;
Ungetuandikia hapa mambo matano ya ujinga ukiweka na reference (Mistarii ya Qurani) ndio tungekuelewa
 
Kuna watu wengi wanadanganyana kwa mistari ya uongo kwamba ni Uislam;
Ungetuandikia hapa mambo matano ya ujinga ukiweka na reference (Mistarii ya Qurani) ndio tungekuelewa
Zaynab Bint Jahsh Case??Kuoa mke wa mtoto wake na kutengeneza haya kwenye Quran kusaporti hilo
Waislam kunywa mkojo wa Ngamia??
Muhammad kuvaa mavazi ya kike??
Haya ni mambo ya Werevu??
 
Faida nyingine Quran inapinga Dhuluma katika kudhulumu Uhai wa Watu, kwa njia ya kuzuia Utekaji, Mauaji na kwa namna zingine

Allah alisimamie hili, Amin
ikamsaidie samia aache kuua na kuteka watu. utekaji wa wapinzani wa kisiasa una baraka zake. Qur'an imeshindwa kumsaidia. anapoteza tu muda hapo wakati hayatilii maanani ya kwenye Qur'an
 
ikamsaidie samia aache kuua na kuteka watu. utekaji wa wapinzani wa kisiasa una baraka zake. Qur'an imeshindwa kumsaidia. anapoteza tu muda hapo wakati hayatilii maanani ya kwenye Qur'an
Hateki yeye eti, kwani anateka yeye?
 
Back
Top Bottom